Jul 08, 2016 06:09
Miaka 22 iliyopita katika siku inayosadifiana na hii ya leo, Kim Il Sung kiongozi wa zamani wa Korea ya kaskazini na Katibu Mkuu wa chama cha Kikomonisti cha nchi hiyo alifariki dunia. Kim Il Sung alizaliwa mwaka 1912. Mwaka 1945, Sung alirejea na jeshi la nchi hiyo upande wa kaskazini mwa nchi akiwa kama kamanda.