Makala Mchanganyiko
  • Bibi Fatimatu-Zahra (SA), Mama wa Mema na Mazuri Yote

    Bibi Fatimatu-Zahra (SA), Mama wa Mema na Mazuri Yote

    Feb 25, 2019 12:54

    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Tarehe 20 Mfunguo Tisa, Jamadu Thani mwaka wa Hijria imepambwa kwa uzawa wa Bibi Fatimatu-Zahra (sa), binti wa Bwana Mtume Muhammad SAW. Uzawa wa mtukufu huyo lilikuwa tukio muhimu lililotokea katika miaka ya ujumbe wa Bwana Mtume SAW.

  • Kwa dhambi gani ameuawa?

    Kwa dhambi gani ameuawa?

    Feb 20, 2019 05:14

    Mwaka 61 Hijria koo la mtoto mchanga aliyekuwa na umri wa miezi sita tuu wa mjukuu wa Mtume wetu Muhammad (saw), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) likatwa kwa mshale wa adui wa Allah na Mtume wake aliyejulikana kwa jina la Harmala katika medani ya Karbala.

  • Miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran

    Miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran

    Feb 12, 2019 06:36

    Assalam Alaykum warhmatullahi wabarakatuh hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nasi tena katika kipindi hiki maaluimu kinachokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 40 wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Endeleeni kuwa nami hadi mwisho wa kipindi hiki.

  • Vijana, Walinzi Imara na wa Daima wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Vijana, Walinzi Imara na wa Daima wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 03, 2019 08:11

    Ujana ni kipindi kinachong'aa cha maisha ya mwanadamu ambacho japokuwa si kirefu lakini athari zake zinabakia muda mrefu na huwa na taahira kubwa katika maisha ya kiumbe huyo.

  • Alfajiri Kumi na Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Alfajiri Kumi na Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 02, 2019 09:45

    Tarehe 12 Bahman sawa na tarehe Mosi Februari, inasadifiana na mwanzo wa sherehe za kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.

  • Mchango wa ibra katika maisha ya mwanadamu

    Mchango wa ibra katika maisha ya mwanadamu

    Jan 19, 2019 03:44

    Hamu ya kutaka kubakia hai na kuishi daima humlazimisha mwanadamu kuchagua njia na mbinu bora zaidi za kuishi. Mwanadamu huwa kama mchoraji ambaye hufanya jitihada za kuchora picha na mchoro mzuri zaidi wa maisha yake.

  • Zaynab SA Nuru ya Ahlul Bayt wa Mtume + Sauti

    Zaynab SA Nuru ya Ahlul Bayt wa Mtume + Sauti

    Jan 11, 2019 13:41

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Karibuni wapenzi wasikilizaji katika makala hii maalumu tuliyokuandalieni kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya kuzaliwa Bibi Zaynabul Kubra SA. Ni matumaini yetu mtakuwa nasi hadi mwisho wa makala hii.

  • Zainab, Simba Jike Binti wa Simba wa Mwenyezi Mungu

    Zainab, Simba Jike Binti wa Simba wa Mwenyezi Mungu

    Jan 11, 2019 13:22

    Tarehe 5 Jamadil Awwal inasadifiana na siku aliyozaliwa Bibi Zainab, simba jike binti wa Simba wa Mwenyezi Mungu. Katika siku hiyo mwaka wa tano Hijria Mwenyezi Mungu SW alimtunuku Ali bin Abi Twalib na Bibi Fatima binti Muhammad (saw) mtoto wa kike ambaye walimpa jina la Zainab. Alizaliwa baada ya kuundwa dola la kwanza la Kiislamu mjini Madina ambalo lilitokana na mapinduzi makubwa ya kiroho duniani na yaliongozwa na baba yake, Mtume wa Allah, Muhammad bin Abdullah.

  • Mwaka 2019 na kujiondoka Marekani na Israel katika shirika la UNESCO

    Mwaka 2019 na kujiondoka Marekani na Israel katika shirika la UNESCO

    Jan 09, 2019 05:18

    Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tarehe Mosi mwezi huu wa Januari 2019 zilijiondoa rasmi katika Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) zikilalamikia kile kilichotajwa ni mwelekeo wa jumuiya hiyo dhidi ya Israel.