-
Urusi yaitaka Uturuki kuacha kuwasaidia magaidi
Apr 04, 2016 23:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameitaka Uturuki kuacha kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine na kuunga mkono ugaidi.
-
Jordan: Uturuki ndio muasisi wa misimamo ya kufurutu mipaka
Mar 25, 2016 21:37Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan amesema kuwa Uturuki ndio chimbuko la misimamo ya kufurutu katika eneo la Mashariki ya Kati na bara Ulaya.
-
Mazungumzo ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran na Uturuki mjini Istanbul
Mar 19, 2016 13:10Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wamekutana na kufanya mazungumzo mjini Istanbul na kujadili masuala ya uhusiano wa pande mbili, kieneo na kimataifa.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Uturuki
Mar 19, 2016 04:09Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ameelekea Uturuki hii leo ambapo atafanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa serikali ya Ankara.
-
Uturuki yaomba msaada wa Iran kumaliza vita katika eneo
Mar 05, 2016 13:51Waziri Mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema Tehran na Ankara zinapaswa kuwa na ‘msimamo wa pamoja’ ili kumaliza migogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Uturuki yaomba msaada wa Iran kumaliza vita katika eneo
Mar 05, 2016 12:13Waziri Mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema Tehran na Ankara zinapaswa kuwa na ‘msimamo wa pamoja’ ili kumaliza migogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Lavrov aitaka Uturuki kukoma kutuma silaha kwa makundi ya kigaidi Syria
Mar 02, 2016 03:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametaka kuchukuliwe hatua za kuzuia magendo ya silaha kutoka Uturuki kwenda Syria ambako zinatumiwa na makundi ya kigaidi.
-
Saudia, Uturuki ni waungaji mkono wakuu wa ISIS
Feb 26, 2016 23:32Mshauri wa Rais wa Syria amesema kuwa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh linaweza kuangamizwa haraka iwapo baadhi ya nchi za eneo hasa Uturuki na Saudi Arabia zitaacha kuliunga mkono kifedha na kisiasa kundi hilo la wakufurishaji.
-
EU yaonya kuhusu hatari ya vita vya Russia, Uturuki
Feb 24, 2016 04:12Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya ameonya kuhusu uwezekano wa kuzuka vita baina ya Russia na Uturuki.
-
Salih Muslim: Siara za Erdoğan ni hatari sana kwa eneo la Mashariki ya kati
Feb 19, 2016 23:38Mkuu wa chama cha Umoja wa Kidemokrasia wa Wakurdi wa Syria (PYD), Salih Muslim Muhammad amesema kuwa, siasa zinazofuatwa na Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki, ni hatari sana kwa eneo zima la Mashariki ya Kati.