Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Wapinzani waandamana Zimbabwe, wadai kuna njama za kuiba kura

    Wapinzani waandamana Zimbabwe, wadai kuna njama za kuiba kura

    Mar 22, 2017 11:12

    Maelfu ya wafuasi wa vyama vya upinzani nchini Zimbabwe wameshiriki maandamano katika mji mkuu Harare, kulalamikia kile wanachodai kuwa ni njama ya kuiba kura katika uchaguzi ujao wa rais.

  • Iran na Zimbabwe kuendeleza ushirikiano wa kibiashara

    Iran na Zimbabwe kuendeleza ushirikiano wa kibiashara

    Mar 15, 2017 13:04

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mji mkuu wa Zimbabwe, Harare, ameonana na mkuu mtendaji wa taasisi ya ustawi wa kibiashara ya nchi hiyo na pande mbili zimesisitizia haja ya kuimarishwa ushirikiano wa kiuchumi baina yao.

  • Iran na Zimbabwe kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

    Iran na Zimbabwe kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

    Mar 03, 2017 04:38

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zimesisitiza juu ya kuimarisha ushirikiano wa pande mbili katika uga wa uchumi.

  • Zimbabwe: Tutaendelea kushirikiana na Iran kutetea Wapalestina

    Zimbabwe: Tutaendelea kushirikiana na Iran kutetea Wapalestina

    Feb 23, 2017 09:49

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amezikosoa baadhi ya nchi zinazojiita za Kiislamu kwa kushindwa kusimama kidete kutetea maslahi ya Wapalestina.

  • Mwanaharakati Zimbabwe asema atachuana na Mugabe uchaguzi wa 2018

    Mwanaharakati Zimbabwe asema atachuana na Mugabe uchaguzi wa 2018

    Feb 19, 2017 04:16

    Kiongozi wa harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Zimbabwe ametangaza kuwa atagombea kiti cha rais dhidi ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo katika uchaguzi unaotazamiwa kufanyika mwakani.

  • Madaktari wafanya tena mgomo nchini Zimbabwe

    Madaktari wafanya tena mgomo nchini Zimbabwe

    Feb 16, 2017 04:00

    Madaktari, wauguzi na wahudumu wengine wa afya wameanza mgomo wa nchi nzima kushinikiza nyongeza ya mishahara na kuboreshwa mazingira ya kufanyia kazi.

  • Wakulima Wazungu wanakabiliwa na njaa nchini Zimbabwe

    Wakulima Wazungu wanakabiliwa na njaa nchini Zimbabwe

    Feb 14, 2017 22:05

    Kwa akali wakulima 1000 Wazungu wanakabiliwa na hali mbaya ya njaa nchini Zimbabwe kutokana na kile kinachotajwa kuwa sera ya kibaguzi ya ardhi.

  • Mahakama ya Katiba ya Zimbabwe yapinga mashtaka dhidi ya Mugabe

    Mahakama ya Katiba ya Zimbabwe yapinga mashtaka dhidi ya Mugabe

    Feb 08, 2017 11:21

    Mahakama ya Katiba ya Zimbabwe imekataa mashtaka yaliyowasishwa na mwanaharakati Promise Mkwananzi dhidi ya kiongozi mkongwe wa nchi hiyo, Robert Mugabe kwamba alikiuka katiba wakati wa maandamano ya mwaka jana ya wananchi dhidi ya utawala wake na chama tawala cha ZANU-PF.

  • Pigo la kwanza kwa Joice Mujuru katika uchaguzi mdogo wa bunge nchini Zimbabwe

    Pigo la kwanza kwa Joice Mujuru katika uchaguzi mdogo wa bunge nchini Zimbabwe

    Jan 23, 2017 23:25

    Katika hali ambayo, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amesisitiza kuwa, atasimama kuwania tena kiti cha urais katika uchaguzi wa hapo mwakani, vyama vya siasa vya upinzani vya nchi hiyo vinajiandaa kwa ajili ya kukabiliana naye.

  • Kuchaguliwa tena Mugabe kugombea urais katika uchaguzi wa 2018 nchini Zimbabwe

    Kuchaguliwa tena Mugabe kugombea urais katika uchaguzi wa 2018 nchini Zimbabwe

    Dec 18, 2016 10:37

    Rais Robert Mugabe wa Zimbambwe amechaguliwa tena kubeba bendera ya chama tawala cha Zanu-PF katika uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika mwaka 2018.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS