-
Zarif: Iran ni mshirika wa uhakika wa kibiashara kwa ajili ya Ulaya
Feb 21, 2017 04:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran ni mshirika wa uhakika wa kibiashara kwa ajili ya Ulaya.
-
Iran yapendekeza mazungumzo na nchi za Kiarabu
Feb 19, 2017 10:53Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Mohammad Javad Zarif amependekeza kuundwa jukwaa la pamoja na nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi kwa lengo la kutafutia suluhisho matatizo yaliyopo katika eneo.
-
Zarif: Kuingia wanajeshi wa Marekani nchini Syria kutazidisha mgogoro
Feb 18, 2017 04:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, mpango wa serikali ya Marekani wa kutuma wanajeshi wake nchini Syria hautakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuongeza mgogoro katika eneo la Mashariki ya Kati na duniani kiujumla. Amesema hayo pambizoni mwa mkutano wa usalama uliofanyika mjini Munich, Ujerumani wakati alipohojiwa na televisheni ya CNN.
-
Zarif ajibu madai ya Netanyahu, historia ya Israel imejaa ukatili
Feb 18, 2017 01:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu madai yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhusu mipango ya kujihami ya makombora ya Iran.
-
Zarif: Iran haitaathiriwa na vitisho
Feb 03, 2017 11:29Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Mohammad Javad Zarif katika kujibu vitisho vya hivi karibuni vya wakuu wa Marekani ameandika katika ukurasa wake binafsi wa Twitter kuwa: "Iran haitaathiriwa na vitisho".
-
Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu makombora
Jan 31, 2017 10:00Waziri wa Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani kuhusu kubadilisha kadhia ya makombora halali ya Iran kuwa mchezo wa kisiasa.
-
Zarif: Iran inapinga ushiriki wa Marekani katika mazungumzo ya Astana kuhusu Syria
Jan 18, 2017 03:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif amesema kuwa, Tehran inapinga ushiriki wa Marekani katika mazungumzo ya stana, mji mkuu wa Kazakhstan kuhusiana na Syria.
-
Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Syria wafanya mazungumzo mjini Tehran
Dec 31, 2016 11:36Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Syria wamekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na kujadili masuala mbalimbali ya kieneo na kimatifa.
-
Dakta Zarif: Usitishaji vita nchini Syria ni mafanikio makubwa
Dec 30, 2016 00:14Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekaribisha utekelezwaji wa makubaliano ya usitishaji vita nchini Syria na kusema kuwa, hatua hiyo ni mafanikio makubwa na muhimu.
-
Dakta Zarif: Iran, Russia na Uturuki zimesisitiza juu ya kuhifadhiwa ardhi yote ya Syria
Dec 21, 2016 03:45Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kikao cha pande tatu cha Iran, Russia na Uturuki kilichofanyika Moscow mji mkuu wa Russia kimesisitiza juu ya kuhitimishwa mgogoro wa Syria kupitia mazungumzo ya kisiasa.