-
Waislamu 300,000 watazamiwa kukimbia mauaji nchini Myanmar
Sep 07, 2017 03:11Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa Waislamu zaidi ya 300,000 wanatazamiwa kukimbia mauaji na dhulma wanazotendewa nchini Myanmar na kuelekea katika nchi jirani ya Bangladesh.
-
BHRN: Sio Waislamu wa Rakhine tu wanaouawa Myanmar
Sep 05, 2017 23:19Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Myanmar limetoa ripoti iliyofichua kuwa Waislamu katika maeneo yote ya nchi hiyo wanauawa na kuhujumiwa na wanajeshi wa nchi hiyo na sio wa kabila la Rohingya tu katika mkoa wa Rakhine.
-
Waislamu wa Canada wafanya sherehe ya kutangaza Uislamu halisi
Aug 28, 2017 23:56Waislamu wa mkoa wa Alberta nchini Canada wamefanya sherehe iliyopewa jina la 'Siku ya Turathi za Kiislamu' kwa lengo la kuitangaza dini ya Uislamu kwa watu wasiokuwa Waislamu.
-
Madhara ya kuenezwa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya
Aug 28, 2017 11:00Kuongezeka wimbi la vyombo vya habari vinavyoeneza chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya kumewaweka katika wakati mgumu sana Waislamu barani humo kiasi kwamba uchunguzi wa hivi karibuni wa maoni unaonesha kuwa, kati ya kila watu watano wa barani Ulaya, mmoja anachukia kuwa na jirani Muislamu.
-
Umoja wa Mataifa walaani mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar
Aug 25, 2017 23:23Umoja wa Mataifa umelaani vikali mauaji na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.
-
Waislamu 21 wauawa Myanmar katika mapigano jimboni Rakhine
Aug 25, 2017 03:13Waislamu 21 wameuawa katika mapigano yaliyozuka usiku wa kuamkia leo nchini Myanmar katika jimbo la Rakhine la magharibi mwa nchi hiyo.
-
Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu US akosoa matamshi ya kibaguzi ya Trump
Aug 20, 2017 22:02Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani katika eneo la kaskazini mwa jimbo la Texas amekosoa vikali matamshi ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika kuunga mkono kundi la wazungu wanaojikweza na kujiona bora kuliko watu wengine.
-
Mamia ya Waislamu waandamana dhidi ya ugaidi nchini Uhispania
Aug 20, 2017 02:29Mamia ya Waislamu katika mji wa Barcelona kaskazini mashariki mwa Uhispania wamefanya maandamano kulaani na kupinga mashambulizi mawili ya kigaidi yaliyotokea nchini humo siku chache zilizopita.
-
Vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu vyaongezeka nchini Ujerumani
Aug 18, 2017 21:59Gazeti moja la nchini Ujerumani limeripoti kuwa, hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu yameongezeka mno katika nchi hiyo ya bara Ulaya katika mwaka huu wa 2017.
-
Seneta aliyeikejeli burqa Bungeni huko Australia akosolewa vikali
Aug 18, 2017 03:45Seneta aliyeingia Bungeni akiwa amevalia burqa kwa kejeli na dhihaki nchini Australia amekosolewa vikali na Mwanasheria Mkuu na Waziri Mkuu wa nchi hiyo kwa kuvunjia heshima vazi hilo linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu.