-
Kwa nini Rais Mnangagwa wa Zimbabwe anakabiliwa na shinikizo la kujiuzulu?
Apr 03, 2025 11:35Mgawanyiko unaendelea kushuhudiwa ndani wa chama tawala cha ZANU-PF nchini Zimbabwe umeibua hofu ya uwezekano wa jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Mnangagwa, ambaye anajaribu kusalia madarakani baada ya mwaka 2028 licha ya kuwa ni kinyume na katiba.
-
Zimbabwe: Tunafanya hima kujiunga na kundi la BRICS
Mar 08, 2025 07:01Zimbabwe inafanya kila liwezekanalo kujiunga na kundi la BRICS, ikilenga kuimarisha uchumi wake na ushirikiano wa kimataifa.
-
Nchi nyingine ya Afrika yataka kujiunga na jumuiya ya BRICS
Jun 20, 2024 02:51Zimbabwe imesema iko tayari kujiunga na jumuiya ya kiuchumi ya BRICS, ambayo itatoa fursa nzuri kwa nchi hiyo kufanya biashara katika mazingira huru na nchi nyingine wanachama.
-
Iran: Lugha ya Kifarsi kufundishwa katika Vyuo Vikuu vya Zimbabwe
May 10, 2024 07:23Waziri wa Sayansi, Utafiti na Teknolojia wa Iran ametangaza utayarifu wa Jamhuri ya Kiislamu wa kuanza kufunza lugha ya Kifarsi katika Vyuo Vikuu vya Zimbabwe.
-
Mahakama ya Zimbabwe yawazuia wabunge wa upinzani kushiriki uchaguzi muhimu wa kesho Jumamosi
Dec 08, 2023 14:28Mahakama ya Zimbabwe imewazuia wagombea wengi wa upinzani kushiriki katika uchaguzi mdogo uliopangwa kufnyika siku ya Jumamosi ya kesho ambao yumkini ukakiwezesha chama tawala cha ZANU-PF kufanya mabadiliko ya katiba.
-
Zimbabwe yatangaza 'hali ya dharura' Harare kutokana na kipindupindu
Nov 18, 2023 03:48Zimbabwe imetangaza hali ya dharura katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare, kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambo umeua makumi ya watu, mbali na maelfu ya wengine kupata maambukizi.
-
Zimbabwe katika jitihada za kuzuia kuenea mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu
Oct 23, 2023 12:40Serikali ya Zimbabwe imetangaza kuchukua hatua za kudhibiti kuenea ugonjwa wa kipindupindu nchini humo ambapoo hadi sasa watu 5,000 wamepata maambukizi tangu mwezi Februari mwaka huu.
-
Rais Mnangagwa wa Zimbabwe ashinda muhula wa pili, upinzani wakataa matokeo
Aug 27, 2023 03:44Rais Emmerson Dambudzo Mnangagwa wa Zimbabwe ameshinda muhula wa pili na wa mwisho wa urais katika matokeo yaliyokataliwa na upinzani na kutiliwa shaka na waangalizi wa kieneo na kimataifa.
-
SADC, EU: Uchaguzi wa Zimbabwe umekumbwa na kasoro nyingi
Aug 26, 2023 06:41Huku wananchi wa Zimbabwe wakiendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumatano iliyopita na kuendelea mpaka Alkhamisi, timu za uangalizi wa uchaguzi huo zimetilia shaka mwenendo wa zoezi hilo la kidemorasia, zikisisitiza kuwa uchaguzi huo umekumbwa na dosari na wizi za kura.
-
Kinara wa upinzani Zimbabwe: Uchaguzi umegubikwa na udanganyifu
Aug 24, 2023 07:12Mgombea wa chama kikuu cha upinzani katika uchaguzi wa rais nchini Zimbabwe, Nelson Chamisa amesema zoezi hilo la jana limekumbwa na kasoro nyingi na udanganyifu mkubwa, na kuna njama za kuchakachua matokeo ya uchaguzi huo.