Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Uchaguzi wa Rais Zimbabwe waanza, Mugabe akipa mgongo chama tawala

    Uchaguzi wa Rais Zimbabwe waanza, Mugabe akipa mgongo chama tawala

    Jul 30, 2018 08:16

    Mamilioni ya wananchi wa Zimabwe wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura katika uchaguzi wa kwanza wa rais ambao haumshirikishi kiongozi mkongwe wa nchi hiyo, Robert Mugabe tangu Zimbabwe ipate Uhuru mwaka 1980.

  • UN: Wapiga kura wanatishiwa Zimbabwe kuelekea uchaguzi mkuu

    UN: Wapiga kura wanatishiwa Zimbabwe kuelekea uchaguzi mkuu

    Jul 24, 2018 16:24

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeelezea wasiwasi mkubwa ilionao kuhusu kukithiri visa vya wapiga kura kutishiwa maisha nchini Zimbabwe, baadhi yao wakilazimishwa kushiriki mikutano wa kisiasa, zikiwa zimesalia siku chache wananchi waelekee katika masanduku ya kupigia kura kuwachagua viongozi wao.

  • Mnangagwa: Wakulima wazungu wasiwe na hofu kuhusu ardhi zao

    Mnangagwa: Wakulima wazungu wasiwe na hofu kuhusu ardhi zao

    Jul 22, 2018 07:23

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amewafahamisha wakulima wazungu nchini humo kuwa zama za kuchukuliwa kwa nguvu ardhi zao zimemalizika huku akiwataka wafanye kazi pamoja na serikali yake.

  • Maandamano dhidi ya chama tawala yafanyika Zimbabwe

    Maandamano dhidi ya chama tawala yafanyika Zimbabwe

    Jul 12, 2018 04:11

    Maelfu ya wafuasi wa upinzani jana Jumatano walijitokeza mabarabarani kushiriki maandamano dhidi ya chama tawala nchini Zimbabwe Zanu-pf katika mji mkuu Harare.

  • Washukiwa wawili watiwa nguvuni kuhusiana na mlipuko wa Zimbabwe

    Washukiwa wawili watiwa nguvuni kuhusiana na mlipuko wa Zimbabwe

    Jul 04, 2018 13:55

    Polisi nchini Zimbabwe imewatia mbaroni washukiwa wawili kuhusiana na mlipuko wa guruneti ulioua watu wawili na kuwajeruhi wengine 47 katika mkutano wa kampeni wa Rais Emmerson Mnangagwa mwezi uliopita.

  • Mnangagwa ailaumu G40 inayomuunga mkono Grace Mugabe kwa mripuko

    Mnangagwa ailaumu G40 inayomuunga mkono Grace Mugabe kwa mripuko

    Jun 28, 2018 03:31

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema anashuku huenda kundi la G40 linalomuunga mkono Grace Mugabe, mke wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo ndilo lililohusika katika kile anachokitaja kama jaribio la mauaji dhidi yake katika mji wa Bulawayo Jumamosi iliyopita.

  • Polisi nchini Zimbabwe yamtia mbaroni kiongozi wa upinzani

    Polisi nchini Zimbabwe yamtia mbaroni kiongozi wa upinzani

    Jun 26, 2018 15:28

    Kiongozi wa upinzani nchini Zimbabwe amekamatwa na polisi ya nchi hiyo baada ya kushinikiza kujiuzulu kwa mkuu wa Tume ya Uchaguzi, mwezi mmoja kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini humo.

  • Watu wawili wamekufa kufuatia majeraha ya mlipuko uliotokea Zimbabwe

    Watu wawili wamekufa kufuatia majeraha ya mlipuko uliotokea Zimbabwe

    Jun 26, 2018 07:54

    Watu wawili wameaga dunia Zimbabwe kutokana na majeraha waliyopata kwenye mlipuko uliotokea katika mkutano wa hadhara wa kampezi za uchaguzi huko Bulawayo siku ya Jumamosi.

  • Mnangagwa: Nilikuwa karibu sana na mlipuko; uchaguzi utaendelea kama ilivyopangwa + Video

    Mnangagwa: Nilikuwa karibu sana na mlipuko; uchaguzi utaendelea kama ilivyopangwa + Video

    Jun 24, 2018 13:16

    Rais wa Zimbabwe amesema kuwa uchaguzi wa rais nchini humo utafanyika tarehe 30 Julai kama ilivyopangwa licha ya kile kinachosemekana ni jaribio la kutaka kumua jana Jumamosi.

  • Iran yalaani jaribio la mauaji dhidi ya Rais wa Zimbabwe

    Iran yalaani jaribio la mauaji dhidi ya Rais wa Zimbabwe

    Jun 24, 2018 07:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali jaribio lililofeli la mauaji dhidi ya Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa katika mji wa Bulawayo jana Jumamosi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS