-
Mapinduzi ya Kiislamu Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii (7)
Jan 30, 2019 04:47Sehemu ya Sita: Mapinduzi ya Kiislamu yalivyojipambanua na mapinduzi mengine makubwa duniani. Msikilizaji mpenzi wa Radio Tehran, ni matumaini yangu kuwa hujambo popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha tena kusikiliza kipindi hiki kinachokujia kila wiki, siku na saa kama hii, kinachozungumzia Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii. Endelea kuwa nami basi hadi mwisho wa mazungumzo yetu, ili kuweza kufaidika na yale niliyokuandalia katika mfululizo huu wa sita,
-
Jumatatu tarehe 21 Januari 2019
Jan 20, 2019 22:07Leo ni Jumatatu tarehe 14 Jamadil Awwal 1440 Hijria sawa na tarehe 21 Januari 2019.
-
Jumapili, Januari 20, 2019
Jan 19, 2019 21:40Leo ni Jumapili tarehe 13 Jamadil-Awwal 1440 Hijiria, sawa na tarehe 20 Januari 2019 Miladia.
-
Mapinduzi ya Kiislamu Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii (6)
Jan 15, 2019 03:14Sehemu ya Tano: Mapinduzi ya Kiislamu yalivyojipambanua na mapinduzi mengine makubwa duniani. Msikilizaji mpenzi wa Radio Tehran, ni matumaini yangu kuwa hujambo popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha tena kusikiliza kipindi hiki kinachokujia kila wiki, siku na saa kama hii, kinachozungumzia Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii.
-
Mapinduzi ya Kiislamu Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii (3)
Jan 15, 2019 02:52Sehemu ya Pili: Mapinduzi ya Kiislamu yalivyojipambanua na mapinduzi mengine makubwa duniani. Msikilizaji mpenzi wa Radio Tehran, huku nikitumai kuwa hujambo popote pale ulipo wakati huu, nakukaribisha kusikiliza kipindi hiki kinachokujia kila wiki, siku na saa kama hii. Endelea kuwa nami basi hadi mwisho wa mazungumzo yetu, ili kuweza kufaidika na yale niliyokuandalia katika mfululizo huu wa pili.
-
Mapinduzi ya Kiislamu; miaka 39 ya kusimama kidete dhidi ya mfumo wa kibeberu
Jan 09, 2019 04:16Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi, ambacho ni kipindi cha tangu kurejea Imam Khomeini kutoka uhamishoni hadi kupatikana ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu. Kipindi chetu cha leo kitajadili kusimama kidete mapinduzi haya kwa miaka 39 dhidi ya mfumo wa kibeberu. Kuweni nami hadi mwisho wa kipindi hiki.
-
Ijumaa, Disemba 28, 2018
Dec 27, 2018 23:28Leo ni Ijumaa tarehe 20 Mfunguo Saba Rabiuthani 1440 Hijria sawa na Disemba 28 Disemba 2018 Milaadia.
-
Kufuatilia amani ni msingi wa sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo
Nov 11, 2018 05:53Karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu ambayo leo itaangazia jitihada za Iran za kueneza amani na usalama katika eneo la Asia Magharibi au Mashariki ya Kati nukta ambayo ni moja ya sababu za kuendelea kuwa na nguvu Jamhuri ya Kiislamu. Makala hii inawajieni kwa munasaba wa maadhimisho ya miaka 40 tokea yapate ushindi Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran mwaka 1979. Ni matumaini yangu kuwa mtaweza kunufaika na tuliyokuandalieni.
-
Jumatatu, tarehe 5 Novemba, 2018
Nov 05, 2018 06:59Leo ni Jumatatu tarehe 26 Mfunguo Tano Safar 1440 Hijria, sawa na tarehe 5 Novemba, 2018.
-
Jumatatu tarehe 24 Septemba 2018
Sep 24, 2018 05:23Leo ni Jumatatu tarehe 14 Muharram 1440 Hijria sawa na Septemba 24, 2018.