Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Zimbabwe imeshindwa kulilipa jeshi kwa mwezi wa pili mfululizo

    Zimbabwe imeshindwa kulilipa jeshi kwa mwezi wa pili mfululizo

    Jul 16, 2016 00:02

    Zimbabwe imeshindwa kulipa mishahara ya jeshi la nchi hiyo kwa wakati kwa mwezi wa pili mfululizo sasa.

  • Kiongozi wa harakati ya malalamiko apandishwa kizimbani Zimbabwe

    Kiongozi wa harakati ya malalamiko apandishwa kizimbani Zimbabwe

    Jul 13, 2016 10:49

    Kiongozi wa harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Zimbabwe ya Stay at Home amepandishwa kizimbani kujibu mashtaka ya kuchochea ghasia na kuhatarisha usalama wa nchi.

  • Kiongozi wa harakati ya upinzani akamatwa Zimbabwe

    Kiongozi wa harakati ya upinzani akamatwa Zimbabwe

    Jul 12, 2016 12:32

    Mkuu wa harakati inayoongoza malalamiko na upinzani wa wananchi dhidi ya utendaji wa serikali ya Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametiwa nguvuni kwa tuhuma za kuchochea wananchi.

  • Tuhuma za serikali ya Zimbabwe dhidi ya nchi za Magharibi

    Tuhuma za serikali ya Zimbabwe dhidi ya nchi za Magharibi

    Jul 11, 2016 23:15

    Serikali ya Zimbabwe imezituhumu baadhi ya nchi za Magharibi kwamba, zinaunga mkono malalamiko na migomo inayoshuhudiwa nchini humo.

  • Mgomo waendelea nchini Zimbabwe dhidi ya serikali

    Mgomo waendelea nchini Zimbabwe dhidi ya serikali

    Jul 10, 2016 22:13

    Duru za habari nchini Zimbabwe zimeripoti kuendelea mgomo wa nchi nzima katika maeneo ya kazi, maduka na shule nchini humo.

  • ZANU-PF: Mugabe hatojiuzulu licha ya maandamano

    ZANU-PF: Mugabe hatojiuzulu licha ya maandamano

    Jul 08, 2016 00:18

    Chama tawala nchini Zimbabwe cha ZANU-PF kimesema Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo hatajiuzulu licha ya mgomo wa wafanyakazi na maandamano ya wananchi kulalamikia uongozi wake na hali mbaya ya uchumi.

  • Maandamano Zimbabwe kulalamikia hali mbaya ya uchumi

    Maandamano Zimbabwe kulalamikia hali mbaya ya uchumi

    Jul 04, 2016 23:21

    Polisi nchini Zimbabwe wametumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya maelfu ya madereva waliokuwa wakiandamana kulalamikia hali inayozidi kuwa mbaya ya uchumi wa nchi hiyo.

  • Rais wa Zimbabwe atoa msamaha kwa wafungwa wanawake kupunguza gharama

    Rais wa Zimbabwe atoa msamaha kwa wafungwa wanawake kupunguza gharama

    May 26, 2016 11:59

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametoa msamaha kwa wafungwa wote wanawake ghairi ya waliohukumiwa kifo au kifungo cha maisha huku jela za nchi hiyo zikikabiliwa na tatizo la chakula cha kuhudumia wafungwa kutokana na kukosa fedha kutoka serikalini.

  • Maelfu waandamana Zimbabwe kumuunga mkono Mugabe

    Maelfu waandamana Zimbabwe kumuunga mkono Mugabe

    May 25, 2016 10:02

    Maelfu ya wananchi wa Zimbabwe wamejitokeza barabarani katika mji mkuu Harare, kushiriki maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, mwenye umri wa miaka 92.

  • Zimbabwe kuchapisha dola ya Marekani kukabiliana na ukosefu wa pesa

    Zimbabwe kuchapisha dola ya Marekani kukabiliana na ukosefu wa pesa

    May 07, 2016 23:19

    Benki Kuu ya Zimbabwe imetangaza kuwa nchi hiyo inakabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa fedha za kigeni na hivyo itachapisha dola sawa na ile ya Marekani kukabilinaa na hali hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS