-
SAUTI: Waislamu wafuatilia kwa karibu kesi ya aliyemtukana Mtume Muhammad SAW, Zanzibar
Jan 06, 2017 14:55Waislamu visiwani Zanzibar na ukanda mzima wa Afrika Mashariki wanaendelea kufuatilia kwa karibu hatua zinazochukuliwa na vyombo vya sheria vya Zanzibar kuhusiana na Abdallah Saleh Abdallah aliyeonekana kwenye mkanda wa video akitoa maneno machafu mno dhidi ya Uislamu.
-
HRW: Serikali inaficha jinai na mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar
Jan 05, 2017 12:39Mashirika ya kutetea haki za binadamu ikiwemo Human Rights Watch yamesema serikali ya Myanmar inajaribu kuficha jinai na mauaji yanayofanywa na vikosi vya usalama vya nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa Rohingya.
-
Myanmar yazuia misaada ya Malaysia kuwafikia Waislamu Warohingya
Dec 30, 2016 12:23Utawala wa Myanmar unaendelea kuzuia msafara wa meli za Malaysia zinazosheheni misaada ya dharura kwa ajili ya Waislamu wa kabila la Rohingya huku uhusiano wa nchi mbili hizo ukiendelea kuzorota.
-
Velayati: Iran ni kimbilio salama la Waislamu wote
Dec 27, 2016 11:42Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislami ni kimbilio na nchi salama zaidi kwa Waislamu wote.
-
Pew: Waislamu wahanga wa ugaidi nchini Marekani
Dec 23, 2016 00:00Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani yanaonesha kuwa, Waislamu na wafuasi wa dini za waliowachache ni wahanga wa ubaguzi na hisia za chuki nchini humo.
-
Kadhaa wajeruhiwa baada ya msikiti kuhujumiwa Zurich, Uswisi
Dec 20, 2016 04:33Watu watatu wamejeruhiwa baada ya mtu aliyekuwa na bunduki kushambulia msikiti na kufyatua risasi ovyo akiwalenga waumini waliokuwa wakitekeleza ibada zao katika mji wa Zurich nchini Uswisi usiku wa kuamkia leo.
-
Waislamu London watoa msaada wa chakula kwa mayatima
Dec 18, 2016 11:15Waislamu katika mji mkuu wa Uingereza, London wamekusanya tani nyingi za chakula kwa ajili ya kuwasaidia mayatima na watoto wa mitaani katika kipindi hiki cha sherehe za kufunga mwaka.
-
Rais Rouhani awaasa Waislamu waungane dhidi ya njama za maadui
Dec 15, 2016 11:05Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewataka Waislamu wote duniani waungane na kuimarisha umoja na mshikamano wao dhidi ya njama za maadui wanaotaka kuvunja umoja wa Waislamu kwa kuibua uhasama na mifarakano ya kimadhehebu.
-
HRW: Jeshi la Myanmar limeteketeza vijiji vya Waislamu Warohingya
Dec 13, 2016 12:43Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch linasema kuna ushahidi unaoonyesha kuwa Jeshi la Myanmar limeteketeza vijiji vya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine.
-
Wamarekani walio wengi wakiri kwamba, Waislamu wa nchi hiyo wanabaguliwa
Dec 11, 2016 04:26Utafiti uliofanywa unaonyesha kuwa, Wamarekani walio wengi wanaamini kuwa, Waislamu wa nchi hiyo wamekuwa wakikabiliwa na vitendo vya ubaguzi nchini humo.