Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Uturuki: Ufaransa imefumbia macho jinai zinazofanywa na UAE, Misri nchini Libya

    Uturuki: Ufaransa imefumbia macho jinai zinazofanywa na UAE, Misri nchini Libya

    Jul 02, 2020 02:15

    Balozi wa Uturuki mjini Paris ameituhumu Ufaransa kuwa inaegemea upande mmoja na kwamba imefumbia macho jinai zinazofanywa na Umoja wa Falme za Kiarabu na Misri nchini Libya.

  • Kituo cha kijeshi cha Uturuki nchini Somalia chashambuliwa, 2 wauawa

    Kituo cha kijeshi cha Uturuki nchini Somalia chashambuliwa, 2 wauawa

    Jun 24, 2020 03:51

    Kwa akali raia wawili wamepoteza maisha katika shambulizi la kigaidi lililolenga kambi ya kijeshi ya Uturuki katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Msimamo wa Macron dhidi ya uingiliaji wa Uturuki Libya

    Msimamo wa Macron dhidi ya uingiliaji wa Uturuki Libya

    Jun 23, 2020 07:34

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa uingiliaji kijeshi wa Ufaransa nchini Libya ni mchezo hatari.

  • Sharti la Uturuki kukubali usitishaji vita nchini Libya

    Sharti la Uturuki kukubali usitishaji vita nchini Libya

    Jun 22, 2020 09:22

    Ibrahim Kalin, Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Uturuki amesema kuwa usitishaji vita utatekelezwa nchini Libya kwa sharti kuwa wapiganaji wanaojiita Jeshi la Taifa la Libya wanaoongozwa na jenerali muasi Khalifa Hafta waondoke katika mji wa Sirte.

  • Uturuki: UAE inataka kuchochea uasi dhidi ya serikali za Afrika

    Uturuki: UAE inataka kuchochea uasi dhidi ya serikali za Afrika

    Jun 20, 2020 04:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ameutuhumu Umoja wa Falme za Kiarabu kuwa unapania kuchochea harakati za uasi dhidi ya serikali katika nchi za Afrika.

  • Waziri Zarif aelekea Russia baada ya kuitembelea Uturuki

    Waziri Zarif aelekea Russia baada ya kuitembelea Uturuki

    Jun 16, 2020 08:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameelekea Moscow, mji mkuu wa Russia katika ziara rasmi ya kikazi baada ya kuitembelea Uturuki na kukutana na viongozi wa ngazi za juu wa nchi hiyo.

  • Erdogan: Uchumi wa Kiislamu unaweza kuiondoa dunia katika mgogoro

    Erdogan: Uchumi wa Kiislamu unaweza kuiondoa dunia katika mgogoro

    Jun 15, 2020 14:59

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema uchumi wa Kiislamu ndiyo dawa mjarabu ya kuiondoa dunia katika mgogoro wa kiuchumi uliosababishwa na janga la corona.

  • Zarif asema uhusiano wa Iran na Uturuki katika nyuga tofauti ni wa karibu sana

    Zarif asema uhusiano wa Iran na Uturuki katika nyuga tofauti ni wa karibu sana

    Jun 15, 2020 07:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu na Uturuki zina uhusiano mzuri wa na karibu sana katika nyuga mbali mbali.

  • Juhudi za Uturuki za kuweko kijeshi katika nchi ya Libya

    Juhudi za Uturuki za kuweko kijeshi katika nchi ya Libya

    Jun 14, 2020 12:38

    Baada ya Uturuki kuwa na uingiliaji wa kijeshi katika masuala ya ndani ya Libya na kushiriki pakubwa katika vita vya niaba, sasa viongozi wa Ankara wanazungumzi suala la kuanzisha vituo viwili vya kijeshi katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Ugiriki: Tumejiweka tayari kupambana kijeshi na Uturuki

    Ugiriki: Tumejiweka tayari kupambana kijeshi na Uturuki

    Jun 05, 2020 17:09

    Waziri wa Ulinzi wa Ugiriki amesema kuwa nchi yake imejiweka tayari kwa ajili ya kukabiliana kijeshi na Uturuki kwa ajili ya kulinda haki yake ya kujitawala.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS