Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Wazayuni wandelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Wazayuni wandelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Aug 28, 2017 15:22

    Walowezi wa Kizayuni wameuvamia kwa mara nyingine tena Msikiti wa al Aqsa na kukivunjia heshima Kibla hicho cha Kwanza cha Waislamu.

  • Nguzo za msikiti mtukufu wa Al-Aqsa zinakaribia kuporomoka

    Nguzo za msikiti mtukufu wa Al-Aqsa zinakaribia kuporomoka

    Aug 22, 2017 15:30

    Taasisi ya Kimataifa ya Quds imetangaza kuwa nguzo za msingi wa msikiti wa Al-Aqsa, kibla cha kwanza cha Waislamu zinakaribia kuporomoka kutokana na mashimo na njia za chini ya ardhi zinazochimbwa kiholela na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HRW yatahadharisha kuhusu njama mpya za Israel katika Quds Tukufu

    HRW yatahadharisha kuhusu njama mpya za Israel katika Quds Tukufu

    Aug 13, 2017 08:11

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetahadharisha kuhusu mipango na njama za muda mrefu zinazotekelezwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwa madhumuni ya kuwahamisha wakaazi wote Wapalestina wa asili katika mji wa Baitul Muqaddas na kuuzayunisha mji huo.

  • Walowezi wa Kizayuni wauvamia msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wauvamia msikiti wa al-Aqswa

    Aug 03, 2017 14:11

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo Alkhamisi wameuvamia tena msikiti wa al-Aqswa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu huko Baytul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Israel imepora nyaraka muhimu zaidi za msikiti wa al-Aqsa kipindi hiki

    Israel imepora nyaraka muhimu zaidi za msikiti wa al-Aqsa kipindi hiki

    Jul 31, 2017 08:18

    Mkuu wa kituo cha kimataifa cha Quds amesema kuwa, hadi sasa nyaraka muhimu za idara ya waqfu wa Kiislamu mjini Qudsi zilizokuwa katika milango ya msikiti wa al-Aqsa zimeporwa kikamilifu na Wazayuni.

  • Kiongozi: Hija ni fursa ya kutangaza msimamo kuhusu msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo

    Kiongozi: Hija ni fursa ya kutangaza msimamo kuhusu msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo

    Jul 30, 2017 15:15

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Hija ni fursa bora ya mahali na wakati kwa Umma wa Kiislamu kutangaza misimamo kuhusu kadhia ya Palestina, msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Kongamano la Kimataifa la Quds laanza nchini Nigeria

    Kongamano la Kimataifa la Quds laanza nchini Nigeria

    Jul 30, 2017 15:14

    Kongamano la Kimataifa la Quds ambalo hufanyika kila mwaka limeanza shughuli zake katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja.

  • Makumi ya Wapalestina watiwa nguvuni katika Msikiti wa Al-Aqsa

    Makumi ya Wapalestina watiwa nguvuni katika Msikiti wa Al-Aqsa

    Jul 28, 2017 07:35

    Askari wa utawala wa Kizayuni wa israel wamewavamia Wapalestina waliofanya mgomo wa kukaa kitako katika msikiti wa Al-Aqsa na kuwatia nguvuni zaidi ya watu mia moja.

  • Mtaalamu wa UN: Israel haifai kufanya maamuzi ya upande mmoja kuhusu al-Aqsa

    Mtaalamu wa UN: Israel haifai kufanya maamuzi ya upande mmoja kuhusu al-Aqsa

    Jul 27, 2017 15:58

    Mtaalamu wa masuala ya haki wa Umoja wa Mataifa amesema utawala wa Israel hauna mamlaka na uwezo wa kufanya maamuzi ya upande mmoja kuhusu usimamizi wa Msikiti wa al-Aqsa ulioko Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu.

  • Wanazuoni wa Iraq washangaa kimya cha nchi za Kiarabu kuhusu al-Aqsa

    Wanazuoni wa Iraq washangaa kimya cha nchi za Kiarabu kuhusu al-Aqsa

    Jul 26, 2017 07:48

    Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Iraq imeeleza kusikitishwa kwake na kimya cha watawala wa nchi za Kiarabu kuhusu hali mbaya ya mgogoro inayoikabili Quds na msikiti mtukufu wa al-Aqsa.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Makamanda wa ngazi za juu wa Iran wameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Israel, Marekani

    Makamanda wa ngazi za juu wa Iran wameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Israel, Marekani

    1 day ago
  • Iran kutoa jibu kali kwa wauaji wa wanafunzi 150

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Marekani na Israel

  • Spika wa Iran: Israel, US zimekanyaga mstari wetu mwekundu

  • Mamilioni ya Wairani wamuomboleza Kiongozi Muadhamu; taifa lazizima

Chaguo La Mhariri
  • Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

    Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

    2 days ago
  • Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo

    Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo

    3 days ago
  • Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    4 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Makamanda wa ngazi za juu wa Iran wameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Israel, Marekani

  • Spika wa Iran: Israel, US zimekanyaga mstari wetu mwekundu

  • Mamilioni ya Wairani wamuomboleza Kiongozi Muadhamu; taifa lazizima

  • Iran kutoa jibu kali kwa wauaji wa wanafunzi 150

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Marekani na Israel

  • Larijani: Taifa la Iran litawafanya maadui wajutie uchokozi wao

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS