Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Maandamano Zimbabwe kulalamikia hali mbaya ya uchumi

    Maandamano Zimbabwe kulalamikia hali mbaya ya uchumi

    Jul 04, 2016 23:21

    Polisi nchini Zimbabwe wametumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya maelfu ya madereva waliokuwa wakiandamana kulalamikia hali inayozidi kuwa mbaya ya uchumi wa nchi hiyo.

  • Rais wa Zimbabwe atoa msamaha kwa wafungwa wanawake kupunguza gharama

    Rais wa Zimbabwe atoa msamaha kwa wafungwa wanawake kupunguza gharama

    May 26, 2016 11:59

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametoa msamaha kwa wafungwa wote wanawake ghairi ya waliohukumiwa kifo au kifungo cha maisha huku jela za nchi hiyo zikikabiliwa na tatizo la chakula cha kuhudumia wafungwa kutokana na kukosa fedha kutoka serikalini.

  • Maelfu waandamana Zimbabwe kumuunga mkono Mugabe

    Maelfu waandamana Zimbabwe kumuunga mkono Mugabe

    May 25, 2016 10:02

    Maelfu ya wananchi wa Zimbabwe wamejitokeza barabarani katika mji mkuu Harare, kushiriki maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, mwenye umri wa miaka 92.

  • Zimbabwe kuchapisha dola ya Marekani kukabiliana na ukosefu wa pesa

    Zimbabwe kuchapisha dola ya Marekani kukabiliana na ukosefu wa pesa

    May 07, 2016 23:19

    Benki Kuu ya Zimbabwe imetangaza kuwa nchi hiyo inakabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa fedha za kigeni na hivyo itachapisha dola sawa na ile ya Marekani kukabilinaa na hali hiyo.

  • Afrika Kusini na Zimbabwe zatimua raia 200 wa Msumbiji

    Afrika Kusini na Zimbabwe zatimua raia 200 wa Msumbiji

    May 03, 2016 23:53

    Afrika Kusini na Zimbabwe zimewarejesha nyumbani raia 197 wa Msumbiji. Hayo yamesemwa na Idhaa ya Taifa ya Msumbuji.

  • Zimbabwe yaamua kuuza wanyama pori kutokana na janga la ukame

    Zimbabwe yaamua kuuza wanyama pori kutokana na janga la ukame

    May 03, 2016 11:58

    Serikali ya Zimbabwe imetangaza leo kuwa inawauza wanyama pori wake na kueleza kwamba inahitaji wanunuzi wa kuchukua hatua ya kuwaokoa wanyama hao na maafa ya ukame.

  • Malalamiko ya wananchi wa Zimbabwe kuhusu siasa za Rais Robert Mugabe

    Malalamiko ya wananchi wa Zimbabwe kuhusu siasa za Rais Robert Mugabe

    Apr 15, 2016 23:42

    Wananchi wa Zimbabwe wamefanya maandamano kulalamikia siasa za Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo.

  • WFP: Dola 220 zinahitajika kwa ajili ya Zimbabwe

    WFP: Dola 220 zinahitajika kwa ajili ya Zimbabwe

    Mar 16, 2016 11:56

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP limetangaza kuwa, linahitajia kiasi cha dola milioni 220 kwa ajili ya shughuli za misaada ya kibinadamu kwa nchi ya Zimbabwe inayokabiliwa na ukame.

  • Kuongezeka idadi ya wahitaji wa misaada ya chakula barani Afrika

    Kuongezeka idadi ya wahitaji wa misaada ya chakula barani Afrika

    Mar 16, 2016 10:26

    Kiongozi mmoja wa serikali ya Zimbabwe, ameelezea ongezeko kubwa la wahitaji wa misaada ya chakula kutokana na kushadidi ukame nchini humo.

  • UNICEF yatahadharisha kuhusu hatari ya njaa na utapiamlo inayoikabili Zimbabwe

    UNICEF yatahadharisha kuhusu hatari ya njaa na utapiamlo inayoikabili Zimbabwe

    Mar 15, 2016 23:52

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kushughulikia Watoto (UNICEF) umetahadharisha juu ya hali mbaya ya njaa nchini Zimbabwe na kutangaza kuwa endapo hatua za lazima hazitochukuliwa juu ya suala hilo baa la njaa na utapiamlo vitavuka kiwango cha kuweza kudhibitika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS