-
Jumatano, Septemba 6, 2023
Sep 06, 2023 02:41Leo ni Jumatano tarehe 20 Mfunguo Tano Safar 1445 Hijria sawa na Septemba 6 mwaka 2022 Milaadia.
-
Jumamosi, 17 Septemba, 2022
Sep 17, 2022 04:23Leo ni Jumamosi tarehe 20 Mfunguo Tano Safar 1444 Hijria sawa na tarehe 17 Septemba 2022.
-
Jumatatu, Septemba 27, 2021
Sep 27, 2021 02:20Leo ni Jumatatu tarehe 20 Mfunguo Tano Safar 1443 Hijria sawa na tarehe 27 Septemba 2021 Milaadia.
-
Sheikh Maulid Hussein Kundya na kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Husain AS - Sauti
Oct 21, 2019 12:11Mwaka huu kama ilivyo miaka mingine yote, kumbukumbu za Arubaini ya Imam Husain AS zimefanyika kwa kufana mno katika kona zote za dunia. Hapa tumekuwekea mawaidha ya Sheikh Maulid Hussein Kundya wa Arusha Tanzania kuhusu masaibu wa Imam Husain AS huko Karbala katika mwaka wa 61 Hijria.
-
Historia ya Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS
Oct 20, 2019 07:33Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji wa Radio Tehran, Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran popote pale mlipo hususan huko nyumbani Afrika Mashariki.
-
Jumamosi, 19 Oktoba, 2019
Oct 19, 2019 02:36Leo ni Jumamosi tarehe 20 Mfunguo Tano Safar 1441 Hijria mwafaka na tarehe 19 Oktoba 2019 Miladia.
-
Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video
Oct 14, 2019 14:20Arubaini ya Imam Hussein (as) imekuwa ni ya kimataifa na itaendelea kupanuka zaidi katika upeo huo. Hii ni damu ya Hussein bin Ali (as) ambayo licha ya kupita miaka 1400, ingali inachemka na kuendelea kuwa mpya na hai zaidi siku baada ya nyingine. Huu ndio ujumbe ule ule wa Siku ya Ashura uliopazwa kupitia koo za Aba Abdillah al-Hussein (as) na Bibi Zainab (sa) katika kipindi kigumu zaidi cha upweke wao. Pamoja na hayo, hii leo ujumbe huo umeenea na kufika katika kila pembe ya dunia.
-
Jumanne, Oktoba 30, 2018
Oct 30, 2018 02:34Leo ni Jumanne tarehe 20 Mfunguo Tano Safar 1440 Hijria sawa na Oktoba 30, mwaka 2018 Milaadia.