-
Uchaguzi wa Rais Zimbabwe waanza, Mugabe akipa mgongo chama tawala
Jul 30, 2018 08:16Mamilioni ya wananchi wa Zimabwe wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura katika uchaguzi wa kwanza wa rais ambao haumshirikishi kiongozi mkongwe wa nchi hiyo, Robert Mugabe tangu Zimbabwe ipate Uhuru mwaka 1980.
-
UN: Wapiga kura wanatishiwa Zimbabwe kuelekea uchaguzi mkuu
Jul 24, 2018 16:24Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeelezea wasiwasi mkubwa ilionao kuhusu kukithiri visa vya wapiga kura kutishiwa maisha nchini Zimbabwe, baadhi yao wakilazimishwa kushiriki mikutano wa kisiasa, zikiwa zimesalia siku chache wananchi waelekee katika masanduku ya kupigia kura kuwachagua viongozi wao.
-
Mnangagwa: Wakulima wazungu wasiwe na hofu kuhusu ardhi zao
Jul 22, 2018 07:23Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amewafahamisha wakulima wazungu nchini humo kuwa zama za kuchukuliwa kwa nguvu ardhi zao zimemalizika huku akiwataka wafanye kazi pamoja na serikali yake.
-
Maandamano dhidi ya chama tawala yafanyika Zimbabwe
Jul 12, 2018 04:11Maelfu ya wafuasi wa upinzani jana Jumatano walijitokeza mabarabarani kushiriki maandamano dhidi ya chama tawala nchini Zimbabwe Zanu-pf katika mji mkuu Harare.
-
Washukiwa wawili watiwa nguvuni kuhusiana na mlipuko wa Zimbabwe
Jul 04, 2018 13:55Polisi nchini Zimbabwe imewatia mbaroni washukiwa wawili kuhusiana na mlipuko wa guruneti ulioua watu wawili na kuwajeruhi wengine 47 katika mkutano wa kampeni wa Rais Emmerson Mnangagwa mwezi uliopita.
-
Mnangagwa ailaumu G40 inayomuunga mkono Grace Mugabe kwa mripuko
Jun 28, 2018 03:31Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema anashuku huenda kundi la G40 linalomuunga mkono Grace Mugabe, mke wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo ndilo lililohusika katika kile anachokitaja kama jaribio la mauaji dhidi yake katika mji wa Bulawayo Jumamosi iliyopita.
-
Polisi nchini Zimbabwe yamtia mbaroni kiongozi wa upinzani
Jun 26, 2018 15:28Kiongozi wa upinzani nchini Zimbabwe amekamatwa na polisi ya nchi hiyo baada ya kushinikiza kujiuzulu kwa mkuu wa Tume ya Uchaguzi, mwezi mmoja kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini humo.
-
Watu wawili wamekufa kufuatia majeraha ya mlipuko uliotokea Zimbabwe
Jun 26, 2018 07:54Watu wawili wameaga dunia Zimbabwe kutokana na majeraha waliyopata kwenye mlipuko uliotokea katika mkutano wa hadhara wa kampezi za uchaguzi huko Bulawayo siku ya Jumamosi.
-
Mnangagwa: Nilikuwa karibu sana na mlipuko; uchaguzi utaendelea kama ilivyopangwa + Video
Jun 24, 2018 13:16Rais wa Zimbabwe amesema kuwa uchaguzi wa rais nchini humo utafanyika tarehe 30 Julai kama ilivyopangwa licha ya kile kinachosemekana ni jaribio la kutaka kumua jana Jumamosi.
-
Iran yalaani jaribio la mauaji dhidi ya Rais wa Zimbabwe
Jun 24, 2018 07:33Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali jaribio lililofeli la mauaji dhidi ya Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa katika mji wa Bulawayo jana Jumamosi.