Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Maneva ya kijeshi; wenzo wa Israel wa kuwafukuza Wapalestina kutoka katika ardhi zao

    Maneva ya kijeshi; wenzo wa Israel wa kuwafukuza Wapalestina kutoka katika ardhi zao

    Dec 21, 2016 00:22

    Maneva ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yalianza Jumatatu ya juzi katika eneo la al-Aghwar kwa lengo la kuwafukuza Wapalestina zaidi kutoka katika eneo hilo lililoko kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Harakati ya Ansarullah ya Yemen: Marekani na Israel ndio maadui wa Umma wa Kiislamu

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen: Marekani na Israel ndio maadui wa Umma wa Kiislamu

    Dec 17, 2016 13:12

    Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen imesisitiza juu ya udharura wa kutumiwa mafundisho ya Bwana Mtume (saw) kwa ajili ya kukabiliana na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tawala mbazo ni maadui wa Umma wa Kiislamu.

  • Kuzidi kuwa mkubwa mgogoro wa kiuchumi wa Israel

    Kuzidi kuwa mkubwa mgogoro wa kiuchumi wa Israel

    Dec 14, 2016 04:00

    Taasisi ya utawala wa Kizayuni ya Latite imefichua kuwa, karibu watu milioni 2.5 wakazi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wanaishi chini ya mstari wa umaskini.

  • Bunge la Israel lautupa muswada wa kupiga marufuku Adhana

    Bunge la Israel lautupa muswada wa kupiga marufuku Adhana

    Dec 07, 2016 12:15

    Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel Knesset leo Jumatano limeutupilia mbali muswada wa kupiga marufuku adhana katika mji mtakatifu wa Quds na maeneo mengine ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Walowezi wa Kiyahudi wauvunjia heshima tena msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kiyahudi wauvunjia heshima tena msikiti wa al-Aqswa

    Dec 05, 2016 00:40

    Makumi ya walowezi wa Kiyahudi jana Jumapili waliuvamia Msikiti Mtukufu wa al Aqsa katika mji wa Baitul Muqaddas na kulivunjia heshima eneo hilo tukufu.

  • Israel yalazimika kurudi nyuma, yaakhirisha tena kujadili marufuku ya adhana

    Israel yalazimika kurudi nyuma, yaakhirisha tena kujadili marufuku ya adhana

    Dec 01, 2016 00:40

    Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel (Knesset) limelazimika kulegeza kamba na kuakhirisha kujadili muswada wa kupiga marufuku adhana katika misikiti ya mji mtakatifu wa Quds, ukiwemo Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Ndege za kivita za Israel zaihujumu Syria

    Ndege za kivita za Israel zaihujumu Syria

    Nov 30, 2016 04:22

    Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimevurumisha makombora manne katika maeneo mawili nchini Syria karibu na barabara inayounganisha mji mkuu wa Syria, Damascus na mji mkuu wa Lebanon, Beirut.

  • Israel yakasirishwa na muendelezo wa vikwazo vya Ulaya dhidi yake

    Israel yakasirishwa na muendelezo wa vikwazo vya Ulaya dhidi yake

    Nov 27, 2016 04:46

    Baada ya Ufaransa kutoa maagizo mapya kwa ajili ya kubandika stika katika bidhaa zinazozalishwa katika vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, hatua hiyo imekabiliwa na radiamali hasi na kuikasirisha Israel.

  • Moto katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu na hatua ya Israel ya kutumia kipropaganda suala hilo

    Moto katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu na hatua ya Israel ya kutumia kipropaganda suala hilo

    Nov 27, 2016 02:07

    Matamshi ya viongozi wa kisiasa na misimamo iliyo dhidi ya Wapalestina iliyodhihirishwa na makuhani wa utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia moto mkubwa unaotiliwa shaka uliotokea katika baadhi ya maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel ambao umeathiri pia maeneo ya milimani ya Baitull Muqaddas, yanadhihirisha namna viongozi wa Israel wanavyolitumia suala hilo kisiasa ili kuwakandamiza na kuwaua zaidi raia wa Palestina.

  • UN yakosoa kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi

    UN yakosoa kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi

    Nov 24, 2016 04:34

    Umoja wa Mataifa umelaani uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kujenga nyumba 500 mpya mashariki mwa Baitul Muqaddas.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS