-
Maandamano Zimbabwe kulalamikia hali mbaya ya uchumi
Jul 04, 2016 23:21Polisi nchini Zimbabwe wametumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya maelfu ya madereva waliokuwa wakiandamana kulalamikia hali inayozidi kuwa mbaya ya uchumi wa nchi hiyo.
-
Rais wa Zimbabwe atoa msamaha kwa wafungwa wanawake kupunguza gharama
May 26, 2016 11:59Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametoa msamaha kwa wafungwa wote wanawake ghairi ya waliohukumiwa kifo au kifungo cha maisha huku jela za nchi hiyo zikikabiliwa na tatizo la chakula cha kuhudumia wafungwa kutokana na kukosa fedha kutoka serikalini.
-
Maelfu waandamana Zimbabwe kumuunga mkono Mugabe
May 25, 2016 10:02Maelfu ya wananchi wa Zimbabwe wamejitokeza barabarani katika mji mkuu Harare, kushiriki maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, mwenye umri wa miaka 92.
-
Zimbabwe kuchapisha dola ya Marekani kukabiliana na ukosefu wa pesa
May 07, 2016 23:19Benki Kuu ya Zimbabwe imetangaza kuwa nchi hiyo inakabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa fedha za kigeni na hivyo itachapisha dola sawa na ile ya Marekani kukabilinaa na hali hiyo.
-
Afrika Kusini na Zimbabwe zatimua raia 200 wa Msumbiji
May 03, 2016 23:53Afrika Kusini na Zimbabwe zimewarejesha nyumbani raia 197 wa Msumbiji. Hayo yamesemwa na Idhaa ya Taifa ya Msumbuji.
-
Zimbabwe yaamua kuuza wanyama pori kutokana na janga la ukame
May 03, 2016 11:58Serikali ya Zimbabwe imetangaza leo kuwa inawauza wanyama pori wake na kueleza kwamba inahitaji wanunuzi wa kuchukua hatua ya kuwaokoa wanyama hao na maafa ya ukame.
-
Malalamiko ya wananchi wa Zimbabwe kuhusu siasa za Rais Robert Mugabe
Apr 15, 2016 23:42Wananchi wa Zimbabwe wamefanya maandamano kulalamikia siasa za Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo.
-
WFP: Dola 220 zinahitajika kwa ajili ya Zimbabwe
Mar 16, 2016 11:56Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP limetangaza kuwa, linahitajia kiasi cha dola milioni 220 kwa ajili ya shughuli za misaada ya kibinadamu kwa nchi ya Zimbabwe inayokabiliwa na ukame.
-
Kuongezeka idadi ya wahitaji wa misaada ya chakula barani Afrika
Mar 16, 2016 10:26Kiongozi mmoja wa serikali ya Zimbabwe, ameelezea ongezeko kubwa la wahitaji wa misaada ya chakula kutokana na kushadidi ukame nchini humo.
-
UNICEF yatahadharisha kuhusu hatari ya njaa na utapiamlo inayoikabili Zimbabwe
Mar 15, 2016 23:52Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kushughulikia Watoto (UNICEF) umetahadharisha juu ya hali mbaya ya njaa nchini Zimbabwe na kutangaza kuwa endapo hatua za lazima hazitochukuliwa juu ya suala hilo baa la njaa na utapiamlo vitavuka kiwango cha kuweza kudhibitika.