Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Waislamu 300,000 watazamiwa kukimbia mauaji nchini Myanmar

    Waislamu 300,000 watazamiwa kukimbia mauaji nchini Myanmar

    Sep 07, 2017 03:11

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa Waislamu zaidi ya 300,000 wanatazamiwa kukimbia mauaji na dhulma wanazotendewa nchini Myanmar na kuelekea katika nchi jirani ya Bangladesh.

  • BHRN: Sio Waislamu wa Rakhine tu wanaouawa Myanmar

    BHRN: Sio Waislamu wa Rakhine tu wanaouawa Myanmar

    Sep 05, 2017 23:19

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Myanmar limetoa ripoti iliyofichua kuwa Waislamu katika maeneo yote ya nchi hiyo wanauawa na kuhujumiwa na wanajeshi wa nchi hiyo na sio wa kabila la Rohingya tu katika mkoa wa Rakhine.

  • Waislamu wa Canada wafanya sherehe ya kutangaza Uislamu halisi

    Waislamu wa Canada wafanya sherehe ya kutangaza Uislamu halisi

    Aug 28, 2017 23:56

    Waislamu wa mkoa wa Alberta nchini Canada wamefanya sherehe iliyopewa jina la 'Siku ya Turathi za Kiislamu' kwa lengo la kuitangaza dini ya Uislamu kwa watu wasiokuwa Waislamu.

  • Madhara ya kuenezwa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya

    Madhara ya kuenezwa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya

    Aug 28, 2017 11:00

    Kuongezeka wimbi la vyombo vya habari vinavyoeneza chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya kumewaweka katika wakati mgumu sana Waislamu barani humo kiasi kwamba uchunguzi wa hivi karibuni wa maoni unaonesha kuwa, kati ya kila watu watano wa barani Ulaya, mmoja anachukia kuwa na jirani Muislamu.

  • Umoja wa Mataifa walaani mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Umoja wa Mataifa walaani mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Aug 25, 2017 23:23

    Umoja wa Mataifa umelaani vikali mauaji na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.

  • Waislamu 21 wauawa Myanmar katika mapigano jimboni Rakhine

    Waislamu 21 wauawa Myanmar katika mapigano jimboni Rakhine

    Aug 25, 2017 03:13

    Waislamu 21 wameuawa katika mapigano yaliyozuka usiku wa kuamkia leo nchini Myanmar katika jimbo la Rakhine la magharibi mwa nchi hiyo.

  • Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu US akosoa matamshi ya kibaguzi ya Trump

    Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu US akosoa matamshi ya kibaguzi ya Trump

    Aug 20, 2017 22:02

    Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani katika eneo la kaskazini mwa jimbo la Texas amekosoa vikali matamshi ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika kuunga mkono kundi la wazungu wanaojikweza na kujiona bora kuliko watu wengine.

  • Mamia ya Waislamu waandamana dhidi ya ugaidi nchini Uhispania

    Mamia ya Waislamu waandamana dhidi ya ugaidi nchini Uhispania

    Aug 20, 2017 02:29

    Mamia ya Waislamu katika mji wa Barcelona kaskazini mashariki mwa Uhispania wamefanya maandamano kulaani na kupinga mashambulizi mawili ya kigaidi yaliyotokea nchini humo siku chache zilizopita.

  • Vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu vyaongezeka nchini Ujerumani

    Vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu vyaongezeka nchini Ujerumani

    Aug 18, 2017 21:59

    Gazeti moja la nchini Ujerumani limeripoti kuwa, hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu yameongezeka mno katika nchi hiyo ya bara Ulaya katika mwaka huu wa 2017.

  • Seneta aliyeikejeli burqa Bungeni huko Australia akosolewa vikali

    Seneta aliyeikejeli burqa Bungeni huko Australia akosolewa vikali

    Aug 18, 2017 03:45

    Seneta aliyeingia Bungeni akiwa amevalia burqa kwa kejeli na dhihaki nchini Australia amekosolewa vikali na Mwanasheria Mkuu na Waziri Mkuu wa nchi hiyo kwa kuvunjia heshima vazi hilo linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS