Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

waasi

  • Waasi waua wanajeshi watano na raia wanne nchini Cameroon

    Waasi waua wanajeshi watano na raia wanne nchini Cameroon

    Mar 09, 2020 01:04

    Waasi wamemeshambulia kituo cha polisi kilichoko wilayani Galim magharibi mwa Cameroon na kuua wanajeshi watano na raia wanne.

  • Jeshi la Somalia lapambana na wanamgambo wa Ahlu Sunnah Wal Jama’a (ASWJ)

    Jeshi la Somalia lapambana na wanamgambo wa Ahlu Sunnah Wal Jama’a (ASWJ)

    Feb 28, 2020 09:39

    Jeshi la Somalia mapema leo Ijumaa limepambana na wanamgambo wa kundi moja la kikanda katika kile kinachotajwa na Wasomali kuwa ni mapigano makali zaidi baada ya misuguano ya kisiasa inayoendelea kuikwamisha nchi hiyo katika dimbwi la ghasia na machafuko.

  • Jeshi la Sudan lazima uasi wa maafisa wa zamani wa utawala wa Al-Bashir

    Jeshi la Sudan lazima uasi wa maafisa wa zamani wa utawala wa Al-Bashir

    Jan 15, 2020 04:34

    Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan amesema, anga ya nchi hiyo imefunguliwa tena na majengo yote ya Shirika la Intelijensia hivi sasa yanadhibitiwa na jeshi, kufuatia uasi uliofanywa na maafisa wa zamani wa usalama wa utawala wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Omar al-Bashir.

  • Jeshi la Congo lamuua kiongozi wa tawi la waasi wa FDLR kutoka Rwanda

    Jeshi la Congo lamuua kiongozi wa tawi la waasi wa FDLR kutoka Rwanda

    Nov 11, 2019 00:10

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetangaza kuwa limemuua kiongozi wa tawi lililojitenga la kundi la waasi wa Kihutu la Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR) mashariki mwa nchi hiyo.

  • Kiongozi wa wasi wa FDLR kutoka Rwanda auawa huko Congo DR

    Kiongozi wa wasi wa FDLR kutoka Rwanda auawa huko Congo DR

    Sep 19, 2019 03:10

    Kiongozi wa waasi wa Kihutu kutoka Rwanda aliyekuwa akisakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kwa tuhuma za kufanya jinai za kivita ameuawa kwa kipigwa risasi na askari wa jeshi la Congo.

  • Umoja wa Mataifa waliunga mkono jeshi la Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda

    Umoja wa Mataifa waliunga mkono jeshi la Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda

    Sep 07, 2019 22:26

    Umoja wa Mataifa umesisitiza kuwa unaliunga mkono jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda wa ADF.

  • Mkutano wa Baraza la Kijeshi la Sudan na kambi ya upinzani waakhirishwa

    Mkutano wa Baraza la Kijeshi la Sudan na kambi ya upinzani waakhirishwa

    Jul 15, 2019 05:54

    Muungano wa Uhuru na Mabadiliko nchini Sudan umetangaza kuwa, mkutano uliokuwa umepangwa kufanyika leo na wawakilishi wa Baraza la Kijeshi linalotawala nchi hiyo chini ya upatanishi wa Ethiopia na Umoja wa Afrika umeakhirishwa hadi Jumanne ya kesho.

  • Baraza la Dini Ethiopia lakutana na viongozi wa OLF

    Baraza la Dini Ethiopia lakutana na viongozi wa OLF

    Dec 27, 2018 23:32

    Baraza la Dini la Ethiopia pamoja na makundi ya wazee jana Alkhamisi yalikutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa kundi la wabeba silaha la Harakati ya Ukombozi ya Oromo (OLF).

  • Jeshi la Cameroon laua wanachama 7 wa kundi linalotaka kujitenga

    Jeshi la Cameroon laua wanachama 7 wa kundi linalotaka kujitenga

    Dec 18, 2018 23:20

    Jeshi la Cameroon limetangaza habari ya kuua wanachama saba wa waasi wa Ambazonia katika mji wa Bamenda, katika eneo lenye wazungumzaji wengi wa Kiingereza la kusini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Raia 17 wauawa katika mashambulizi ya ADF Kongo DR

    Raia 17 wauawa katika mashambulizi ya ADF Kongo DR

    Dec 07, 2018 11:09

    Raia wasiopungua 17 wameripotiwa kuuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na kundi la wanamgambo wa ADF mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS