-
Zaidi ya nusu karne sasa tangu kufanyika jinai ya kuchomwa moto Msikiti wa al-Aqswa
Aug 22, 2022 04:45Jumapili ya jana tarehe 21 Agosti ilisadifiana na kutimia mwaka wa 53 tangu kuchomwa moto Msikiti mtakatifu wa al-Aqswa, kibla cha kwanza cha Wiaslamu, jinai ambayo ilifanywa na utawala vamizi wa Israel ambapo walimwengu walibakia kuwa watazamaji tu na kutoonyesha radiamali yoyote kwa kitendo hicho cha kinyama.
-
Hamas yaishukuru Iran kwa kuunga mkono ukombozi wa Palestina
Aug 22, 2022 02:37Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuunga mkono harakati za ukombozi wa Palestina.
-
Kongamano la Palestina lalaani hatua za Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa
Aug 22, 2022 02:04Sekretarieti ya Kudumu ya Kongamano la Uungaji Mkono kwa Intifadha ya Palestina katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) imelaani hatua za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
-
UN yalaani kufungwa jela miaka 34 mwanaharakati mwanamke Saudia
Aug 21, 2022 23:55Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limekosoa hatua ya watawala wa Saudi Arabia ya kumpa hukumu nzito mwanaharakati mwanamke kutokana na ujumbe wake wa Twitter.
-
Saudia imeiba mafuta ya Yemen yenye thamani ya dola bilioni 9
Aug 21, 2022 23:54Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen imesema Saudi Arabia na washirika wake wameiba mafuta yenye thamani ya mabilioni ya dola tangu waivamie nchi hiyo maskini ya Kiarabu mwaka 2015.
-
Kuendelea wizi na uharamia wa Marekani wa kuiba mafuta ya Syria
Aug 21, 2022 23:53Wizi na usafirishaji kimagendo mafuta ya Syria ungali unaendelea kufanywa na wanajeshi wa Marekani na wanamgambo wenye mfungamano nao katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Balozi wa UAE kurejea Iran kuimarisha zaidi uhusiano
Aug 21, 2022 23:32Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) nchini Iran, Saif Mohammed Al Zaabi, ataanza tena kazi yake mjini Tehran katika siku zijazo ikiwa ni katika juhudi za kuimarisha uhusiano wa pande zote.
-
Sheikh Ikrima Sabri: Quds na Msikiti wa al-Aqswa vinapitia kipindi kigumu
Aug 21, 2022 06:43Khatibu wa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa huko Palestina amesema kuwa, Quds na Msikiti wa al-Aqswa vinapitia kipindi kigumu kabisa.
-
Siku ya Kimataifa ya Misikiti; Palestina iko mstari wa mbele kulinda Msikiti wa al Aqsa
Aug 21, 2022 02:28Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa katika mji mtakatifu wa Quds huko Palestina amesema kuwa, Msikiti huo mtakatifu bado uko kwenye moto wa jinai za Wazayuni lakini wananchi wa Palestina wataendelea kuwa mstari wa mbele kuulinda.
-
Utawala wa Kizayuni umevunja nyumba 50 za Wapalestina katika kipindi cha wiki mbili tu
Aug 21, 2022 02:27Ofisi ya Uratibu wa Masuala Kibinadamu katika Ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni OCHA amesema kuwa,utawala wa kizayuni umeharibu nyumba 50 za Wapalestina katika kipindi cha wiki mbili tu zilizopita.