-
Zimbabwe imeshindwa kulilipa jeshi kwa mwezi wa pili mfululizo
Jul 16, 2016 00:02Zimbabwe imeshindwa kulipa mishahara ya jeshi la nchi hiyo kwa wakati kwa mwezi wa pili mfululizo sasa.
-
Kiongozi wa harakati ya malalamiko apandishwa kizimbani Zimbabwe
Jul 13, 2016 10:49Kiongozi wa harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Zimbabwe ya Stay at Home amepandishwa kizimbani kujibu mashtaka ya kuchochea ghasia na kuhatarisha usalama wa nchi.
-
Kiongozi wa harakati ya upinzani akamatwa Zimbabwe
Jul 12, 2016 12:32Mkuu wa harakati inayoongoza malalamiko na upinzani wa wananchi dhidi ya utendaji wa serikali ya Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametiwa nguvuni kwa tuhuma za kuchochea wananchi.
-
Tuhuma za serikali ya Zimbabwe dhidi ya nchi za Magharibi
Jul 11, 2016 23:15Serikali ya Zimbabwe imezituhumu baadhi ya nchi za Magharibi kwamba, zinaunga mkono malalamiko na migomo inayoshuhudiwa nchini humo.
-
Mgomo waendelea nchini Zimbabwe dhidi ya serikali
Jul 10, 2016 22:13Duru za habari nchini Zimbabwe zimeripoti kuendelea mgomo wa nchi nzima katika maeneo ya kazi, maduka na shule nchini humo.
-
ZANU-PF: Mugabe hatojiuzulu licha ya maandamano
Jul 08, 2016 00:18Chama tawala nchini Zimbabwe cha ZANU-PF kimesema Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo hatajiuzulu licha ya mgomo wa wafanyakazi na maandamano ya wananchi kulalamikia uongozi wake na hali mbaya ya uchumi.
-
Maandamano Zimbabwe kulalamikia hali mbaya ya uchumi
Jul 04, 2016 23:21Polisi nchini Zimbabwe wametumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya maelfu ya madereva waliokuwa wakiandamana kulalamikia hali inayozidi kuwa mbaya ya uchumi wa nchi hiyo.
-
Rais wa Zimbabwe atoa msamaha kwa wafungwa wanawake kupunguza gharama
May 26, 2016 11:59Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametoa msamaha kwa wafungwa wote wanawake ghairi ya waliohukumiwa kifo au kifungo cha maisha huku jela za nchi hiyo zikikabiliwa na tatizo la chakula cha kuhudumia wafungwa kutokana na kukosa fedha kutoka serikalini.
-
Maelfu waandamana Zimbabwe kumuunga mkono Mugabe
May 25, 2016 10:02Maelfu ya wananchi wa Zimbabwe wamejitokeza barabarani katika mji mkuu Harare, kushiriki maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, mwenye umri wa miaka 92.
-
Zimbabwe kuchapisha dola ya Marekani kukabiliana na ukosefu wa pesa
May 07, 2016 23:19Benki Kuu ya Zimbabwe imetangaza kuwa nchi hiyo inakabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa fedha za kigeni na hivyo itachapisha dola sawa na ile ya Marekani kukabilinaa na hali hiyo.