-
Waziri wa Israel awatusi Wasaudia: Endeleeni kupanda ngamia
Oct 24, 2025 23:01Waziri wa fedha wa utawala wa kizayuni wa Israel katika taarifa yake ya dharau kuhusu Saudi Arabia, amesema kwamba hatakubali makubaliano ya kuuanzisha uhusiano wa kawaida na Riyadh ikiwa kutakuwa na sharti la kuundwa dola huru la Palestina.
-
WHO: Vivuko vyote vya Ukanda wa Gaza lazima vifunguliwe tena
Oct 24, 2025 22:59Shirika la Afya Duniani (WHO) limeelezea wasiwasi wake juu ya kutotumika kwa vituo vingi vya matibabu katika Ukanda wa Gaza, na kutoa mwito wa kufunguliwa tena kwa vivuko vyote kwenye Ukanda huo.
-
Usitishaji vita wa kulegalega; kwa nini hatuwezi kuwa na matumaini kuhusu mustakabali wa amani Gaza?
Oct 24, 2025 08:00Hatua ya utawala wa kizayuni wa Israel ya kutofungamana na usitishaji vita wa Gaza na kuendelea kuwaua watu wa ukanda huo mdogo kumeuacha mustakabali wa amani katika eneo hilo katika hali tete na isiyoeleweka.
-
Afisa wa UN aitaka Israel kutii uamuzi wa ICJ kuhusu msaada kwa Gaza
Oct 24, 2025 06:39Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk, ameitaka Israel kutekeleza kwa haraka uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), akisisitiza wajibu wa utawala huo chini ya sheria za kimataifa kuhakikisha misaada muhimu inafika Gaza na maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu
-
Humanity and Inclusion: Kuondoa mada za milipuko Ukanda wa Gaza kutachukua miaka 30
Oct 24, 2025 04:15Afisa wa taasisi ya Humanity and Inclusion amesema kazi ya kukusanya silaha ambazo hazijalipuka katika Ukanda wa Gaza inaweza kuchukua kipindi cha miaka 20 hadi 30, akilitaja eneo hilo kama "uwanja wazi wa mabomu."
-
WFP: Kiwango cha chakula kinachoingizwa Gaza ni kidogo mno
Oct 24, 2025 00:49Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula (WFP) limetangaza kuwa, kiwango cha chakula kinachoingia Gaza bado kiko chini sana ya lengo la tani 2,000 kwa siku, likitoa wito kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kufungua vituo zaidi vya mipakani.
-
Mashabiki wa Galatasaray wapamba majukwaa kwa bendera ya Palestina, wataka kukomeshwa mauaji ya kimbari Gaza
Oct 24, 2025 00:49Mashabiki wa Galatasaray wa Uturuki wakitangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina walipamba majukwaa ya uwanja wa Rams Park kwa bendera ya Palestina na kutoa wito wa kukomeshwa mauaji ya kimbari huko Gaza.
-
Ni mambo gani yameifanya Israel itengwe kisiasa na kijamii kiasi hiki?
Oct 23, 2025 23:02Israel inakabiliwa na mgogoro mkubwa zaidi wa kisiasa katika historia yake. Yair Lapid, kiongozi wa upinzani wa utawala wa Kizayuni, alikiri hivi karibuni katika kikao cha kamati moja ya Knesset kwamba Israel hivi sasa iko katika mgogoro mkubwa zaidi wa kisiasa katika historia yake.
-
Hamas: Miswada haramu ya unyakuzi wa Ukingo wa Magharibi inafichua sura mbaya ya ukoloni wa Israel
Oct 23, 2025 07:49Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imelaani pendekezo la awali la Bunge la Israel (Knesset) la kunyakua eneo la Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, na kusema kuwa hatua hiyo inaakisi sura mbaya ya ukoloni wa utawala wa Tel Aviv katika ardhi ya Palestina.
-
Kwa nini Marekani inashinikiza kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya Iraq?
Oct 23, 2025 04:23Tommy Piggott, Naibu Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani alisema siku ya Jumanne kwamba Marco Rubio Waziri wa Mambo ya Nje, katika mazungumzo yake na Mohammad Shia Al-Sudani, Waziri Mkuu wa Iraq, ametoa wito wa kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya nchi hiyo akidai kuwa ni tishio kwa maslahi ya Washington na Baghdad.