Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mawakili wa Marekani, Palestina na Jordan kupinga uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    Mawakili wa Marekani, Palestina na Jordan kupinga uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    Mar 13, 2018 15:54

    Wanasheria na mawakili kadhaa wa Marekani, Palestina na Jordan wametangaza kuwa wako tayari kufungua mashtaka mahakamani dhidi ya uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu wa kuitambua Quds tukufu (Jerusalem) kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel na kutaka kuhamishia ubalozi wa Marekani katika mji huo.

  • Uamuzi wa Trump kuhusu Quds waendelea kupingwa

    Uamuzi wa Trump kuhusu Quds waendelea kupingwa

    Mar 09, 2018 16:04

    Wimbi jipya la upinzani dhidi ya maamuzi ya viongozi wa Marekani wanaotaka kutambuliwa Quds (Jerusalem) kama mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, limechukua mkondo wake.

  • Uzembe wa nchi za Kiarabu umeongeza uadui Marekani dhidi ya Quds Tukufu

    Uzembe wa nchi za Kiarabu umeongeza uadui Marekani dhidi ya Quds Tukufu

    Mar 09, 2018 06:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Riyadh Al-Maliki amesema, uzembe na upuuzaji wa nchi za Kiarabu kuhusu kadhia ya Palestina katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita ndicho chanzo cha kuongezeka uadui na jeuri za Marekani dhidi ya Quds Tukufu.

  • Rais wa Ufaransa ampinga Trump, ataka Beitul-Muqaddas itambuliwe kuwa mji mkuu wa Palestina

    Rais wa Ufaransa ampinga Trump, ataka Beitul-Muqaddas itambuliwe kuwa mji mkuu wa Palestina

    Mar 08, 2018 04:33

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa, umewadia wakati sasa wa Beitul-Muqaddas kutambuliwa kuwa mji mkuu wa Palestina.

  • Wakristo Quds: Tutaendelea kuwashinda Wazayuni waliozivamia ardhi za Palestina

    Wakristo Quds: Tutaendelea kuwashinda Wazayuni waliozivamia ardhi za Palestina

    Mar 01, 2018 04:38

    Wakristo wa mji wa Quds wamefurahishwa na hatua ya kufunguliwa upya kanisa kuu la 'Al-Qiyamah' baada ya kufungwa kwa siku kadhaa na utawala haramu wa Israel na kuitaja hatua hiyo kuwa ni katika safari ya kuelekea ushindi kamili dhidi ya Wazayuni hao wanaokalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Sheikh wa al-Aqsa aonya kuhusu huhamishiwa Quds ubalozi wa US

    Sheikh wa al-Aqsa aonya kuhusu huhamishiwa Quds ubalozi wa US

    Feb 28, 2018 07:58

    Mhubiri mtajika wa Msikiti wa al-Aqsa, Sheikh Ikrima Sabri ametahadharisha kuhusu azma ya Marekani ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds Tukufu kutoka Tel Aviv na kuitaja hatua hiyo kama ya kichokozi na kichochezi.

  • Hamas yatoa wito wa maandamano ya kupinga kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    Hamas yatoa wito wa maandamano ya kupinga kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    Feb 26, 2018 02:41

    Harakati ya Mapambanao ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetoa mwito wa kufanyika maandamano ya kupinga nia ya Marekani ya kutaka kuuhamishia Quds ubalozi wake ulioko Tel Aviv, karibuni hivi.

  • Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yalaani tangazo la kuhamishia ubalozi wa Marekani Quds Tukufu

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yalaani tangazo la kuhamishia ubalozi wa Marekani Quds Tukufu

    Feb 25, 2018 07:23

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imelaani vikali hatua ya Marekani kutangaza kuwa itahamisha ubalozi wake kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu (Jerusalem).

  • Kigogo wa makasino kugharamia kuhamishiwa ubalozi wa Marekani Baitul-Muqaddas

    Kigogo wa makasino kugharamia kuhamishiwa ubalozi wa Marekani Baitul-Muqaddas

    Feb 25, 2018 02:49

    Sheldon Adelson, bilionea wa Kiyahudi ambaye ni muungaji mkono mkubwa wa utawala ghasibu wa Israel ametangaza kuwa, atatoa gharama za kuhamishiwa ubalozi wa Marekani huko Baitul-Muqaddas.

  • Marekani kuuhamishia Quds (Jerusalem) ubalozi wake wa Tel Aviv mwezi Mei mwaka huu

    Marekani kuuhamishia Quds (Jerusalem) ubalozi wake wa Tel Aviv mwezi Mei mwaka huu

    Feb 24, 2018 03:58

    Licha ya upinzani mkubwa ulioanzia eneo la Mashariki ya Kati na ulimwengu kwa jumla, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kuwa mnamo mwezi Mei mwaka huu ubalozi wa nchi hiyo ulioko Tel Aviv utahamishiwa Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran yaonya kuhusu wapenda vita wanaotaka “vita vya maafa”

    Iran yaonya kuhusu wapenda vita wanaotaka “vita vya maafa”

    2 hours ago
  • Guinea-Bissau yasitisha utafiti wa chanjo unaofadhiliwa na Marekani

  • WFP: Somalia inakabiliwa na hatari ya baa la njaa

  • Balozi wa Marekani: Ni sawa ikiwa Israel itanyakua ardhi kote Asia Magharibi

  • Wabunge wa Marekani wanataka kupiga kura kuzuia mamlaka ya Trump ya kushambulia Iran

Chaguo La Mhariri
  • Mtazamo wa Moscow kuhusu maneva ya pamoja ya baharini kati ya Iran, Russia na China

    Mtazamo wa Moscow kuhusu maneva ya pamoja ya baharini kati ya Iran, Russia na China

    11 minutes ago
  • Kupinga Wabunge wa Marekani sera za Trump za kupiga ngoma ya vita dhidi ya Iran

    Kupinga Wabunge wa Marekani sera za Trump za kupiga ngoma ya vita dhidi ya Iran

    7 hours ago
  • Mauaji ya Halaiki ya Thiaroye; miaka 80 ya kufichwa tukio kubwa zaidi la umwagaji damu uliofanywa na Mkoloni Mfaransa Afrika

    Mauaji ya Halaiki ya Thiaroye; miaka 80 ya kufichwa tukio kubwa zaidi la umwagaji damu uliofanywa na Mkoloni Mfaransa Afrika

    21 hours ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Iran yaonya: Hatutaanzisha vita, lakini tutajibu vikali uvamizi wowote

  • Ripoti: Uwezekano wa kutokea mzozo wa kijeshi kati ya Misri na Israel kuhusu "Somaliland"

  • Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

  • Mawaziri wa Iran na Saudi Arabia wajadili uhusiano wa pande mbili, mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani

  • Majeshi ya majini ya Iran, Afrika Kusini na Sri Lanka kushirikiana usalama baharini

  • "Vyombo vya diplomasia vya Iran vijadiliane kwa kuzingatia hekima, izza, na maslahi ya taifa"

  • Hamas yalaani mkutano wa 'Bodi ya Amani' ya Trump

  • Serikali ya Senegal yaidhinisha muswada wa adhabu kali wapenzi wa jinsia moja

  • Mwandishi wa NY Times: Netanyahu anamtumia vibaya Trump kwa ajili ya vita na Iran

  • Waholanzi 640 waliohudumu katika jeshi la Israel Gaza kushtakiwa?

  • Kiongozi Muadhamu ahudhuria hafla ya Qur'ani siku ya kwanza ya Ramadhani

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS