-
Saudia yaendelea kushambulia maeneo ya mamluki wa Imarati nchini Yemen
Jan 06, 2026 03:20Ndege za kivita za Saudi Arabia zimeendelea kufanya mashambulizi dhidi ya maeneo ya mamluki wa Imarati yakiwemo makao makuu ya mamluki hao huko mashariki mwa Yemen.
-
Hamas yailaani vikali Israel kwa kuendelea kukiuka usitishaji vita Gaza
Jan 05, 2026 07:58Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeilaani vikali Israel kwa kuendelea kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano katika Ukanda wa Gaza na kutahadharisha kuwa hatua kama hizo zinatishia kudhoofisha makubaliano hayo yanayolegalega.
-
Viongozi wa Iraq: Qassem Soleimani alikuwa na mchango mkubwa katika kuliangamiza kundi la Daesh
Jan 05, 2026 02:45Viongozi wa Iraq wamesisitiza mchango muhimu wa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani katika kuliangamiza kundi la kigaidi la Daesh kulinda mafanikio ya ushindi huo.
-
Umoja wa Maulamaa wa Muqawama wakosoa ulimwengu wa Kiislamu kwa uzembe kuhusu hali ya Gaza
Jan 05, 2026 02:44Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa wa Muqawama amekosoa vikali uzembe wa Ulimwengu wa Kiislamu kuhusiana na hali ya Ukanda wa Gaza.
-
Muqawama: Mashambulizi ya Venezuela yameanika dhati ya Marekani
Jan 04, 2026 12:12Makundi ya Muqawama katika eneo la Asia Magharibi sanjari na kulaani kile yalichokiita ugaidi wa kiserikali wa Marekani dhidi ya Venezuela, yamesema mashambulizi na utekaji nyara wa Rais Nicolas Maduro wa Venezuela kwa mara nyingine tena umeanika dhati na hulka halisi ya Marekani.
-
Hizbullah: Iran haijataka chochote kwetu mkabala wa kutusaidia, kutuunga mkono
Jan 04, 2026 11:06Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem amepongeza ustadi wa kijeshi wa aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Luteni Jenerali Qassem Soleimani na kuongeza kuwa, Iran haijataka chochote kutoka kwa harakati hiyo ya Muqawama mkabala wa uungaji mkono wake kwake.
-
Mkuu wa haki za binadamu wa UN ataka kusitishwa mpango wa Israel wa kuhalalisha kunyongwa Wapalestina
Jan 04, 2026 02:41Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Israel kusitisha mipango yake ya kutoa hukumu za kifo za lazima kwa Wapalestina na kutahadharisha kuwa pendekezo hilo linakiuka sheria za kimataifa.
-
Uhispania: Tuna wasiwasi kuhusu hali mbaya ya Gaza na ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni Ukingo wa Magharibi
Jan 04, 2026 02:40Serikali ya Uhispania imeelezea wasiwasi mkubwa ilionao kuhusiana na hali mbaya ya Gaza na muendelezo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Watoto wa Gaza walilipa gharama kubwa mwaka uliomalizika majuzi wa 2025
Jan 03, 2026 12:04Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watoto wa Gaza walilipa gharama kubwa mwaka uliomalizika wa 2025 kutokana na vita na mzingiro wa utawala wa Israel dhidi ya Ukanda huo.
-
Nchi za Waislamu zataka kuruhusiwa misaada ya kibinadamu Gaza
Jan 03, 2026 06:12Mawaziri wa Mambo ya Nje wa mataifa manane ya Waislamu wameitaka jamii ya kimataifa kuishinikiza Israel, kama dola linalokalia kwa mabavu ardhi za Palestina, kuondoa mara moja vizingiti na vikwazo vya kuingia kwa misaada ya msingi na ya dharura katika Ukanda wa Gaza.