Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Kwa nini Rais Mnangagwa wa Zimbabwe anakabiliwa na shinikizo la kujiuzulu?

    Kwa nini Rais Mnangagwa wa Zimbabwe anakabiliwa na shinikizo la kujiuzulu?

    Apr 03, 2025 11:35

    Mgawanyiko unaendelea kushuhudiwa ndani wa chama tawala cha ZANU-PF nchini Zimbabwe umeibua hofu ya uwezekano wa jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Mnangagwa, ambaye anajaribu kusalia madarakani baada ya mwaka 2028 licha ya kuwa ni kinyume na katiba.

  • Zimbabwe: Tunafanya hima kujiunga na kundi la BRICS

    Zimbabwe: Tunafanya hima kujiunga na kundi la BRICS

    Mar 08, 2025 07:01

    Zimbabwe inafanya kila liwezekanalo kujiunga na kundi la BRICS, ikilenga kuimarisha uchumi wake na ushirikiano wa kimataifa.

  • Nchi nyingine ya Afrika yataka kujiunga na jumuiya ya BRICS

    Nchi nyingine ya Afrika yataka kujiunga na jumuiya ya BRICS

    Jun 20, 2024 02:51

    Zimbabwe imesema iko tayari kujiunga na jumuiya ya kiuchumi ya BRICS, ambayo itatoa fursa nzuri kwa nchi hiyo kufanya biashara katika mazingira huru na nchi nyingine wanachama.

  • Iran: Lugha ya Kifarsi kufundishwa katika Vyuo Vikuu vya Zimbabwe

    Iran: Lugha ya Kifarsi kufundishwa katika Vyuo Vikuu vya Zimbabwe

    May 10, 2024 07:23

    Waziri wa Sayansi, Utafiti na Teknolojia wa Iran ametangaza utayarifu wa Jamhuri ya Kiislamu wa kuanza kufunza lugha ya Kifarsi katika Vyuo Vikuu vya Zimbabwe.

  • Mahakama ya Zimbabwe yawazuia wabunge wa upinzani kushiriki uchaguzi muhimu wa kesho Jumamosi

    Mahakama ya Zimbabwe yawazuia wabunge wa upinzani kushiriki uchaguzi muhimu wa kesho Jumamosi

    Dec 08, 2023 14:28

    Mahakama ya Zimbabwe imewazuia wagombea wengi wa upinzani kushiriki katika uchaguzi mdogo uliopangwa kufnyika siku ya Jumamosi ya kesho ambao yumkini ukakiwezesha chama tawala cha ZANU-PF kufanya mabadiliko ya katiba.

  • Zimbabwe yatangaza 'hali ya dharura' Harare kutokana na kipindupindu

    Zimbabwe yatangaza 'hali ya dharura' Harare kutokana na kipindupindu

    Nov 18, 2023 03:48

    Zimbabwe imetangaza hali ya dharura katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare, kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambo umeua makumi ya watu, mbali na maelfu ya wengine kupata maambukizi.

  • Zimbabwe katika jitihada za kuzuia kuenea mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu

    Zimbabwe katika jitihada za kuzuia kuenea mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu

    Oct 23, 2023 12:40

    Serikali ya Zimbabwe imetangaza kuchukua hatua za kudhibiti kuenea ugonjwa wa kipindupindu nchini humo ambapoo hadi sasa watu 5,000 wamepata maambukizi tangu mwezi Februari mwaka huu.

  • Rais Mnangagwa wa Zimbabwe ashinda muhula wa pili, upinzani wakataa matokeo

    Rais Mnangagwa wa Zimbabwe ashinda muhula wa pili, upinzani wakataa matokeo

    Aug 27, 2023 03:44

    Rais Emmerson Dambudzo Mnangagwa wa Zimbabwe ameshinda muhula wa pili na wa mwisho wa urais katika matokeo yaliyokataliwa na upinzani na kutiliwa shaka na waangalizi wa kieneo na kimataifa.

  • SADC, EU: Uchaguzi wa Zimbabwe umekumbwa na kasoro nyingi

    SADC, EU: Uchaguzi wa Zimbabwe umekumbwa na kasoro nyingi

    Aug 26, 2023 06:41

    Huku wananchi wa Zimbabwe wakiendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumatano iliyopita na kuendelea mpaka Alkhamisi, timu za uangalizi wa uchaguzi huo zimetilia shaka mwenendo wa zoezi hilo la kidemorasia, zikisisitiza kuwa uchaguzi huo umekumbwa na dosari na wizi za kura.

  • Kinara wa upinzani Zimbabwe: Uchaguzi umegubikwa na udanganyifu

    Kinara wa upinzani Zimbabwe: Uchaguzi umegubikwa na udanganyifu

    Aug 24, 2023 07:12

    Mgombea wa chama kikuu cha upinzani katika uchaguzi wa rais nchini Zimbabwe, Nelson Chamisa amesema zoezi hilo la jana limekumbwa na kasoro nyingi na udanganyifu mkubwa, na kuna njama za kuchakachua matokeo ya uchaguzi huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS