Asia Magharibi
  • Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?

    Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?

    Jun 23, 2026 11:38

    Kutiwa saini Mkataba wa Maelewano wa Islamabad kati ya Iran na Marekani kumevuruga milinganyo anayoipendelea Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni na kuuweka utawala huo katika hali isiyo na mfano wake ya kutengwa kimkakati, kudhoofika kijeshi na mgogoro wa kisiasa; hali ambayo hata vyombo vya habari vya Israel yenyewe vinaitaja kuwa "mbaya sana kwa Israel."

  • Yemen yasema uwepo wowote wa Israel katika maji ya Somalia utakuwa shabaha halali

    Yemen yasema uwepo wowote wa Israel katika maji ya Somalia utakuwa shabaha halali

    Jun 23, 2026 11:20

    Mwanachama wa ngazi za juu wa harakati inayotawala nchini Yemen ya Ansarullah ameonya kuhusu uwepo wa vikosi vya jeshi la Israel katika maji ya Somalia, akisema kwamba kupelekwa huko wanajeshi hao kutatambuliwa kuwa shabaha halali.

  • Iran na Oman zajadili utaratibu mpya wa kusimamia Lango-Bahari la Hormuz

    Iran na Oman zajadili utaratibu mpya wa kusimamia Lango-Bahari la Hormuz

    Jun 23, 2026 10:49

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf na Waziri wa Mambo ya Nje Abbas Araghchi wamekutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman, Sayyid Badr bin Hamad al-Busaidi, kujadili utaratibu mpya wa kusimamia Lango-Bahari la kimkakati la Hormuz.

  • Naim Qassem: Mradi wa kuangamiza Iran na Muqawama umefeli

    Naim Qassem: Mradi wa kuangamiza Iran na Muqawama umefeli

    Jun 22, 2026 09:06

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kwamba, mradi wa kuisambaratisha Iran na Muqawama katika eneo la Asia Magharibi umeshindwa na kugonga mwamba.

  • Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?

    Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?

    Jun 22, 2026 05:52

    Uungaji mkono wa Ulaya juu kwa usimamishaji hujuma ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon katika maelewano kati ya Tehran na Washington unaonyesha wasiwasi unaoongezeka wa nchi za Ulaya kuhusu kuenea vita na taathira zake hasi katika uthabiti na usalama wa eneo.

  • Kwa nini Israel haina uwezo wa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe?

    Kwa nini Israel haina uwezo wa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe?

    Jun 21, 2026 12:42

    Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema, maadui walijaribu kuandaa mazingira ya kuuangamiza muqawama kwa kutumia vibaya serikali ya Lebanon na kuunda mwavuli haramu wa kisheria, lakini pamoja na hayo si tu kwamba adui wa Kizayuni alishindwa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe, bali pia inaendelea kupipigania ushindi wa mwisho.

  • Walebanon waipongeza Iran kwa kuunga mkono kukomeshwa hujuma ya vita ya Israel dhidi ya Lebanon

    Walebanon waipongeza Iran kwa kuunga mkono kukomeshwa hujuma ya vita ya Israel dhidi ya Lebanon

    Jun 21, 2026 11:21

    Mabango yanayoonyesha shukrani kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamesimikwa kando ya barabara kuu inayoelekea uwanja wa ndege wa Beirut, yakionyesha shukrani za dhati kwa msimamo wa Iran wa kutaka kukomeshwa kikamilifu uchokozi wa Israel dhidi ya Lebanon, kama ilivyotajwa katika waraka wa makubaliano (MoU) uliosainiwa hivi karibuni kati ya Iran na Marekani.

  • UN: Israel imeua watoto 265 wa Kipalestina tangu Oktoba 2025

    UN: Israel imeua watoto 265 wa Kipalestina tangu Oktoba 2025

    Jun 20, 2026 04:15

    Huku utawala katili wa Israel ukiendeleza jinai Lebanon, mashirika ya misaada ya kibinadamu yametoa tahadhari mpya kuhusu Gaza, ambapo watoto 265 wa Kipalestina wameuawa katika mashambulizi ya Israel tangu usitishaji wa mapigano ulipotangazwa mwezi Oktoba 2025.

  • China yaionya Israel dhidi ya kuzuia makubaliano ya Iran na Marekani

    China yaionya Israel dhidi ya kuzuia makubaliano ya Iran na Marekani

    Jun 20, 2026 04:11

    China imeionya Israel dhidi ya kuzuia utekelezaji wa Mkataba wa Maelewano (MoU) kati ya Iran na Marekani, huku ikitaka pande zote kuchukua hatua za vitendo kuunga mkono amani ya kikanda na kuunda mazingira yanayofaa kwa mazungumzo yajayo.