• Jumanne, tarehe tatu Februari, 2026

    Jumanne, tarehe tatu Februari, 2026

    Feb 03, 2026 02:24

    Leo ni Jumanne tarehe 14 Sha'bani 1447 Hijria, sawa na tarehe tatu Februari 2026.

  • Jumatano, 21 Januari, 2026

    Jumatano, 21 Januari, 2026

    Jan 21, 2026 02:31

    Leo ni Jumatano tarehe Mosi Shaaban 1447 Hijria mwafaka na tarehe 21 Januari 2026.

  • Mapinduzi ya Kiislamu, kuandaliwa mazingira ya kudhihiri Imam Mahdi (a.t.f.s)

    Mapinduzi ya Kiislamu, kuandaliwa mazingira ya kudhihiri Imam Mahdi (a.t.f.s)

    Feb 11, 2024 04:28

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 45 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyotokea mwaka 1979 kwa uongozi wenye busara na hekima wa Imamu Ruhullah Khomeini (MA).

  • Aban 13, Siku ya Taifa ya Kupambana na Uistikbari wa Kimataifa

    Aban 13, Siku ya Taifa ya Kupambana na Uistikbari wa Kimataifa

    Nov 13, 2023 11:51

    Assalamu alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran popote pale mlipo hasa huko nyumbani Afrika Mashariki. Ni matumaini yangu kuwa, mubukheir wa afya na mnaendelea vyema katika kutekeleza majukumu yenu ya kila siku.

  • Mapinduzi ya Kiislamu: Ilhamu ya kuhuisha Ustaarabu wa kisasa wa Kiislamu

    Mapinduzi ya Kiislamu: Ilhamu ya kuhuisha Ustaarabu wa kisasa wa Kiislamu

    Feb 12, 2023 07:26

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mnaponitegea sikio wakati huu. Nakukaribisheni kwa moyo mkunjufu kusikiliza mfululizo mwingine wa vipindi hivi maalumu tulivyokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ambapo maudhui yetu ya leo ni kuhuishwa Ustaarabu wa kisasa wa Kiirani na Kiislamu. Endeleeni kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Ijumaa, tarehe 10 Februari, 2023

    Ijumaa, tarehe 10 Februari, 2023

    Feb 10, 2023 02:24

    Leo Ijumaa tarehe 19 Rajab mwaka 1444 Hijria sawa na 10 Februari 2023.

  • Jumamosi, 4 Februari, 2023

    Jumamosi, 4 Februari, 2023

    Feb 04, 2023 02:14

    Leo ni Jumamosi tarehe 13 Rajab 1444 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 4 Februari 2023 Miladia.

  • Nafasi ya Utawala wa Faqihi katika Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Nafasi ya Utawala wa Faqihi katika Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 02, 2023 12:34

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi na karibuni katika kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 44 wa ushidi wa Mapinduzi ya Kiislau ya nchini Iran.

  • Afajiri Kumi, Mja Mwema

    Afajiri Kumi, Mja Mwema

    Feb 02, 2023 12:30

    Tunakaribia Afajiri Kumi za mwaka wa 44 wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran. Tumekutayarishieni vipindi kadhaa maalumu kwa mnasaba huu ambavyo tunatumai vitakunufaisheni nyote wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, karibuni.

  • Kumbukumbu ya Siku ya Kuanzishwa Harakati ya Kupambana na Ujinga nchini Iran

    Kumbukumbu ya Siku ya Kuanzishwa Harakati ya Kupambana na Ujinga nchini Iran

    Dec 31, 2022 13:20

    Moja kati ya haki za msingi za binadamu katika jamii yoyote ile ni kujua kusoma na kuandika.