Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Wapinzani waendelea kulalamikia matokeo ya uchaguzi Zimbabwe

    Wapinzani waendelea kulalamikia matokeo ya uchaguzi Zimbabwe

    Aug 09, 2018 07:55

    Wapinzani nchini Zimbabwe wamendelea kufanya maandamano wakilalamikia matokeo ya uchaguzi wa Rais wa hivi karibuni yaliyompa ushindi Emmerson Mnangagwa wa chama tawala cha ZANU-PF.

  • Wafuasi 28 wa upinzani Zimbabwe washtakiwa kwa kuzusha vurugu baada ya uchaguzi

    Wafuasi 28 wa upinzani Zimbabwe washtakiwa kwa kuzusha vurugu baada ya uchaguzi

    Aug 05, 2018 08:15

    Wafuasi wasiopungua 28 wa mrengo wa upinzani nchini Zimbabwe wamepelekwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya kuzusha vurugu na machafuko baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi mkuu.

  • Rais mpya wa Zimbabwe na changamoto anazokabiliana nazo

    Rais mpya wa Zimbabwe na changamoto anazokabiliana nazo

    Aug 05, 2018 02:32

    Emmerson Mnangagwa amechaguliwa kuwa rais wa Zimbabwe katika uchaguzi wa kwanza ambao haukumuhusisha rais wa kwanza wa nchi hiyo Robert Mugabe aliyetawala nchi hiyo kwa muda wa miaka 37. Baada ya kutangazwa matokeo rasmi ya uchaguzi huo wa Jumatatu nchi hiyo imetumbukia katika ghasia za kisiasa huku wapinzani wakidai kuwepo wizi wa kura.

  • Upinzani, fujo na machafuko yaendelea baada ya uchaguzi nchini Zimbabwe.

    Upinzani, fujo na machafuko yaendelea baada ya uchaguzi nchini Zimbabwe.

    Aug 04, 2018 15:51

    Kiongozi wa upinzani nchini Zimbabwe ameyakataa matokeo ya uchaguzi wa rais akisema ni ya "uongo".

  • Rais wa Zimbabwe asisitiza udharura wa kudumisha umoja kufuatia ghasia

    Rais wa Zimbabwe asisitiza udharura wa kudumisha umoja kufuatia ghasia

    Aug 04, 2018 08:13

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ametoa wito kwa wananchi kudumisha umoja kufuatia ghasia zilizoibuka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza mshindi katika uchaguzi uliofanyika wiki hii.

  • Rais Emmerson Mnangagwa atangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais Zimbabwe

    Rais Emmerson Mnangagwa atangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais Zimbabwe

    Aug 03, 2018 04:25

    Tume ya Uchaguzi nchini Zimbabwe, imemtangaza asubuhi ya leo Rais wa sasa Emmerson Mnangagwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika siku ya Jumatatu iliyopita.

  • Jeshi la Zimbabwe laamuru kufungwa maduka yote Harare, matokeo ya uchaguzi karibuni

    Jeshi la Zimbabwe laamuru kufungwa maduka yote Harare, matokeo ya uchaguzi karibuni

    Aug 02, 2018 14:05

    Jeshi la Zimbabwe limeamuru kufungwa maduka yote na kuwataka watu kuondoka katika maeneo ya katikati mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Harare, siku moja baada ya watu watatu kuuawa kwa kupigwa risasi na askari usalama waliotumwa kuzima maandamano ya watu waliodai kuwa matokeo ya uchaguzi wa rais yamechakachuliwa.

  • Watatu wauawa Zimbabwe, askari usalama wapambana na wapinzani wanaopinga matokeo ya uchaguzi

    Watatu wauawa Zimbabwe, askari usalama wapambana na wapinzani wanaopinga matokeo ya uchaguzi

    Aug 02, 2018 08:07

    Polisi ya Zimbabwe imesema watu watatu waliuawa jana wakati askari walipokuwa wakiwatawanya wafuasi wa upinzani waliokuwa wakirembea mawe huku wakikituhumu chama tawala cha Zanu-PF kuwa kinajaribu kuchakachua matokeo ya uchaguzi uliofanyika siku ya Jumatatu.

  • Askari wapambana na wafuasi wa upinzani Zimbabwe huku ZANU-PF ikipata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa bunge

    Askari wapambana na wafuasi wa upinzani Zimbabwe huku ZANU-PF ikipata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa bunge

    Aug 01, 2018 16:37

    Milio ya risasi ya bunduki za otomatiki imesikika katika mitaa ya mji mkuu wa Zimbabwe, Harare leo wakati askari walipoingilia kati kuwatawanya waandamanaji waliopambana na polisi baada ya kiongozi mkuu wa upinzani kukituhumu chama tawala cha Zanu-PF kuwa kinajaribu kuyachakachua matokeo ya uchaguzi.

  • Mnangagwa na Chamisa wasema wana matumaini ya kushinda uchaguzi wa Rais Zimbabwe

    Mnangagwa na Chamisa wasema wana matumaini ya kushinda uchaguzi wa Rais Zimbabwe

    Jul 31, 2018 15:58

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe na mgombea wa chama cha MDC, Mchungaji Nelson Chamisa wamesema wote kuwa wana matumaini ya kushinda katika uchaguzi wa rais uliofanyika jana nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS