-
Abbas amtahadharisha Trump kuhusu hatari ya kuhamishia ubalozi Quds
Dec 06, 2017 04:53Kiongozi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amewasiliana na viongozi kadhaa wa kimataifa akiwemo Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis akiwahimiza kupinga mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kutaka kuhamishia ubalozi wa nchi hiyo katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Radiamali ya OIC kwa siasa za Rais Trump kuhusiana na Quds
Dec 05, 2017 13:33Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imemtahadharisha Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na kuutambua mji wa Quds kama mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.
-
PLO: Kuuhamishia Quds ubalozi wa Marekani ni 'busu la mauti'
Dec 05, 2017 08:01Mwakilishi wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) nchini Marekani ameonya kuhusu madhara ya mpango wa Washington wa kuuhamisha ubalozi wake mjini Tel Aviv na kuupeleka katika mji mtakatifu wa Quds.
-
Ismail Hania: Kadhia ya Quds ni sababu ya Waislamu kuungana
Dec 05, 2017 02:44Ismail Hania, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kwamba, kadhia ya Quds ni sababu ya Waislamu kuungana na kwamba, suala hilo lipo katika orodha ya masuala ya Waislamu yanayopaswa kuzingatiwa na kupewa kipaumbele.
-
Wazayuni waunda kikosi kipya cha polisi ili kuwakandamiza zaidi Waislamu
Nov 02, 2017 04:11Waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa amri ya kuundwa kikosi kingine maalumu kitakachowakandamiza Wapalestina katika Msikiti wa al Aqsa.
-
Utawala wa Kizayuni waidhinisha ujenzi wa nyumba mpya za walowezi
Oct 25, 2017 15:31Baraza la Mawaziri wa utawala wa Kizayuni limeidhinisha kujengwa nyumba mpya kwa ajili ya walowezi wa Kizayuni katika ardhi walizoporwa Wapalestina kwenye mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.
-
Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa
Oct 22, 2017 14:32Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa na kuvunjia heshima eneo hilo takatifu la Kiislamu.
-
Alkhamisi 28 Septemba 2017
Sep 28, 2017 03:08Leo ni Alkhamisi 7 Muharram 1439 Hijria sawa na Septemba 28, 2017.
-
Mayahudi wa Orthodox waliokataa kujiunga na jeshi wapambana na askari wa Israel katika mji wa Quds
Sep 18, 2017 07:57Hatua ya mahkama kuu ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kufuta msamaha uliokuwa unawaruhusu Mayahudi wa Orthodox kutohudumu jeshini, imelifanya kundi moja la Mayahudi hao kufanya maandamano na kuanza kupambana vikali na askari wa Israel katika mji wa Quds unaokaliwa na utawala huo khabithi.
-
Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa
Aug 29, 2017 04:23Wanazuoni wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Quds wametoa wito kwa Waislamu Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa mjini humo.