-
Maandamano ya mapema dhidi ya serikali ya Netanyahu; indhari kuhusu vita vya ndani
Jan 16, 2023 04:46Makumi ya maelfu ya wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel) wameandamana kulalamikia maamuzi yaliyochukuliwa na serikali ya Benjamin Netanyahu ya kubana mfumo wa mahakama wa utawala huo.
-
Utawala wa Saudia wamhukumu kifo profesa wa chuo kikuu kwa kuiunga mkono Ikhwanul Muslimin
Jan 15, 2023 23:41Utawala wa Saudi Arabia umemhukumu kifo Profesa maarufu wa Chuo Kikuu kwa kutumia mitandao ya kijamii ya Twitter na WhatsApp kuliunga mkono kundi la Ikhwanul Muslimin na kusambaza habari zinazodaiwa kuwa za uhasama dhidi ya ufalme huo wa Aal Saud unaowakandamiza wapinzani na wanaharakati wa mageuzi nchini humo.
-
Mufti wa Oman: Njama ya Wazayuni ya kuuvamia Msikiti wa Al-Aqsa ni sawa na kutangaza vita
Jan 15, 2023 07:31Mufti wa Oman Shekhe Ahmed bin Hamad al-Khalili amesema, mwenendo ulioanzishwa na baraza la mawaziri la utawala haramu wa Kizayuni lenye misimamo ya kufurutu ada wa kuuvamia Msikiti wa Al-Aqsa unamaanisha kutangaza vita dhidi ya Umma wa Kiislamu.
-
Amir Abdollahian: Palestina ni suala la kwanza la ulimwengu wa Kiislamu
Jan 15, 2023 04:13Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika kikao na kundi la viongozi na wanachama mashuhuri wa makundi mbalimbali ya mapambano ya Palestina kwamba Palestina na Quds Tukufu bado ni suala la kwanza la ulimwengu wa Kiislamu.
-
Mufti wa Masuni Iraq: Jinai dhidi ya makamanda wa muqawama inalazimu kulaaniwa Marekani
Jan 14, 2023 22:54Mufti wa Waislamu wa madhehebu ya Kisuni nchini Iraq amelaani vikali jinai ya utawala wa Marekani ya kumuua shahidi Qassem Soleimani na Abu-Mahdi al-Mohandes na kueleza kuwa, jinai hiyo inalazimu Marekani kulaaniwa kila upande na kuchukuuliwa hatua.
-
Sababu za umuhimu wa safari ya Amir-Abdollahian nchini Lebanon
Jan 14, 2023 22:52Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kuzungumza na Abdallah Bou Habib, Waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Lebanon katika safari yake mjini Beirut na kusisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima itaendelea kuwa rafiki mwaminifu na wa kutegemewa wa Lebanon.
-
Wapalestina waandamana kupinga uamuzi wa kuodolewa bendera ya Palestina katika maeneo ya umma
Jan 14, 2023 08:19Mamia ya Wapalestina wakazi wa Quds Mashariki huko Palestina wameandamana kulalamikia na kupinga agizo la waziri mpya wa usalama wa ndani wa utawala haramu wa Israel wa kuondolewa bendera ya Palestina katika maeneo ya umma.
-
Utawala wa Kizayuni wapanga kuwatimua Wapalestina 13,000 katika mji wa Al-Quds
Jan 14, 2023 03:55Afisa mmoja wa Palestina anasema takriban wakazi 13,000 Wapalestina katika mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu huenda wakalazimika kuyahama makazi yao kutokana na sera za ukandamizaji za utawala ghasibu wa Israel.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah
Jan 14, 2023 00:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amekutana na kuzungumza na Sayyid Hassan Nasrallah" Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon.
-
Lebanon yapongeza misaada, uungaji mkono wa Iran
Jan 14, 2023 00:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon, Abdullah Bou Habib amesifu na kupongeza misaada na uungaji mkono wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa taifa hilo la Kiarabu.