-
Wapinzani waandamana Zimbabwe, wadai kuna njama za kuiba kura
Mar 22, 2017 11:12Maelfu ya wafuasi wa vyama vya upinzani nchini Zimbabwe wameshiriki maandamano katika mji mkuu Harare, kulalamikia kile wanachodai kuwa ni njama ya kuiba kura katika uchaguzi ujao wa rais.
-
Iran na Zimbabwe kuendeleza ushirikiano wa kibiashara
Mar 15, 2017 13:04Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mji mkuu wa Zimbabwe, Harare, ameonana na mkuu mtendaji wa taasisi ya ustawi wa kibiashara ya nchi hiyo na pande mbili zimesisitizia haja ya kuimarishwa ushirikiano wa kiuchumi baina yao.
-
Iran na Zimbabwe kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi
Mar 03, 2017 04:38Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zimesisitiza juu ya kuimarisha ushirikiano wa pande mbili katika uga wa uchumi.
-
Zimbabwe: Tutaendelea kushirikiana na Iran kutetea Wapalestina
Feb 23, 2017 09:49Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amezikosoa baadhi ya nchi zinazojiita za Kiislamu kwa kushindwa kusimama kidete kutetea maslahi ya Wapalestina.
-
Mwanaharakati Zimbabwe asema atachuana na Mugabe uchaguzi wa 2018
Feb 19, 2017 04:16Kiongozi wa harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Zimbabwe ametangaza kuwa atagombea kiti cha rais dhidi ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo katika uchaguzi unaotazamiwa kufanyika mwakani.
-
Madaktari wafanya tena mgomo nchini Zimbabwe
Feb 16, 2017 04:00Madaktari, wauguzi na wahudumu wengine wa afya wameanza mgomo wa nchi nzima kushinikiza nyongeza ya mishahara na kuboreshwa mazingira ya kufanyia kazi.
-
Wakulima Wazungu wanakabiliwa na njaa nchini Zimbabwe
Feb 14, 2017 22:05Kwa akali wakulima 1000 Wazungu wanakabiliwa na hali mbaya ya njaa nchini Zimbabwe kutokana na kile kinachotajwa kuwa sera ya kibaguzi ya ardhi.
-
Mahakama ya Katiba ya Zimbabwe yapinga mashtaka dhidi ya Mugabe
Feb 08, 2017 11:21Mahakama ya Katiba ya Zimbabwe imekataa mashtaka yaliyowasishwa na mwanaharakati Promise Mkwananzi dhidi ya kiongozi mkongwe wa nchi hiyo, Robert Mugabe kwamba alikiuka katiba wakati wa maandamano ya mwaka jana ya wananchi dhidi ya utawala wake na chama tawala cha ZANU-PF.
-
Pigo la kwanza kwa Joice Mujuru katika uchaguzi mdogo wa bunge nchini Zimbabwe
Jan 23, 2017 23:25Katika hali ambayo, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amesisitiza kuwa, atasimama kuwania tena kiti cha urais katika uchaguzi wa hapo mwakani, vyama vya siasa vya upinzani vya nchi hiyo vinajiandaa kwa ajili ya kukabiliana naye.
-
Kuchaguliwa tena Mugabe kugombea urais katika uchaguzi wa 2018 nchini Zimbabwe
Dec 18, 2016 10:37Rais Robert Mugabe wa Zimbambwe amechaguliwa tena kubeba bendera ya chama tawala cha Zanu-PF katika uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika mwaka 2018.