Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 25 ya makala yanayokosoa kwa mujibu wa Qur'ani Tukufu na suna za Bwana Mtume (sawa) mienendo ya makundi ya ukufurishaji yanayotenda jinai na mauaji ya kutisha dhidi ya Waislamu wengine.
Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika mfululizo wa vipindi hivi vinavyokosoa kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu na suna za Bwana Mtume (saw) makundi ya ukufurishaji yanayotekeleza jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wengine hii ikiwa ni sehemu ya 24 ya mfululizo huo.
Leo ni Jumatatu tarehe Mosi Jamadil Awwal 1438 Hijria sawa na tarehe 30 Januari 2017.
Leo ni Jumatano tarehe 7 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na Disemba 7, 2016.
Leo ni Jumapili tarehe Pili Mfunguo Tatu Dhul-Hijjah mwaka 1437 Hijiria, sawa na tarehe nne Septemba mwaka 2016 Miladia.
Leo ni Ijumaa tarehe 30 Dhilqaada 1437 Hijria sawa na tarehe Pili Septemba 2016.
Leo ni Jumanne tarehe 28 Shawwal 1437 Hijria sawaq na 2 Agosti 2016.
Leo ni Ijumaa tarehe 24 Shawwal 1437 Hijria sawa na 29 Julai 2016.
Jeshi la Syria hivi karibuni liliukomboa mji wa kale wa Palmyra au Tadmur kutoka kwa kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh. Makala yetu ya leo itaangazia kwa kifupi kuhusu mji huo muhimu na wa kihistoria nchini Syria