Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

waasi

  • Waasi wa ADF-NALU wa Uganda wafanya mashambulio DRC na kuua watu 6

    Waasi wa ADF-NALU wa Uganda wafanya mashambulio DRC na kuua watu 6

    Aug 12, 2018 12:59

    Waasi wa ADF-Nalu wa Uganda wamefanya mashambulio katika jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuua watu sita.

  • Raia 232 wameuawa Sudan Kusini miezi miwili iliyopita

    Raia 232 wameuawa Sudan Kusini miezi miwili iliyopita

    Jul 11, 2018 13:27

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limesema raia 232 wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa katika maeneo ya Mayendit na Leer nchini Sudan Kusini.

  • Riek Machar kurejeshwa katika nafasi ya Makamu wa Rais wa Sudan Kusini

    Riek Machar kurejeshwa katika nafasi ya Makamu wa Rais wa Sudan Kusini

    Jul 08, 2018 07:45

    Pande hasimu Sudan Kusini zimeafiki kugawana madaraka kwa mujibu wa makubaliano yaliyofikiwa na pande hizo ambapo kwa mujibu wake kiongozi wa waasi nchini humo, Riek Machar atarejeshwa katika wadhifa wa Makamu wa Rais.

  • Genge la waasi nchini Ethiopia lasimamisha operesheni zake

    Genge la waasi nchini Ethiopia lasimamisha operesheni zake

    Jun 23, 2018 04:09

    Kundi la waasi la Patriotic Ginbot7 (PG7) la Ethiopia limetangaza uamuzi wa upande mmoja wa kusimamisha kwa muda usiojulikana operesheni zake zote za utumiaji silaha katika maeneo yote ya nchi.

  • Waasi Sudan Kusini: Muda zaidi unahitajika kufikia amani

    Waasi Sudan Kusini: Muda zaidi unahitajika kufikia amani

    Jun 22, 2018 07:50

    Waasi wa Sudan Kusini wametangaza kuwa muda zaidi unahitajika ili kufanikisha mchakato wa amani ya kudumu nchini humo na kwamba itakuwa jambo la muhimu kuvipatia ufumbuzi vyanzo vikuu vya vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan Kusini.

  • Vinara wawili wa waasi Ethiopia warudi nyumbani baada ya mazungumzo na serikali

    Vinara wawili wa waasi Ethiopia warudi nyumbani baada ya mazungumzo na serikali

    Jun 13, 2018 02:41

    Viongozi wawili wa kundi la waasi wa Ethiopia wamerudi nyumbani baada ya kufanya mazungumzo na waziri mkuu wa nchi hiyo Abiy Ahmed Ali..

  • War Child: Watoto wanajiunga na makundi ya waasi 'kwa khiari' DRC

    War Child: Watoto wanajiunga na makundi ya waasi 'kwa khiari' DRC

    May 23, 2018 07:37

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za watoto walioathiriwa na migogoro duniani la War Child limesema aghalabu ya watoto wadogo wanaoujiunga na makundi ya waasi wanaobeba silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanafanya hivyo kwa khiari kwa sababu hawana chaguo mbadala.

  • Wakazi wa mashariki mwa Kongo waandamana kulaani udhaifu wa jeshi katika kukabiliana na waasi

    Wakazi wa mashariki mwa Kongo waandamana kulaani udhaifu wa jeshi katika kukabiliana na waasi

    May 23, 2018 03:37

    Utendaji dhaifu wa jeshi la serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kukabiliana na waasi wa maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo, umewakasirisha wakazi wa maeneo hayo na kuamua kufanya maandamano.

  • Watu 6 wauawa mbugani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Watu 6 wauawa mbugani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Apr 10, 2018 07:34

    Askari watano na dereva mmoja wameuawa katika Mbuga ya Wanyamapori ya Virunga huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Waasi wauwa watu 11 kaskazini mashariki mwa Kongo

    Waasi wauwa watu 11 kaskazini mashariki mwa Kongo

    Mar 29, 2018 04:34

    Waasi wenye silaha wamewauwa raia wasiopungua 11 katika shambulio moja kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Raia wengine wasiopungua elfu moja wameshauliwa na waasi hao hadi hivi sasa tangu mwaka 2014 katika mashambulizi kama hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS