-
Viongozi wa upinzani Zimbabwe kuungana ili kupambana na Rais Mugabe katika uchaguzi wa 2018
Apr 20, 2017 02:35Wapinzani wawili wakuu wa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe wamesema wameamua kuungana ili kuhakikisha kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 93 haendelei kubaki tena madarakani kwa muhula mwengine wa miaka mitano.
-
Makumi ya watu waaga dunia kwa malaria Zimbabwe
Mar 27, 2017 23:24Wizara ya Afya ya Zimbabwe imetangaza kuwa watu wasiopungua 150 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa malaria nchini Zimbabwe katika muda wa miezi miwili iliyopita.
-
Wapinzani waandamana Zimbabwe, wadai kuna njama za kuiba kura
Mar 22, 2017 11:12Maelfu ya wafuasi wa vyama vya upinzani nchini Zimbabwe wameshiriki maandamano katika mji mkuu Harare, kulalamikia kile wanachodai kuwa ni njama ya kuiba kura katika uchaguzi ujao wa rais.
-
Iran na Zimbabwe kuendeleza ushirikiano wa kibiashara
Mar 15, 2017 13:04Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mji mkuu wa Zimbabwe, Harare, ameonana na mkuu mtendaji wa taasisi ya ustawi wa kibiashara ya nchi hiyo na pande mbili zimesisitizia haja ya kuimarishwa ushirikiano wa kiuchumi baina yao.
-
Iran na Zimbabwe kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi
Mar 03, 2017 04:38Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zimesisitiza juu ya kuimarisha ushirikiano wa pande mbili katika uga wa uchumi.
-
Zimbabwe: Tutaendelea kushirikiana na Iran kutetea Wapalestina
Feb 23, 2017 09:49Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amezikosoa baadhi ya nchi zinazojiita za Kiislamu kwa kushindwa kusimama kidete kutetea maslahi ya Wapalestina.
-
Mwanaharakati Zimbabwe asema atachuana na Mugabe uchaguzi wa 2018
Feb 19, 2017 04:16Kiongozi wa harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Zimbabwe ametangaza kuwa atagombea kiti cha rais dhidi ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo katika uchaguzi unaotazamiwa kufanyika mwakani.
-
Madaktari wafanya tena mgomo nchini Zimbabwe
Feb 16, 2017 04:00Madaktari, wauguzi na wahudumu wengine wa afya wameanza mgomo wa nchi nzima kushinikiza nyongeza ya mishahara na kuboreshwa mazingira ya kufanyia kazi.
-
Wakulima Wazungu wanakabiliwa na njaa nchini Zimbabwe
Feb 14, 2017 22:05Kwa akali wakulima 1000 Wazungu wanakabiliwa na hali mbaya ya njaa nchini Zimbabwe kutokana na kile kinachotajwa kuwa sera ya kibaguzi ya ardhi.
-
Mahakama ya Katiba ya Zimbabwe yapinga mashtaka dhidi ya Mugabe
Feb 08, 2017 11:21Mahakama ya Katiba ya Zimbabwe imekataa mashtaka yaliyowasishwa na mwanaharakati Promise Mkwananzi dhidi ya kiongozi mkongwe wa nchi hiyo, Robert Mugabe kwamba alikiuka katiba wakati wa maandamano ya mwaka jana ya wananchi dhidi ya utawala wake na chama tawala cha ZANU-PF.