147
Soka: Iran yaishinda Kenya japo kwa mbinde mchuano wa kirafiki
Timu ya taifa ya soka ya Iran Jumanne ya Machi 28 ilikuwa mwenyeji wa timu ya Kenya, Harambee Stars katika mchuano wa kirafiki uliopigwa katika Uwanja wa Azadi hapa jijini Tehran, ambapo mwenye aliambulia ushind wa mabao 2-1.