Nov 11, 2018 09:16
Rais Donald Trump wa Marekani anaamini kuwa, awamu ya pili ya vikwazo dhidi ya Iran ni aina kali zaidi ya vikwazo itakavyo vihimili Iran. Awamu hiyo ya pili ya vikwazo vya serikali ya Washington ilianza kutekelezwa tarehe 5 Novemba; vikwazo ambavyo vinawaathiri moja kwa moja raia wa kawaida wa Iran.