Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Vipindi
  • Hifadhi
  • Darsa ya Qur'ani
  • Frikwensi
  • Tovuti Kongwe
  • Hifadhi
  • iPhone
  • Pakua
  • Frikwensi

Hija

Sep 04, 2016 14:34 UTC
Jiunge
Vipindi Vingine
  • Uislamu
    Uislamu
  • Dua za Ramadhani
    Dua za Ramadhani
  • Ufeministi
    Ufeministi
  • Mapinduzi ya Kiislamu (Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii)
    Mapinduzi ya Kiislamu (Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii)
  • Waislamu wa Rohingya
    Waislamu wa Rohingya
  • Leo katika Historia
    Leo katika Historia
  • Maktaba ya Imam Khomeini (MA)
    Maktaba ya Imam Khomeini (MA)

  • 10
    Ujumbe kwa Mahujaji wa Nyumba tukufu ya Allah (1437 Hijria) + SAUTI
    Kwa jina la Allah, Mwingi wa rehma Mwenye kurehemu Na hamdu zote ni za Allah Mola wa viumbe wote. Na rehma na amani zimshukie bwana wetu Muhammad na Aali zake watukufu na masahaba zake wema na wote waliowafuata wao kwa mema mpaka Siku ya Malipo
  • 9
    Siku ya Arafa, fursa kwa ajili ya dua na kuomba maghufira
    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika makala hii maalumu tuliyokuandalieni kwa mnasaba wa kuzungumzia siku ya Arafa yaani mwezi Tisa Mfunguo Tatu Dhulhija. Makala yetu tumeipa jina la Siku ya Arafa, fursa kwa ajili ya dua na kuomba maghufira. Ni matumaini yangu mtakuwa nami hadi mwisho wa kipindi.
  • 8
    Maafa ya Mina (8) Mwisho
    Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Natumai hamjambo wapenzi wasikilizaji popote pale yanapokufikieni matangazo haya ya Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hususan hapo nyumbani Afrika Mashariki.
  • 7
    Maafa ya Mina (7)
    Huu ni mfululizo wa makala maalumu ambazo zinaangazia maafa ya kusikitisha yaliyojiri katika eneo la Mina mwaka jana wakati wa Ibada ya Hija. Hii ni sehemu ya saba ya mfululizo huu.
  • 6
    Maafa ya Mina (6)
    Huu ni mfululizo wa makala hizi maalumu ambazo zinaangazia maafa ya kusikitisha yaliyojiri katika eneo la Mina mwaka jana wakati wa Ibada ya Hija.
  • 5
    Maafa ya Mina (5)
    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum. Wazikilizaji wapenzi, tunaendelea na mfululizo wa vipindi vyetu hivi maalumu vya Hija ambapo tunazungumzia kumbukumbu ya tukio chungu la maafa ya eneo takatifu la Mina katika ibada ya Hija mwaka jana 1436 Hijria.
  • 4
    Maafa ya Mina (4)
    Ni Mahujaji wa kiume tu ndio wanaoruihusiwa kuingia kwa masaa machache tu katika makaburi matakatifu ya Baqee. Kusimama na kuomba dua pembeni ya makaburi hayo ni marufuku ma marufuku hiyo ni kali zaidi kwa wale wanaotaka kusimama kando ya makaburi yaliyoharibiwa ya Maimamu Watukufu wa Nyumba ya Mtume (saw) na huandamana na vitisho na hofu kutoka kwa Mawahhabi.
  • 3
    Maafa ya Mina (3)
    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika mfululizo wa makala hizi maalumu ambazo zinaangazia maafa ya kusikitisha yaliyojiri katika eneo la Mina mwaka jana wakati wa Ibada ya Hija. Hii ni sehemu ya tatu ya mfululizo huu.
  • 2
    Maafa ya Mina (2)
    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Karibuni wasikilizaji wapenzi kusikiliza kipindi hiki maalumu ambacho tumekuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka maafa yaliyotokea katika msimu wa Hija wa mwaka uliopita wa 2015 katika eneo la Mina katika ardhi tukufu ya Makka yaliyosababisha maelfu ya mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Allah kupoteza maisha yao.
  • 1
    Maafa ya Mina (1)
    Assalaamu Alaykum Wapenzi Wasikilizaji na karibuni katika sehemu ya kwanza ya mfululizo wa vipindi hivi maalumu vitakavyochunguza kwa kina Maafa ya Mina yaliyotokea katika msimu wa ibada ya Hija mwaka jana; ambapo maelfu ya Mahujaji wa nyumba ya Mwenyezi Mungu wakiwemo Mahujaji 464 wa Iran wakipoteza maisha katika Hija wakati wa kutekeleza ibada ya kumpiga mawe shetani katika eneo la Mina.
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS