Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Alfajiri Kumi

  • Ayatullah Khamenei: Marekani haiwezi kufanya chochote kuhusu mradi wetu wa nyuklia

    Ayatullah Khamenei: Marekani haiwezi kufanya chochote kuhusu mradi wetu wa nyuklia

    Jun 04, 2025 07:07

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema urutubishaji wa urani ndio ufunguo wa suala la nyuklia la Iran, akipuuzilia mbali pendekezo la Marekani kwa Tehran la kusimamisha kikamilifu urutubishaji wa madini hayo (ya urani).

  • Mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kikanda na duniani

    Mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kikanda na duniani

    Feb 10, 2025 02:40

    Leo Iran inaadhimisha miaka 46 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yaliyotokea mwaka 1979 chini ya uongozi wa hayati Imam Ruhullah Khomeini. Matokeo na mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran daima yamekuwa na taathira kwa kanda ya Asia Magharibi na dunia kwa ujumla.

  • "Mapinduzi ya Kiislamu yaliathiri mapambano ya Afrika Kusini dhidi ya apartheid"

    Feb 05, 2025 12:18

    Mwanahabari mkongwe mjini Cape Town, Farid Sayed amesema Mapinduzi ya Kiislamu na kuasisiwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kulikuwa na athari kubwa kwa mapambano ya Afrika Kusini dhidi ya mfumo wa ubaguzi wa rangi wa apartheid.

  • Iran yaanza sherehe za Alfajiri Kumi za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Iran yaanza sherehe za Alfajiri Kumi za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Jan 31, 2025 13:33

    Raia wa Iran leo wameanza sherehe za Alfajiri Kumi ili kuadhimisha mwaka wa 46 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yaliyouangusha utawala wa kifalme wa Pahlavi uliokuwa ukiungwa mkono na kusaidiwa na Marekani.

  • Ijumaa tarehe 31 Januari 2025

    Ijumaa tarehe 31 Januari 2025

    Jan 31, 2025 02:21

    Leo ni Ijumaa tarehe Mosi Shaaban 1446 Hijria sawa na 31 Januari 2025 Milaadia.

  • Mamilioni ya Wairani waadhimisha Mapinduzi ya Kiislamu, wasema yamehuisha Umma wa Kiislamu

    Mamilioni ya Wairani waadhimisha Mapinduzi ya Kiislamu, wasema yamehuisha Umma wa Kiislamu

    Feb 11, 2024 12:13

    Mamilioni ya wananchi wa Iran walioshiriki katika maandamano ya kuadhimisha miaka 45 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini wametangaza kuwa: Mapinduzi ya Kiislamu yameibua roho mpya katika mwili wa Umma wa Kiislamu na kupanua zaidi mapambano ya kupinga dhulma na uonevu.

  • Mapinduzi ya Kiislamu, kuandaliwa mazingira ya kudhihiri Imam Mahdi (a.t.f.s)

    Mapinduzi ya Kiislamu, kuandaliwa mazingira ya kudhihiri Imam Mahdi (a.t.f.s)

    Feb 11, 2024 04:28

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 45 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyotokea mwaka 1979 kwa uongozi wenye busara na hekima wa Imamu Ruhullah Khomeini (MA).

  • Mapinduzi ya Kiisamu; chimbuko la mageuzi ya kiroho na kimaanawi ya wananchi wa Iran

    Mapinduzi ya Kiisamu; chimbuko la mageuzi ya kiroho na kimaanawi ya wananchi wa Iran

    Feb 11, 2024 04:27

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu nyingine ya mfululizo wa vipindi hivi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa Alfajiri Kumi kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 45 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya Iran yaliyotokea 1979

  • Msemaji wa Maulamaa wa Palestina: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yamebadilisha historia ya dunia

    Msemaji wa Maulamaa wa Palestina: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yamebadilisha historia ya dunia

    Feb 10, 2024 10:40

    Mkuu wa Baraza la Ushauri na Msemaji wa Baraza Kuu la Maulamaa wa Palestina amesema kuwa, Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran si kwa ajili ya nchi hiyo tu bali ni kwa ajili ya ulimwengu mzima kwani yamebadilisha sura ya historia ya dunia.

  • Msomi Mnigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni dhihirisho la kupigania uhuru duniani

    Msomi Mnigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni dhihirisho la kupigania uhuru duniani

    Feb 08, 2024 03:03

    Mwanasiasa na mwandishi mashuhuri wa Nigeria amesema kuwa, Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini (RA) ni kigezo cha wapigania uhuru kote duniani ili kuzifanya nchi zao kuwa huru.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Papa Leo: Kuundwa taifa la Palestina ndio suluhisho pekee la amani

    Papa Leo: Kuundwa taifa la Palestina ndio suluhisho pekee la amani

    6 hours ago
  • Araqchi: Mahusiano ya kimataifa yamebadilika na kuwa ya kimabavu kutokana na mienendo ya Marekani

  • Viongozi wa Afrika watoa wito wa kutambuliwa rasmi uhalifu wa enzi za ukoloni na kulipwa fidia

  • ICC: Vikwazo vya Marekani vimewaathiri majaji, hatutasalimu amri kwa shinikizo lolote

  • Mshindi wa Tuzo ya Nobel, Denis Mukwege: Makubaliano ya amani kati ya Kinshasa na M23 ni 'haramu'

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini Marekani inafanya njama za kuidhibiti Venezuela?

    Kwa nini Marekani inafanya njama za kuidhibiti Venezuela?

    5 hours ago
  • Kwa nini umma unapaza sauti zaidi katika mitaa ya Paris kupinga migongano ya sera za Ulaya?

    Kwa nini umma unapaza sauti zaidi katika mitaa ya Paris kupinga migongano ya sera za Ulaya?

    10 hours ago
  • Mitazamo ya pamoja ya Tehran-Ankara kuunga mkono Palestina na kukabiliana na uingiliaji wa kigeni

    Mitazamo ya pamoja ya Tehran-Ankara kuunga mkono Palestina na kukabiliana na uingiliaji wa kigeni

    24 hours ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Msemaji wa SEPAH: Tutajibu vikali mno na zaidi, uovu wowote mpya wa adui

  • Uvumbuzi wa Bioteknolojia Iran: Manyoya ya kuku kuwa lishe ya mifugo

  • Cameroon: Mpinzani wa Rais Biya amefariki dunia akiwa kizuizini

  • Maelfu ya Waisrael wafurika kwenye ubalozi wa Ureno Tel Aviv kuomba uraia wa nchi hiyo

  • Rais wa Afrika Kusini amtuhumu Trump kwa kutoa 'kauli zisizo za kweli' kuhusu nchi yake

  • Wabeba silaha wateka nyara watu wengine 14 Nigeria, yumo bibi harusi na kitoto kichanga

  • Kituo kipya cha Treni cha Maria Mtakatifu chafunguliwa Tehran

  • Changamoto za Umoja wa Ulaya katika kuchangisha fedha kwa ajili ya Ukraine

  • Ma'ariv: Jeshi la Israel limechoka baada ya miaka miwili ya vita

  • Kampeni ya 'Komboa Mateka Wapalestina' walioko kwenye magereza ya Israel yazidi kupamba moto

  • UN yatahadharisha kuhusu janga la njaa linalotishia wakimbizi nchini Ethiopia

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS