-
Wazayuni wandelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu
Aug 28, 2017 15:22Walowezi wa Kizayuni wameuvamia kwa mara nyingine tena Msikiti wa al Aqsa na kukivunjia heshima Kibla hicho cha Kwanza cha Waislamu.
-
Nguzo za msikiti mtukufu wa Al-Aqsa zinakaribia kuporomoka
Aug 22, 2017 15:30Taasisi ya Kimataifa ya Quds imetangaza kuwa nguzo za msingi wa msikiti wa Al-Aqsa, kibla cha kwanza cha Waislamu zinakaribia kuporomoka kutokana na mashimo na njia za chini ya ardhi zinazochimbwa kiholela na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
HRW yatahadharisha kuhusu njama mpya za Israel katika Quds Tukufu
Aug 13, 2017 08:11Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetahadharisha kuhusu mipango na njama za muda mrefu zinazotekelezwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwa madhumuni ya kuwahamisha wakaazi wote Wapalestina wa asili katika mji wa Baitul Muqaddas na kuuzayunisha mji huo.
-
Walowezi wa Kizayuni wauvamia msikiti wa al-Aqswa
Aug 03, 2017 14:11Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo Alkhamisi wameuvamia tena msikiti wa al-Aqswa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu huko Baytul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Israel imepora nyaraka muhimu zaidi za msikiti wa al-Aqsa kipindi hiki
Jul 31, 2017 08:18Mkuu wa kituo cha kimataifa cha Quds amesema kuwa, hadi sasa nyaraka muhimu za idara ya waqfu wa Kiislamu mjini Qudsi zilizokuwa katika milango ya msikiti wa al-Aqsa zimeporwa kikamilifu na Wazayuni.
-
Kiongozi: Hija ni fursa ya kutangaza msimamo kuhusu msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo
Jul 30, 2017 15:15Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Hija ni fursa bora ya mahali na wakati kwa Umma wa Kiislamu kutangaza misimamo kuhusu kadhia ya Palestina, msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Kongamano la Kimataifa la Quds laanza nchini Nigeria
Jul 30, 2017 15:14Kongamano la Kimataifa la Quds ambalo hufanyika kila mwaka limeanza shughuli zake katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja.
-
Makumi ya Wapalestina watiwa nguvuni katika Msikiti wa Al-Aqsa
Jul 28, 2017 07:35Askari wa utawala wa Kizayuni wa israel wamewavamia Wapalestina waliofanya mgomo wa kukaa kitako katika msikiti wa Al-Aqsa na kuwatia nguvuni zaidi ya watu mia moja.
-
Mtaalamu wa UN: Israel haifai kufanya maamuzi ya upande mmoja kuhusu al-Aqsa
Jul 27, 2017 15:58Mtaalamu wa masuala ya haki wa Umoja wa Mataifa amesema utawala wa Israel hauna mamlaka na uwezo wa kufanya maamuzi ya upande mmoja kuhusu usimamizi wa Msikiti wa al-Aqsa ulioko Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu.
-
Wanazuoni wa Iraq washangaa kimya cha nchi za Kiarabu kuhusu al-Aqsa
Jul 26, 2017 07:48Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Iraq imeeleza kusikitishwa kwake na kimya cha watawala wa nchi za Kiarabu kuhusu hali mbaya ya mgogoro inayoikabili Quds na msikiti mtukufu wa al-Aqsa.