Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Nchi za Ulaya: Hatua ya Marekani dhidi ya Quds inatia wasiwasi

    Nchi za Ulaya: Hatua ya Marekani dhidi ya Quds inatia wasiwasi

    Dec 06, 2017 11:31

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Uingereza, Sweden na Ujerumani wamesema kuwa wana wasiwasi mkubwa na uamuzi wa upande mmoja wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuutambua rasmi mji wa Quds kama mji mkuu wa utawala wa Kizayuni.

  • Misri yamuonya Trump dhidi ya kuvuruga mambo Mashariki ya Kati

    Misri yamuonya Trump dhidi ya kuvuruga mambo Mashariki ya Kati

    Dec 06, 2017 04:20

    Rais Abdulfattah al-Sisi wa Misri amemtahadharisha mwenzake wa Marekani Donald Trump dhidi ya kuhamishia ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi mji mtukufu wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Abbas amtahadharisha Trump kuhusu hatari ya kuhamishia ubalozi Quds

    Abbas amtahadharisha Trump kuhusu hatari ya kuhamishia ubalozi Quds

    Dec 06, 2017 01:23

    Kiongozi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amewasiliana na viongozi kadhaa wa kimataifa akiwemo Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis akiwahimiza kupinga mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kutaka kuhamishia ubalozi wa nchi hiyo katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Radiamali ya OIC kwa siasa za Rais Trump kuhusiana na Quds

    Radiamali ya OIC kwa siasa za Rais Trump kuhusiana na Quds

    Dec 05, 2017 10:03

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imemtahadharisha Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na kuutambua mji wa Quds kama mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.

  • PLO: Kuuhamishia Quds ubalozi wa Marekani ni 'busu la mauti'

    PLO: Kuuhamishia Quds ubalozi wa Marekani ni 'busu la mauti'

    Dec 05, 2017 04:31

    Mwakilishi wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) nchini Marekani ameonya kuhusu madhara ya mpango wa Washington wa kuuhamisha ubalozi wake mjini Tel Aviv na kuupeleka katika mji mtakatifu wa Quds.

  • Ismail Hania: Kadhia ya Quds ni sababu ya Waislamu kuungana

    Ismail Hania: Kadhia ya Quds ni sababu ya Waislamu kuungana

    Dec 04, 2017 23:14

    Ismail Hania, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kwamba, kadhia ya Quds ni sababu ya Waislamu kuungana na kwamba, suala hilo lipo katika orodha ya masuala ya Waislamu yanayopaswa kuzingatiwa na kupewa kipaumbele.

  • Wazayuni waunda kikosi kipya cha polisi ili kuwakandamiza zaidi Waislamu

    Wazayuni waunda kikosi kipya cha polisi ili kuwakandamiza zaidi Waislamu

    Nov 02, 2017 00:41

    Waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa amri ya kuundwa kikosi kingine maalumu kitakachowakandamiza Wapalestina katika Msikiti wa al Aqsa.

  • Utawala wa Kizayuni waidhinisha ujenzi wa nyumba mpya za walowezi

    Utawala wa Kizayuni waidhinisha ujenzi wa nyumba mpya za walowezi

    Oct 25, 2017 12:01

    Baraza la Mawaziri wa utawala wa Kizayuni limeidhinisha kujengwa nyumba mpya kwa ajili ya walowezi wa Kizayuni katika ardhi walizoporwa Wapalestina kwenye mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa

    Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa

    Oct 22, 2017 11:02

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa na kuvunjia heshima eneo hilo takatifu la Kiislamu.

  • Alkhamisi 28 Septemba 2017

    Alkhamisi 28 Septemba 2017

    Sep 27, 2017 23:38

    Leo ni Alkhamisi 7 Muharram 1439 Hijria sawa na Septemba 28, 2017.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Wanaharakati waliotoweka Kenya katika maandamano ya Gen Z wapatikana wakiwa wameteswa

    Wanaharakati waliotoweka Kenya katika maandamano ya Gen Z wapatikana wakiwa wameteswa

    14 minutes ago
  • Katika ujumbe wa Wiki ya Mahakama, Kiongozi aamuru kufuatiliwa kisheria uhalifu wa kivita wa Marekani na Israel dhidi ya Iran

  • Baqaei: Msaada wa kiufundi na uungaji mkono kwa mvamizi ni sawa na kushiriki katika uvamizi

  • Gharibabadi: Sardasht, mhanga wa mabomu ya kemikali na undumakuwili wa Magharibi

  • Maandamano ya kupinga ukiukaji wa usitishaji vita Gaza yafanyika nchini Sweden

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    1 day ago
  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    1 day ago
  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    3 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

  • Jeshi la Iran lalenga vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi

  • Majeshi ya Iran yaonya kuhusu jibu kwa tishio lolote la Israel

  • Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel

  • Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad

  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

  • Iran yalaani taarifa ya kichochezi ya nchi za Ghuba ya Uajemi na Marekani

  • Meja Jenerali Rezaei: Kama adui ataanzisha vita vingine, atapata maafa na hasara kubwa

  • Burkina Faso yavunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa, yaituhumu kwa kuingilia mambo yake ya ndani

  • Kiongozi wa Hizbullah: Israel italazimika kuondoka Lebanon “ikiwa imedhalilika”

  • Baqaei: Msaada wa kiufundi na uungaji mkono kwa mvamizi ni sawa na kushiriki katika uvamizi

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS