-
Rais wa Zimbabwe: Siku yangu ya kufa bado haijafika + Video
Jun 24, 2018 04:45Rais wa Zimbabwe amesema baada ya kunusurika kifo katika mlipuko wa jana kwamba, siku yake ya kufa ilikuwa haijafika.
-
Bunge la Zimbabwe latupilia mbali mpango wa kumsaili Mugabe
Jun 12, 2018 07:10Bunge la Zimbabwe limetupilia mbali mpango wa kutaka kumsaili rais wa zamani wa nchi hiyo, Robert Mugabe, kuhusu utendaji wa migodi ya almasi wakati wa uongozi wake.
-
Uchaguzi mkuu wa Zimbabwe kufanyika tarehe 30 Julai
May 30, 2018 15:18Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ametangaza kuwa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo utafanyika tarehe 30 Julai.
-
Wafanyakazi wa sekta ya umma Zimbabwe wakataa nyongeza kubwa ya mshahara
May 16, 2018 03:18Wafanyakazi wa sekta ya umma nchini Zimbabwe wamekataa nyongeza ya mshahara ya asilimia 15 iliyoahidiwa na serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo na wametaka kuzidishwa zaidi ya mara mbili mshahara wa watumishi wa kiwango cha chini.
-
Mugabe aitwa bungeni ajieleze kuhusu faili la ufisadi wa fedha
Apr 20, 2018 14:30Rais wa Zamani wa Zimbabwe, Robert Gabriel Mugabe ametakiwa kufika bungeni kwa ajili ya kutoa ushahidi kuhusiana na madai ya ufisadi wa fedha yaliyofanywa na serikali yake.
-
Mnangagwa: Sheria mpya ya uwekezaji Zimbabwe kutoa fursa za kiuchumi kwa wawekezaji kutoka nje
Apr 19, 2018 03:04Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema kuwa nchi hiyo inashughulikia sheria mpya ya uwezekaji ili kutoa fursa za kiuchumi kwa wawekezaji kutoka nchi za nje. Rais wa Zimbabwe amesema wameamua kushughulikia suala hilo ikiwa ni sehemu ya jitihada za serikali yake za kufufua uchumi wa nchi hiyo uliozorota katika miaka ya mwisho ya utawala wa Rais Robert Mugabe.
-
Zimbabwe yataka kuimarisha zaidi uhusiano wake na Iran
Apr 05, 2018 14:44Makamu wa Rais wa Zimbabwe amehimiza kuimarishwa uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kuimarika uhusiano wa Zimbabwe na China
Apr 05, 2018 01:39Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amemshukuru rais mwenzake wa China Xi Jinping kwa uungaji mkono wa kisiasa wa nchi hiyo kwa Zimbabwe na kutaka kuimarishwa zaidi uhusiano wa pande mbili.
-
Mke wa Mugabe wa Zimbabwe achunguzwa kwa magendo ya vipusa
Mar 25, 2018 10:59Serikali ya Zimbabwe imeanzisha uchunguzi dhidi ya mke wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe kwa tuhuma za kuhusika na magendo ya vipusa.
-
Rais Mnangagwa ashangazwa na kusajiliwa vyama 112 vya siasa Zimbabwe
Mar 23, 2018 07:26Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ameeleza kushtushwa na ripoti zinazosema kuwa nchi hiyo imesajili makumi ya vyama vya siasa vitakavyochuana na chama tawala Zanu-PF katika uchaguzi mkuu ujao.