Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Rais wa Iran kushiriki kongamano la OIC mjini Istanbul, Uturuki

    Rais wa Iran kushiriki kongamano la OIC mjini Istanbul, Uturuki

    Apr 13, 2016 03:11

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hii leo anatazamiwa kuelekea mjini Istanbul nchini Uturuki kushiriki Kongamano la 13 la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC).

  • Urusi yaitaka Uturuki kuacha kuwasaidia magaidi

    Urusi yaitaka Uturuki kuacha kuwasaidia magaidi

    Apr 04, 2016 23:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameitaka Uturuki kuacha kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine na kuunga mkono ugaidi.

  • Jordan: Uturuki ndio muasisi wa misimamo ya kufurutu mipaka

    Jordan: Uturuki ndio muasisi wa misimamo ya kufurutu mipaka

    Mar 25, 2016 21:37

    Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan amesema kuwa Uturuki ndio chimbuko la misimamo ya kufurutu katika eneo la Mashariki ya Kati na bara Ulaya.

  • Mazungumzo ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran na Uturuki mjini Istanbul

    Mazungumzo ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran na Uturuki mjini Istanbul

    Mar 19, 2016 13:10

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wamekutana na kufanya mazungumzo mjini Istanbul na kujadili masuala ya uhusiano wa pande mbili, kieneo na kimataifa.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Uturuki

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Uturuki

    Mar 19, 2016 04:09

    Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ameelekea Uturuki hii leo ambapo atafanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa serikali ya Ankara.

  • Uturuki yaomba msaada wa Iran kumaliza vita katika eneo

    Uturuki yaomba msaada wa Iran kumaliza vita katika eneo

    Mar 05, 2016 13:51

    Waziri Mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema Tehran na Ankara zinapaswa kuwa na ‘msimamo wa pamoja’ ili kumaliza migogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Uturuki yaomba msaada wa Iran kumaliza vita katika eneo

    Uturuki yaomba msaada wa Iran kumaliza vita katika eneo

    Mar 05, 2016 12:13

    Waziri Mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema Tehran na Ankara zinapaswa kuwa na ‘msimamo wa pamoja’ ili kumaliza migogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Lavrov aitaka Uturuki kukoma kutuma silaha kwa makundi ya kigaidi Syria

    Lavrov aitaka Uturuki kukoma kutuma silaha kwa makundi ya kigaidi Syria

    Mar 02, 2016 03:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametaka kuchukuliwe hatua za kuzuia magendo ya silaha kutoka Uturuki kwenda Syria ambako zinatumiwa na makundi ya kigaidi.

  • Saudia, Uturuki ni waungaji mkono wakuu wa ISIS

    Saudia, Uturuki ni waungaji mkono wakuu wa ISIS

    Feb 26, 2016 23:32

    Mshauri wa Rais wa Syria amesema kuwa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh linaweza kuangamizwa haraka iwapo baadhi ya nchi za eneo hasa Uturuki na Saudi Arabia zitaacha kuliunga mkono kifedha na kisiasa kundi hilo la wakufurishaji.

  • EU yaonya kuhusu hatari ya vita vya Russia, Uturuki

    EU yaonya kuhusu hatari ya vita vya Russia, Uturuki

    Feb 24, 2016 04:12

    Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya ameonya kuhusu uwezekano wa kuzuka vita baina ya Russia na Uturuki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS