• Jumatano, Septemba 6, 2023

    Jumatano, Septemba 6, 2023

    Sep 06, 2023 02:41

    Leo ni Jumatano tarehe 20 Mfunguo Tano Safar 1445 Hijria sawa na Septemba 6 mwaka 2022 Milaadia.

  • Jumamosi, 17 Septemba, 2022

    Jumamosi, 17 Septemba, 2022

    Sep 17, 2022 04:23

    Leo ni Jumamosi tarehe 20 Mfunguo Tano Safar 1444 Hijria sawa na tarehe 17 Septemba 2022.

  • Jumatatu, Septemba 27, 2021

    Jumatatu, Septemba 27, 2021

    Sep 27, 2021 02:20

    Leo ni Jumatatu tarehe 20 Mfunguo Tano Safar 1443 Hijria sawa na tarehe 27 Septemba 2021 Milaadia.

  • Sheikh Maulid Hussein Kundya na kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Husain AS - Sauti

    Sheikh Maulid Hussein Kundya na kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Husain AS - Sauti

    Oct 21, 2019 12:11

    Mwaka huu kama ilivyo miaka mingine yote, kumbukumbu za Arubaini ya Imam Husain AS zimefanyika kwa kufana mno katika kona zote za dunia. Hapa tumekuwekea mawaidha ya Sheikh Maulid Hussein Kundya wa Arusha Tanzania kuhusu masaibu wa Imam Husain AS huko Karbala katika mwaka wa 61 Hijria.

  • Historia ya Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS

    Historia ya Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS

    Oct 20, 2019 07:33

    Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji wa Radio Tehran, Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran popote pale mlipo hususan huko nyumbani Afrika Mashariki.

  • Jumamosi, 19 Oktoba, 2019

    Jumamosi, 19 Oktoba, 2019

    Oct 19, 2019 02:36

    Leo ni Jumamosi tarehe 20 Mfunguo Tano Safar 1441 Hijria mwafaka na tarehe 19 Oktoba 2019 Miladia.

  • Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video

    Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video

    Oct 14, 2019 14:20

    Arubaini ya Imam Hussein (as) imekuwa ni ya kimataifa na itaendelea kupanuka zaidi katika upeo huo. Hii ni damu ya Hussein bin Ali (as) ambayo licha ya kupita miaka 1400, ingali inachemka na kuendelea kuwa mpya na hai zaidi siku baada ya nyingine. Huu ndio ujumbe ule ule wa Siku ya Ashura uliopazwa kupitia koo za Aba Abdillah al-Hussein (as) na Bibi Zainab (sa) katika kipindi kigumu zaidi cha upweke wao. Pamoja na hayo, hii leo ujumbe huo umeenea na kufika katika kila pembe ya dunia.

  • Jumanne, Oktoba 30, 2018

    Jumanne, Oktoba 30, 2018

    Oct 30, 2018 02:34

    Leo ni Jumanne tarehe 20 Mfunguo Tano Safar 1440 Hijria sawa na Oktoba 30, mwaka 2018 Milaadia.