Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Rais Rouhani: Iran ina hamu ya kustawisha zaidi uhusiano na nchi za Afrika

    Rais Rouhani: Iran ina hamu ya kustawisha zaidi uhusiano na nchi za Afrika

    Aug 07, 2017 12:11

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa nyakati tofauti na Rais wa Zimbabwe na Waziri wa Utamaduni na Mawasiliano wa Senegal walioko hapa mjini Tehran na kusisitiza kuwa Tehran inataka kuimarisha zaidi ushirikiano wake na nchi hizo mbili za Afrika.

  • Upinzani Zimbabwe wajiweka sawa ili kumbwaga Mugabe 2018

    Upinzani Zimbabwe wajiweka sawa ili kumbwaga Mugabe 2018

    Aug 06, 2017 02:34

    Kinara wa upinzani nchini Zimbabwe, Morgan Tsvangirai ametangaza kuungana na wapambe wake wa zamani kwa shabaha ya kuunda muungano mmoja wenye nguvu ili waweze kumundoa madarakani Rais Robert Mugabe katika uchaguzi mkuu mwakani.

  • Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Zimbabwe wasisitiza kuimarisha uhusiano wa nchi zao

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Zimbabwe wasisitiza kuimarisha uhusiano wa nchi zao

    Aug 04, 2017 22:10

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe wamesisitiza juu ya azma ya nchi zao ya kuimarisha uhusiano katika nyanja mbalimbali.

  • Mke wa Rais wa Zimbabwe ataka Mugabe ataje mrithi wake

    Mke wa Rais wa Zimbabwe ataka Mugabe ataje mrithi wake

    Jul 27, 2017 11:06

    Mke wa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amemtaka mumewe aanishe na kumtangaza mrithi wa kiti cha rais nchini humo.

  • Rais Mugabe wa Zimbabwe aelekea Singapore kupata matibabu

    Rais Mugabe wa Zimbabwe aelekea Singapore kupata matibabu

    Jul 09, 2017 23:28

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe yuko nchini Singapore kwa ajili ya matibabu, hii ikiwa ni safari yake ya tatu ya kitiba nchini humo mwaka huu.

  • Iran na Zimbabwe zajadili njia za kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

    Iran na Zimbabwe zajadili njia za kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

    May 17, 2017 09:27

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zimejadili njia mbalimbali za kukuza na kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi baina ya nchi mbili hizo.

  • Uislamu unaenea kwa kasi nchini Zimbabwe

    Uislamu unaenea kwa kasi nchini Zimbabwe

    May 15, 2017 23:34

    Uislamu unaenea kwa kasi nchini Zimbabwe huku wakaazi wengi wa nchi hiyo wakiwa sasa wanafahamu na kukubali mafundisho ya dini hiyo tukufu.

  • Iran kufungua kampuni ya kutengeneza trekta nchini Zimbabwe

    Iran kufungua kampuni ya kutengeneza trekta nchini Zimbabwe

    May 14, 2017 02:48

    Balozi wa Iran mjini Harare amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuanzisha kampuni ya kutengeneza tingatinga nchini Zimbabwe.

  • Viongozi wa upinzani Zimbabwe kuungana ili kupambana na Rais Mugabe katika uchaguzi wa 2018

    Viongozi wa upinzani Zimbabwe kuungana ili kupambana na Rais Mugabe katika uchaguzi wa 2018

    Apr 20, 2017 02:35

    Wapinzani wawili wakuu wa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe wamesema wameamua kuungana ili kuhakikisha kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 93 haendelei kubaki tena madarakani kwa muhula mwengine wa miaka mitano.

  • Makumi ya watu waaga dunia kwa malaria Zimbabwe

    Makumi ya watu waaga dunia kwa malaria Zimbabwe

    Mar 27, 2017 23:24

    Wizara ya Afya ya Zimbabwe imetangaza kuwa watu wasiopungua 150 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa malaria nchini Zimbabwe katika muda wa miezi miwili iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS