Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

waasi

  • Kiongozi wa wasi wa FDLR kutoka Rwanda auawa huko Congo DR

    Kiongozi wa wasi wa FDLR kutoka Rwanda auawa huko Congo DR

    Sep 19, 2019 07:40

    Kiongozi wa waasi wa Kihutu kutoka Rwanda aliyekuwa akisakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kwa tuhuma za kufanya jinai za kivita ameuawa kwa kipigwa risasi na askari wa jeshi la Congo.

  • Umoja wa Mataifa waliunga mkono jeshi la Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda

    Umoja wa Mataifa waliunga mkono jeshi la Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda

    Sep 08, 2019 02:56

    Umoja wa Mataifa umesisitiza kuwa unaliunga mkono jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda wa ADF.

  • Mkutano wa Baraza la Kijeshi la Sudan na kambi ya upinzani waakhirishwa

    Mkutano wa Baraza la Kijeshi la Sudan na kambi ya upinzani waakhirishwa

    Jul 15, 2019 10:24

    Muungano wa Uhuru na Mabadiliko nchini Sudan umetangaza kuwa, mkutano uliokuwa umepangwa kufanyika leo na wawakilishi wa Baraza la Kijeshi linalotawala nchi hiyo chini ya upatanishi wa Ethiopia na Umoja wa Afrika umeakhirishwa hadi Jumanne ya kesho.

  • Baraza la Dini Ethiopia lakutana na viongozi wa OLF

    Baraza la Dini Ethiopia lakutana na viongozi wa OLF

    Dec 28, 2018 03:02

    Baraza la Dini la Ethiopia pamoja na makundi ya wazee jana Alkhamisi yalikutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa kundi la wabeba silaha la Harakati ya Ukombozi ya Oromo (OLF).

  • Jeshi la Cameroon laua wanachama 7 wa kundi linalotaka kujitenga

    Jeshi la Cameroon laua wanachama 7 wa kundi linalotaka kujitenga

    Dec 19, 2018 02:50

    Jeshi la Cameroon limetangaza habari ya kuua wanachama saba wa waasi wa Ambazonia katika mji wa Bamenda, katika eneo lenye wazungumzaji wengi wa Kiingereza la kusini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Raia 17 wauawa katika mashambulizi ya ADF Kongo DR

    Raia 17 wauawa katika mashambulizi ya ADF Kongo DR

    Dec 07, 2018 14:39

    Raia wasiopungua 17 wameripotiwa kuuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na kundi la wanamgambo wa ADF mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kiongozi wa waasi Sudan Kusini arejea nchini baada ya kufikiwa makubaliano ya amani

    Kiongozi wa waasi Sudan Kusini arejea nchini baada ya kufikiwa makubaliano ya amani

    Oct 31, 2018 15:43

    Riek Machar kiongozi wa waasi Sudan Kusini leo Jumatano amewasili Juba mji mkuu wa nchi hiyo kuadhimisha makubaliano ya amani; ikiwa imepita zaidi ya miaka miwili baada ya kuibuka mapigano makali huko Juba na kumlazimisha kukimbia nchi.

  • ICC yasikiliza kesi ya kamanda wa waasi wa Uganda wa LRA

    ICC yasikiliza kesi ya kamanda wa waasi wa Uganda wa LRA

    Oct 22, 2018 15:50

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imeanza kusikiliza kesi ya kamanda wa genge la kigaidi la Kikristo la LRA lililokuwa linapigania kusimamisha serikali itakayoongozwa kwa amri kumi za Biblia nchini Uganda.

  • Waasi wa ADF waua 13 na kuteka watoto 12 Beni, Kongo DR

    Waasi wa ADF waua 13 na kuteka watoto 12 Beni, Kongo DR

    Oct 21, 2018 14:43

    Waasi wa Uganda wa ADF-Nalu wamefanya tena mashambulio dhidi ya ngome za jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuua watu 13 mbali na kuwateka nyara watoto wasiopungua 12.

  • Waasi wa Ethiopia watangaza kusimamisha mapigano kufuatia mageuzi ya serikali

    Waasi wa Ethiopia watangaza kusimamisha mapigano kufuatia mageuzi ya serikali

    Aug 12, 2018 14:54

    Kundi moja la waasi nchini Ethiopia leo Jumapili limetangaza usitishaji mapigano wa upande mmoja, hatua iliyotajwa na weledi wa mambo kuwa ina lengo la kuhitimisha uhasama kufuatia mageuzi yanayofanywa na serikali ya Addis Ababa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS