-
Tanker Trackers: Iran imepakia mapipa milioni 4.6 ya mafuta ghafi
Apr 27, 2026 12:09Taasisi ya Ufuatiliaji wa Meli za Mafuta (Tanker Trackers) imetangaza kuwa Iran imepakia mapipa milioni 4.6 ya mafuta ghafi katika vituo vyake vya kuuza nje bidhaa hiyo.
-
Bei ya mafuta duniani yaongezeka kutokana na ukaidi wa Marekani kuhusu Lango Bahari la Hormuz
Apr 27, 2026 09:34Bei ya mafuta imepanda duniani baada ya maafisa wa Iran kusisitiza kuwa Lango Bahari la Hormuz katu halitarejea katika hali yake ya awali kwa manufaa ya Marekani na washirika wake.
-
Trump atoroka baada ya ufyatuaji risasi kwenye dhifa ya waandishi wa habari wa White House
Apr 26, 2026 09:16Rais wa Marekani, Donald Trump na mkewe, Melania, waliondolewa kwenye Dhidi ya Waandishi wa Habari wa Ikulu ya White House (WHCA) baada ya ripoti za milio ya risasi kusababisha uingiliaji wa haraka wa Jeshi la Polisi.
-
Namna Ulaya Ilivyochoshwa na Uchukuaji Hatua wa Upande Mmoja wa Marekani
Apr 26, 2026 09:10Kuendelea kupanuka ufa wa mpasuko uliojitokeza kati ya Ulaya na Marekani kumezifanya serikali za Ulaya zichoshwe na mienendo ya udhalilishaji ya Trump na uchukuaji wake wa hatua wa upande mmoja.
-
Kwa Nini Chuki Dhidi ya Israel Zinaendelea Kuongezeka Ndani ya Marekani?
Apr 26, 2026 08:52Chama cha Democrat nchini Marekani hivi sasa kinazihama enzi za uungaji mkono wake wa jadi kwa utawala bandia wa Israel na kuhamia kwenye zama za kupingana vikali na utawala huo.
-
Kwa Nini Marekani Inaonekana si Mshirika wa Kuaminika kwa Nchi za Kiarabu?
Apr 24, 2026 05:51Vita vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimekuwa na matokeo muhimu katika eneo la Asia Magharibi na hasa Ghuba ya Uajemi. Moja ya matokeo muhimu ya vita hivyo ni kuthibitika kwamba Marekani si mshirika wa kutegemewa na nchi za Kiarabu za eneo hilo.
-
Kansela wa Ujerumani: Athari mbaya za vita dhidi ya Iran haziishii kwenye ongezeko la bei ya mafuta
Apr 26, 2026 08:09Kansela wa Ujerumani ameonya kwamba matokeo mabaya ya vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran hayaishii kwenye ongezeko la bei ya mafuta, bali pia yanatishia misingi ya uchumi wa Ujerumani.
-
Utafiti wa Fox News: Trump hana afya ya akili
Apr 25, 2026 11:04Asilimia 60 ya washiriki katika utafiti wa Fox News, kituo kinachomuunga mkono rais wa Marekani, wamesema kuwa Donald Trump hana tabia na afya ya akili inayofaa.
-
Ripoti ya kimataifa: Theluthi mbili ya wanaokabiliwa na migogoro ya chakula duniani wanaishi katika nchi 10
Apr 25, 2026 10:57Ripoti ya kimataifa imeonya kwamba mzozo wa Mashariki ya Kati unaweza kuzidisha migogoro iliyopo, ikifichua kuwa watu milioni 266 katika nchi au maeneo 47 walikabiliwa na viwango vya juu vya uhaba wa chakula mnamo 2025, karibu mara mbili ya idadi iliyorekodiwa mnamo 2016.
-
Papa Leo aendelea kukosoa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Apr 25, 2026 05:15Papa Leo wa Kumi na Nne, kiongozi wa Wakatoliki duniani, ameendelea kukosoaji vikali sera za kuchochea vita za Donald Trump, Rais wa Marekani, akiwa ziarani barani Afrika na kwa mara nyingine amekemea vita na mashambulizi ya nchi hiyo ikishirikiana na utawala haramu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.