Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Rais wa Zimbabwe ameazimia kupambana na ufisadi

    Rais wa Zimbabwe ameazimia kupambana na ufisadi

    Dec 15, 2017 04:12

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ameazimia kupambana na ufisadi na kusema atawataja na kuwaaibisha wote waliopeleka fedha za umma nje ya nchi kama watashindwa kuzirudisha.

  • Mabadiliko ya kisiasa Zimbabwe baada ya Mugabe na mustakabali unaoikabili nchi hiyo

    Mabadiliko ya kisiasa Zimbabwe baada ya Mugabe na mustakabali unaoikabili nchi hiyo

    Dec 03, 2017 09:43

    Baada ya kupita wiki chache tangu kuingia madarakani rais mpya wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa na kutangaza baraza lake jipya la mawaziri, malalamiko dhidi ya uteuzi aliofanya yamemfanya alazimike kuwabadilisha mawaziri wake wawili baada ya kupita siku mbili tu tangu alipowateua.

  • Mawaziri wawili wafutwa kazi siku mbili tu tangu wateuliwe nchini Zimbabwe

    Mawaziri wawili wafutwa kazi siku mbili tu tangu wateuliwe nchini Zimbabwe

    Dec 02, 2017 23:34

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe jana aliwafuta kazi mawaziri wake wawili zikiwa zimepita siku mbili tu tangu awateuwe siku ya Alkhamisi.

  • Mnangagwa ateua baraza la mawaziri, wanajeshi na wapambe wa Zanu-PF wafaidi

    Mnangagwa ateua baraza la mawaziri, wanajeshi na wapambe wa Zanu-PF wafaidi

    Dec 01, 2017 04:06

    Emmerson Mnangagwa, Rais mpya wa Zimbabwe ameteuwa baraza lake jipya la mawaziri, linalojumuisha maafisa wa ngazi za juu kwenye jeshi la nchi hiyo na viongozi 'waaminifu' wa chama tawala ZANU-PF.

  • Rais Mnangagwa wa Zimbabwe atoa muhula wa miezi mitatu kwa walioiba fedha za umma kuzirejesha

    Rais Mnangagwa wa Zimbabwe atoa muhula wa miezi mitatu kwa walioiba fedha za umma kuzirejesha

    Nov 29, 2017 00:55

    Rais mpya wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa ametoa muhula wa miezi mitatu kwa wale wote waliopora fedha za umma na kuzificha nje ya nchi kuzirejesha.

  • Mnangagwa kuteuwa baraza lake la mawaziri wiki hii; je atawaacha wakongwe wa zama za Mugabe?

    Mnangagwa kuteuwa baraza lake la mawaziri wiki hii; je atawaacha wakongwe wa zama za Mugabe?

    Nov 27, 2017 12:01

    Emmerson Mnangagwa Rais mpya wa Zimbabwe anatazamiwa kuteuwa baraza lake jipya la mawaziri wiki hii, huku macho na masikio ya walimwengu yakisubiri kuona je atawapiga kalamu wanasiasa wakongwe au ataunda serikali pana, au atawabakisha serikali vigogo wakongwe wa utawala uliopita wa Mugabe?

  • Mugabe alidondokwa na machozi na kukubali shingo upande kuachia madaraka

    Mugabe alidondokwa na machozi na kukubali shingo upande kuachia madaraka

    Nov 26, 2017 10:07

    Gazeti la Standard linalochapishwa nchini Zimbabwe limefichua kuwa, aliyekuwa rais wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, Robert Mugabe alionekana akilia huku akisema 'usaliti' wakati alipokubali kuachia madaraka kufuatia mashinikizo ya kila upande wiki iliyopita.

  • Waziri wa fedha wa Zimbabwe afikishwa mahakamani

    Waziri wa fedha wa Zimbabwe afikishwa mahakamani

    Nov 25, 2017 12:48

    Aliyekuwa waziri wa fedha wa Zimbabwe, Ignatius Chombo ambaye alikuwa amekamatwa na jeshi baada ya kuchukua mamlaka, leo amefikishwa mahakamani akikabiliwa na tuhuma za ufisadi.

  • Mnangagwa aapishwa kuwa rais mpya wa Zimbabwe, aahidi kulijenga upya taifa

    Mnangagwa aapishwa kuwa rais mpya wa Zimbabwe, aahidi kulijenga upya taifa

    Nov 24, 2017 12:28

    Emmerson Mnangagwa, Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyefutwa kazi na Robert Mugabe wiki chache zilizopita ameapishwa hii leo kuwa rais mpya wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, huku akiahidi kulijenga upya taifa hilo linalokabiliwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

  • Rais mtarajiwa wa Zimbabwe kuapishwa leo

    Rais mtarajiwa wa Zimbabwe kuapishwa leo

    Nov 24, 2017 04:27

    Rais mtarajiwa wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa anatarajiwa kutawazwa leo Ijumaa, ikiwa ni siku tatu tu baada ya mtangulizi wake Robert Mugabe kuachia ngazi kwa mashinikizo ya jeshi na chama chake cha Zanu-PF.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS