-
Kwa mara nyingine Yemen yawaonya wavamizi wasipore utajiri wa nchi hiyo
Nov 01, 2022 07:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen yenye makao yake makuu mjini San'a amezionya nchi vamizi ziache kupora utajiri wa nchi hiyo.
-
Saudia yalaumiwa vikali kuruhusu tamasha la Halloween na kuvunja heshima ya Haramaini
Nov 01, 2022 03:38Kusambazwa picha za tamasha la kishetani la "Halloween" katika mji mkuu wa Saudi Arabia Riyadh kwa usaidizi na uungaji mkono wa Bodi ya Burudani ya nchi hiyo kumeibua wimbi la hasira kali na kauli za kejeli kwenye mitandao ya kijamii.
-
Raia wengine 15 wakiwemo watoto 8 wahukumiwa kunyongwa nchini Saudi Arabia
Oct 31, 2022 22:59Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Kisaudia lenye makao yake barani Ulaya limefichua kuwa, viongozi wa Riyadh wamewahukumu adhabu ya kunyongwa wafungwa 15 wa kisiasa wakiwemo watoto kadhaa wadogo.
-
HRW: Utawala wa Bahrain unatumia sheria za kuwatenga kisiasa wapinzani
Oct 31, 2022 22:58Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, utawala wa Bahrain unatumia sheria za kuwatenga kisiasa wapinzani.
-
Mageuzi ya Bin Salman huko Saudi Arabia ni ya uongo na bandia
Oct 31, 2022 08:12"Rima bint Bandar Al Saud", balozi wa Saudi Arabia nchini Marekani, alitangaza karibuni katika mahojiano na CNN, kwamba mageuzi ya Saudi Arabia ni ya kweli na kwamba ufalme huo umechukua hatua katika miaka mitano iliyopita ambayo ilikuwa haijafanyika katika miaka 80 iliyopita
-
Jukumu lililosahauliwa la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina
Oct 31, 2022 00:46Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefanya kikao mara mbili asubuhi na jioni kujadili matukio mapya yanayojiri Palestina.
-
Hamas: Risasi za wanamapambano wa Palestina ni jibu kwa vitendo kwa jinai za Israel
Oct 30, 2022 09:31Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema kuwa, risasi zilizopigwa na wapiganaji ukombozi wa Palestina katika operesheni ya kulipiza kisasi karibu na makazi haramu ya walowezi katika eneo la kusini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan ni jibu la kivitendo kwa jinai zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Wapalestina.
-
Kushamiri kuwepo kijeshi Wazayuni kusini mwa Yemen; njama iliyoandaliwa na Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE)
Oct 30, 2022 06:12Wakati hali ya mchafukoge wa kisiasa kusini mwa Yemen ikiwa imefikia kiwango cha juu huku serikali tegemezi na kibaraka iliyoko huko ikiwa haina mamlaka yoyote ya uendeshaji wa mambo yake, katika njama iliyoratibiwa na Muungano wa Falme za Kiarabu Imarati, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeshamirisha kuwepo kwake kijeshi katika eneo hilo la kusini mwa Yemen.
-
Wanamapambano wa Palestina: Adui hajui isipokuwa lugha ya mabavu
Oct 30, 2022 04:34Makundi ya muqawama wa Palestina yamepongeza operesheni ya wanamapambano wa Kipalestina katika mji wa al Khalil huko Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kusisitiza udharura wa kuendelezwa mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wakisema, utawala huo hauelewi isipokuwa lugha ya mabavu.
-
Kundi la 'Arin al Usud laapa kuendelea na muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 29, 2022 23:01Kundi la mapambano ya Kiislamu la 'Arin al Usud (Pango la Simba) linaloendesha mapambano yake katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina limesisitiza kuwa, watu wanaodhani kuwa muqawama umeshindwa, wanajidanganya.