Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Asilimia 60 ya Waislamu Marekani wanabaguliwa

    Asilimia 60 ya Waislamu Marekani wanabaguliwa

    Mar 22, 2017 03:34

    Uchunguzi mpya wa maoni umebaini kuwa asilimia 60 ya Waislamu nchini Marekani wamebaguliwa kwa njia moja au nyingine katika kipindi cha mwaka moja uliopita.

  • Marekani na Uingereza zawabana zaidi wasafiri kutoka nchi kadhaa za Waislamu

    Marekani na Uingereza zawabana zaidi wasafiri kutoka nchi kadhaa za Waislamu

    Mar 22, 2017 02:58

    Serikali ya Marekani jana Jumanne ilipiga marufuku wasafiri kutoka nchi 8 za Waislamu kuingia katika ndege zinazoelekea nchini humo wakiwa na zana za electroniki kubwa zaidi ya simu za kiganjani. Nchi hizo 8 za Waislamu ni Jordan, Misri, Uturuki, Saudi Arabia, Kuwait, Morocco, Qatar na Imarati.

  • Maadui wa Waislamu washambulia msikiti mwingine nchini Marekani

    Maadui wa Waislamu washambulia msikiti mwingine nchini Marekani

    Mar 17, 2017 00:27

    Vyombo vya habari vya nchini Marekani vimeripoti habari ya kushambuliwa msikiti mwingine, kusini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Waislamu walaani marufuku ya Hijabu katika mahakama ya EU

    Waislamu walaani marufuku ya Hijabu katika mahakama ya EU

    Mar 16, 2017 03:59

    Waislamu barani Ulaya wamelaani vikali hatua ya Mahakama ya Uadilifu ya Ulaya kutoa hukumu kuwa waajiri wanaweza kuwazuia wafanyakazi wa kike Waislamu kuvaa hijabu kazini.

  • Bunge la Uswisi lapinga muswada wa kupiga marufuku vazi la burqa

    Bunge la Uswisi lapinga muswada wa kupiga marufuku vazi la burqa

    Mar 10, 2017 10:30

    Bunge la Uswisi limekataa kupasisha muswada wa kupiga marufuku nchini humo vazi la stara la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu.

  • Waislamu wa Marekani wasaidia kifedha kukarabati makaburi ya Mayahudi yaliyobomolewa

    Waislamu wa Marekani wasaidia kifedha kukarabati makaburi ya Mayahudi yaliyobomolewa

    Feb 23, 2017 00:15

    Waislamu nchini Marekani wamechangisha maelfu ya dola kusaidia ukarabati wa makaburi ya Mayahudi yaliyobomolewa katika jimbo la Missouri.

  • Asilimia kubwa ya Wamarekani wanapinga kuzuiwa Waislamu kuingia US

    Asilimia kubwa ya Wamarekani wanapinga kuzuiwa Waislamu kuingia US

    Feb 21, 2017 10:48

    Matokeo ya utafiti wa maoni yanaonyesha kuwa asilimia kubwa ya raia wa Marekani wanapinga marufuku ya kuzuiwa Waislamu kuingia nchi hiyo.

  • Wamarekani walio wengi wapinga marufuku ya Waislamu kuingia nchini humo

    Wamarekani walio wengi wapinga marufuku ya Waislamu kuingia nchini humo

    Feb 19, 2017 10:25

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanyika nchini Marekani unaonesha kuwa asilimia kubwa ya raia wa nchi hiyo wanapinga marufuku ya kuingia Waislamu nchini Marekani.

  • Merkel: Russia na Waislamu wajumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi

    Merkel: Russia na Waislamu wajumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi

    Feb 19, 2017 04:13

    Kansela wa Ujerumani ametoa mwito wa kushirikishwa Russia na Waislamu katika kukabiliana na jinamizi la ugaidi.

  • Makundi yaliyo dhidi ya Waislamu yaongezeka kwa kasi Marekani

    Makundi yaliyo dhidi ya Waislamu yaongezeka kwa kasi Marekani

    Feb 17, 2017 23:10

    Idadi ya makundi yaliyo dhidi ya Waislamu yameongezeka karibu mara tatu Marekani mwaka 2016 baada ya kuanza kampeni za urais za Donald Trump.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS