-
Imam Jaafar Sadiq AS alisisitiza umoja wa Waislamu
Oct 13, 2022 16:33Imam Ja'far Swadiq AS mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW alizaliwa mwaka 83 Hijria katika mji mtakatifu wa Madina na kulelewa na baba yake mtukufu Imam Muhammad Baqir AS pamoja na mama yake mtoharifu.
-
Mtume Muhammad SAW alileta uhai mpya
Oct 13, 2022 16:31Waislamu duniani wanasherehekea Maulidi na kukumbuka tukio la kuzaliwa Mbora wa Walimwengu, Muhammad Mwaminifu SAW. Ni fusa muafaka ya kutafakari kuhusu umoja wa Waislamu duniani.
-
Umoja katika Hadithi za Mtume wa Rehma
Oct 13, 2022 08:04Bismillahil Rahmanil Rahim. Kwa jina la Mungu wa Muhammad (SAW) ambaye ametubariki na akatutambulisha Mtume wake, akateremsha Qur'ani kwake ili iwe hidaya na mwongozo kwa ajili ya wanaadamu wote.
-
Uhusiano wa Umoja na ustaarabu wa kisasa wa Kiislamu (Wiki ya Umoja wa Kiislamu)
Oct 11, 2022 06:52Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema moja ya malengo ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ni kuunda ustaarabu wa kisasa wa Kiislamu na kuwa lengo hilo haliwezi kufikiwa ila kwa kuwepo umoja wa Shia na Sunni.
-
Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume (saw)
Oct 10, 2022 07:44Siku hizi za mwezi wa Mfunguo Sita Rabiu Awwal ni fursa adhimu kwa Waislamu kote duniani kupitia tena Aya zinazohusiana na umoja na mshikamano wa Waislamu katika Qur'ani Tukufu na Hadithi za Mtume wetu Muhammad (saw) ambaye kwa mujibu wa riwaya na mapokezi mawili tofauti ya wanazuoni na wanahistoria, alizaliwa ama tarehe 12 au 17 ya mwezi huu.
-
Umuhimu wa Umoja (kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja)
Oct 09, 2022 12:22Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nami katika kipindi hiki cha kwanza cha mfululizo wa makala maalumu za Wiki ya Umoja wa Kiislamu zinazokujieni kwa mnasaba wa sherehe za Maulidi na tukio muhimu la kuzaliwa mbora wa viumbe Mtume Muhammad (saw) katika mwezi huu wa Mfunguo Sita.
-
Kumbukizi ya kuuawa Shahidi Imam Hassan Askary (as)
Oct 09, 2022 11:56Assalaam Alaykum Wapenzi Wasikilizaji popote pale mlipo. Mwaka 260 Hijiria sawa na mwaka 873 Miladia moja ya maua ya bustani ya Ahlul Bait wa Mtume Mtukufu (saw) lilinyauka na jua la umri wake wenye saada na faida kubwa kwa wanadamu kutua.
-
Siku Imam Ridha (as) Alipouliwa Shahidi
Oct 09, 2022 08:56Siku aliyouawa shahidi, Imam Ridha alisali kwa khushuu na unyenyekevu mkubwa Swala yake ya asubuhi.
-
Imam Ali al Hadi (as), Taa ya Uongofu
Jul 14, 2022 07:47Imam Hadi (as) alizaliwa tarehe 15 Dhul Hijja mwaka 212 Hijiria katika mji mtakatifu wa Madina. Alipewa lakabu ya al-Hadi kwa maana ya muongozaji. Alitekeleza vyema jukumu hilo la kuongoza jamii ya Kiislamu kwa muda wa miaka 33.
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu, 1443 Hijiria
Jul 08, 2022 09:30Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu. Hamdu zote zinamstahikia Mwenyezi Mungu Mola wa walimwengu, na swala na salamu zake zimshukie Muhammad al-mustafa na Aali zake watoharifu na Masahaba zake weme.