-
Kivuli cha ufashisti kwenye bunge na baraza jipya la mawaziri la utawala wa Israel
Nov 17, 2022 09:43Siku ya Jumanne Novemba 15, kilifanyika kikao cha kwanza cha Bunge la Kizayuni (Knesset) ambapo wawakilishi 120 wa bunge hilo walikula kiapo mbele ya Isaac Herzog, rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Israel yatumia bunduki za roboti dhidi ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Nov 17, 2022 03:25Jeshi la utawala haramu wa Israel limepeleka silaha mpya za roboti katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huku makabiliano baina ya Wazayuni na Wapalestina yakipamba moto.
-
Hamas: Utawala wa Kizayuni hauwezi kubadili utambulisho wa Quds
Nov 16, 2022 22:53Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema: Utawala wa Kizayuni wa Israel hauwezi kubadili utambulisho wa kihistoria wa Quds tukufu.
-
Bunge la wazayuni washupalia vita zaidi katika historia ya Israel laanza kazi rasmi
Nov 16, 2022 22:50Bunge jipya la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel (Knesset) limeanza kazi rasmi huku vyombo vya habari vikilitaja kuwa ni Knesset ya "wenye misimamo mikali zaidi na washupalia vita zaidi" katika historia ya utawala huo.
-
Indhari ya UNRWA kuhusu kuongezeka umaskini miongoni mwa wakimbizi wa Kipalestina
Nov 16, 2022 07:25Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) limetahadharisha kuhusu kuongezeka kwa kiasi kikubwa umaskini miongoni mwa wakimbizi wa Kipalestina huko Syria, Lebanon na Ukanda wa Ghaza.
-
UNRWA: Ufukara unazidi kuongezeka kwa wakimbizi Wapalestina walioko Syria, Lebanon na Gaza
Nov 15, 2022 21:34Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Kazi kwa ajili ya Wakimbizi Wapalestina UNRWA limetahadharisha juu ya kuzidi kuongezeka ufukara kwa wakimbizi Wapalestina walioko Syria, Lebanon na Ukanda wa Gaza.
-
Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan abadilisha msimamo kuhusu Marekani
Nov 15, 2022 21:33Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ametoa matamshi yanayotafautiana na msimamo wake wa huko nyuma kuhusu Marekani kwa kusema: "endapo nitashinda uchaguzi, nitahakikisha tunakuwa na uhusiano na Washington utakaotupa izza na heshima".
-
Kurejea Saudi Arabia katika mfumo wa ukandamizaji; sura halisi ya bin Salman
Nov 15, 2022 21:32Katika miezi ya hivi karibuni Saudi Arabia imeingia katika hatua mpya ya vitendo vya ukatili na ukandamizaji dhidi ya wanaharakati wa kisiasa, kiraia na wa haki za binadamu.
-
Utawala wa Kizayuni; kizuizi kikuu cha uwepo wa Asia Magharibi pasina silaha za maangamizi ya umati
Nov 15, 2022 08:10Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameutaja utawala wa Kizayuni kuwa kizuizi kikuu cha uwepo wa Asia Magharibi isiyokuwa na silaha za maangamizi ya umati.
-
Wanamuqawama watekeleza oparesheni huko Ukingo wa Magharibi; Wazayuni 2 waangamizwa
Nov 15, 2022 08:03Duru za habari zimeripoti kuwa, wanamuqawama wa Palestina wametekeleza oparesheni dhidi ya Uzayuni karibu na kitongoji kimoja cha walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.