Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Matokeo ya uamuzi wa Trump kuhusu Quds kwa usalama wa Mashariki ya Kati

    Matokeo ya uamuzi wa Trump kuhusu Quds kwa usalama wa Mashariki ya Kati

    Dec 08, 2017 07:46

    Uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kutambua rasmi Quds Tukufu kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel na wakati huohuo kuamuru kuhamishiwa huko ubalozi wa Marekani kutoka mjini Tel Aviv bila shaka utakuwa na matokeo muhimu kwa eneo zima la Mashariki ya Kati.

  • Radiamali ya Umoja wa Ulaya kuhusu hatua ya Trump dhidi ya Quds Tukufu

    Radiamali ya Umoja wa Ulaya kuhusu hatua ya Trump dhidi ya Quds Tukufu

    Dec 08, 2017 04:48

    Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amelaani hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kutambua rasmi mji wa Beitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel na kuongeza kuwa hatua hiyo ya upande mmoja bila shaka itavuruga utulivu wa ulimwengu na juhudi zote zilizofanywa kwa ajili ya kutatua mzozo wa Palestina.

  • Mahojiano ya Salum Bendera na Ustadh Muhammad Qassim kuhusu uamuzi wa Trump kuhusiana na Quds + SAUTI

    Mahojiano ya Salum Bendera na Ustadh Muhammad Qassim kuhusu uamuzi wa Trump kuhusiana na Quds + SAUTI

    Dec 07, 2017 16:51

    Uamuzi wa rais wa Marekani wa kuutangaza mji mtakatifu wa Quds wenye Kibla cha Kwanza cha Waislamu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kulaaniwa na hata waitifaki wa karibu wa Marekani katika kila kona ya dunia.

  • Taarifa ya OIC ya kulaani uamuzi wa Marekani kuhusu Baytul Muqaddas

    Taarifa ya OIC ya kulaani uamuzi wa Marekani kuhusu Baytul Muqaddas

    Dec 07, 2017 15:08

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imeonyesha kusikitishwa kwake na uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuutangaza mji mtakatifu wa Quds wenye Kibla cha Kwanza cha Waislamu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas yasema kesho ni 'Ijumaa ya Ghadhabu' ya kuihami Quds

    Hamas yasema kesho ni 'Ijumaa ya Ghadhabu' ya kuihami Quds

    Dec 07, 2017 14:50

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imeutaja uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kama tangazo la vita huku ikisema kuwa kesho itakuwa Ijumaa ya Ghadhabu na fursa kwa ulimwengu wa Kiislamu kuonyesha hasira zao dhidi ya Washington na Tel Aviv.

  • Baraza la Usalama laitisha kikao cha dharura kuzungumzia Quds baada ya uchokozi wa Trump

    Baraza la Usalama laitisha kikao cha dharura kuzungumzia Quds baada ya uchokozi wa Trump

    Dec 07, 2017 07:29

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeitisha kikao cha dharura kesho Ijumaa kuzungumzia uamuzi wa rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran yatoa jibu kwa uamuzi wa Marekani wa kuhamishia ubalozi wake Baitul Muqaddas

    Iran yatoa jibu kwa uamuzi wa Marekani wa kuhamishia ubalozi wake Baitul Muqaddas

    Dec 07, 2017 04:06

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa maalumu, ambayo mbali na kulaani kutangazwa Baitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala ghasibu wa Israel imesisitiza pia kwamba tangazo hilo lilotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani ni ukiukaji wa wazi wa maazimio ya kimataifa.

  • Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Dec 07, 2017 01:43

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa Waiskamu kuwa macho na njama za maadui.

  • Nchi za Ulaya: Hatua ya Marekani dhidi ya Quds inatia wasiwasi

    Nchi za Ulaya: Hatua ya Marekani dhidi ya Quds inatia wasiwasi

    Dec 06, 2017 15:01

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Uingereza, Sweden na Ujerumani wamesema kuwa wana wasiwasi mkubwa na uamuzi wa upande mmoja wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuutambua rasmi mji wa Quds kama mji mkuu wa utawala wa Kizayuni.

  • Misri yamuonya Trump dhidi ya kuvuruga mambo Mashariki ya Kati

    Misri yamuonya Trump dhidi ya kuvuruga mambo Mashariki ya Kati

    Dec 06, 2017 07:50

    Rais Abdulfattah al-Sisi wa Misri amemtahadharisha mwenzake wa Marekani Donald Trump dhidi ya kuhamishia ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi mji mtukufu wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Makamanda wa ngazi za juu wa Iran wameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Israel, Marekani

    Makamanda wa ngazi za juu wa Iran wameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Israel, Marekani

    16 hours ago
  • Iran kutoa jibu kali kwa wauaji wa wanafunzi 150

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Marekani na Israel

  • Spika wa Iran: Israel, US zimekanyaga mstari wetu mwekundu

  • Mamilioni ya Wairani wamuomboleza Kiongozi Muadhamu; taifa lazizima

Chaguo La Mhariri
  • Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

    Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

    2 days ago
  • Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo

    Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo

    3 days ago
  • Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    4 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Makamanda wa ngazi za juu wa Iran wameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Israel, Marekani

  • Spika wa Iran: Israel, US zimekanyaga mstari wetu mwekundu

  • Mamilioni ya Wairani wamuomboleza Kiongozi Muadhamu; taifa lazizima

  • Iran kutoa jibu kali kwa wauaji wa wanafunzi 150

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Marekani na Israel

  • Larijani: Taifa la Iran litawafanya maadui wajutie uchokozi wao

  • Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

  • Iran yahimiza kusitishwa mapigano mara moja kati ya Afghanistan na Pakistan

  • Katibu Mkuu wa UN: 'Uhamiaji si mgogoro', ahimiza ushirikiano wa kimataifa

  • OIC yaonya dhidi ya vitisho vya kuishambulia kijeshi Iran

  • Iran: Kutochukua hatua Baraza la Usalama dhidi ya jinai za Israel ni 'janga'

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS