-
Israel yashambulia kwa mabomu makazi ya wakimbizi wa Kipalestina Gaza
Oct 01, 2024 02:54Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zimeshambulia kwa mabomu shule ya makazi ya Wapalestina katika mji wa Gaza.
-
Madai ya Marekani katika muktadha wa kujaribu kuzuia vita Asia Magharibi
Sep 30, 2024 22:47Marekani ambayo ni mdhamini mkubwa zaidi wa silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ajili ya mashambulizi makubwa dhidi ya watu wa Lebanon na Gaza, sasa inajitokeza kwa unafiki na kutoa wito wa kupunguzwa mivutano na kurejeshwa amani katika eneo la Magharibi mwa Asia.
-
Subirini; jibu la kamanda wa jeshi la Iran kuhusu radiamali ya Tehran kwa mauaji ya shahidi Nasrullah
Sep 30, 2024 07:49Kamanda mkuu wa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusu radiamali ya Iran na mhimili wa muqawama kwa mauaji ya Sayyid Hassan Nasrullah kuwa, subirini.
-
Tume ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya Uingereza: Mauaji ya Katibu Mkuu wa Hizbullah ni ushahidi wa mauaji ya kimbari ya Israel
Sep 29, 2024 22:55Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya Uingereza (IHRC) amesema kuwa, jinai za kivita za hivi karibuni za utawala ghasibu wa Israel katika mauaji ya Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon na kuuawa mamia ya watu katika shambulio la Beirut ni ushahidi wa wazi wa mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni.
-
Utayarifu na uwezo wa Iran wa kukabiliana na migogoro inayoibuliwa na utawala wa Kizayuni na Marekani
Sep 29, 2024 08:29Sayyid Abbas Araghchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika kikao na Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, ametoa onyo kali kuhusu hatua za utawala wa Kizayuni na Marekani za kuibua migogoro mipya katika eneo.
-
Iran yazitaka nchi za Kiislamu kuungana kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni
Sep 29, 2024 02:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zina wajibu wa kuungana na kushikamana katika kukabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni huko Palestina na Lebanon.
-
Wazayuni washambulia tena vitongoji vya Beirut, Lebanon
Sep 28, 2024 04:28Ndega za kivita za utawala wa Kizayuni zinaendelea kumeshambulia kikatili mitaa ya kusini mwa Beirut, mji mkuu wa Lebanon.
-
Iran: Marekani ni muungaji mkono mkuu na mshirika wa jinai za Israel
Sep 27, 2024 10:13Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, Marekani ndio mshirika muhimu zaidi katika jinai za kivita za utawala ghasibu wa Israel katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina na jinai zinazoendelea dhidi ya taifa la Lebanon.
-
Israel yaua watu wengine 72 na kujeruhi 400 Lebanon, Hizbullah yajibu mapigo kwa makombora
Sep 26, 2024 03:17Utawala wa Kizayuni wa Israel umewaua shahidi watu wasiopungua 72 na kuwajeruhi wengine 400 nchini Lebanon katika siku ya tatu mtawalia ya mashambulizi ya kiwendawazimu unayofanya katika ardhi ya nchi hiyo sambamba na makabiliano yanayoendelea baina yake na harakati ya Muqawama ya Hizbullah.
-
Tuhuma na misimamo ya kurudiwarudiwa ya Marekani kwa ulimi wa Joe Biden katika Umoja wa Mataifa
Sep 26, 2024 00:28Jumanne ya wiki hii, rais wa Marekani, Joe Biden, alitoa hotuba yake ya mwisho katika kikao cha 79 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York na kukariri madai ya uongo ya siku zote dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na dhidi ya kambi ya Muqawama. Rais wa Marekani alidai kuwa eti serikali yake inapigania kuleta amani na utulivu katika ukanda wa Asia Magharibi.