Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mayahudi wa Orthodox waliokataa kujiunga na jeshi wapambana na askari wa Israel katika mji wa Quds

    Mayahudi wa Orthodox waliokataa kujiunga na jeshi wapambana na askari wa Israel katika mji wa Quds

    Sep 18, 2017 03:27

    Hatua ya mahkama kuu ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kufuta msamaha uliokuwa unawaruhusu Mayahudi wa Orthodox kutohudumu jeshini, imelifanya kundi moja la Mayahudi hao kufanya maandamano na kuanza kupambana vikali na askari wa Israel katika mji wa Quds unaokaliwa na utawala huo khabithi.

  • Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa

    Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa

    Aug 28, 2017 23:53

    Wanazuoni wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Quds wametoa wito kwa Waislamu Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa mjini humo.

  • Wazayuni wandelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Wazayuni wandelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Aug 28, 2017 10:52

    Walowezi wa Kizayuni wameuvamia kwa mara nyingine tena Msikiti wa al Aqsa na kukivunjia heshima Kibla hicho cha Kwanza cha Waislamu.

  • Nguzo za msikiti mtukufu wa Al-Aqsa zinakaribia kuporomoka

    Nguzo za msikiti mtukufu wa Al-Aqsa zinakaribia kuporomoka

    Aug 22, 2017 11:00

    Taasisi ya Kimataifa ya Quds imetangaza kuwa nguzo za msingi wa msikiti wa Al-Aqsa, kibla cha kwanza cha Waislamu zinakaribia kuporomoka kutokana na mashimo na njia za chini ya ardhi zinazochimbwa kiholela na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HRW yatahadharisha kuhusu njama mpya za Israel katika Quds Tukufu

    HRW yatahadharisha kuhusu njama mpya za Israel katika Quds Tukufu

    Aug 13, 2017 03:41

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetahadharisha kuhusu mipango na njama za muda mrefu zinazotekelezwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwa madhumuni ya kuwahamisha wakaazi wote Wapalestina wa asili katika mji wa Baitul Muqaddas na kuuzayunisha mji huo.

  • Walowezi wa Kizayuni wauvamia msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wauvamia msikiti wa al-Aqswa

    Aug 03, 2017 09:41

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo Alkhamisi wameuvamia tena msikiti wa al-Aqswa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu huko Baytul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Israel imepora nyaraka muhimu zaidi za msikiti wa al-Aqsa kipindi hiki

    Israel imepora nyaraka muhimu zaidi za msikiti wa al-Aqsa kipindi hiki

    Jul 31, 2017 03:48

    Mkuu wa kituo cha kimataifa cha Quds amesema kuwa, hadi sasa nyaraka muhimu za idara ya waqfu wa Kiislamu mjini Qudsi zilizokuwa katika milango ya msikiti wa al-Aqsa zimeporwa kikamilifu na Wazayuni.

  • Kiongozi: Hija ni fursa ya kutangaza msimamo kuhusu msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo

    Kiongozi: Hija ni fursa ya kutangaza msimamo kuhusu msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo

    Jul 30, 2017 10:45

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Hija ni fursa bora ya mahali na wakati kwa Umma wa Kiislamu kutangaza misimamo kuhusu kadhia ya Palestina, msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Kongamano la Kimataifa la Quds laanza nchini Nigeria

    Kongamano la Kimataifa la Quds laanza nchini Nigeria

    Jul 30, 2017 10:44

    Kongamano la Kimataifa la Quds ambalo hufanyika kila mwaka limeanza shughuli zake katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja.

  • Makumi ya Wapalestina watiwa nguvuni katika Msikiti wa Al-Aqsa

    Makumi ya Wapalestina watiwa nguvuni katika Msikiti wa Al-Aqsa

    Jul 28, 2017 03:05

    Askari wa utawala wa Kizayuni wa israel wamewavamia Wapalestina waliofanya mgomo wa kukaa kitako katika msikiti wa Al-Aqsa na kuwatia nguvuni zaidi ya watu mia moja.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Wanaharakati waliotoweka Kenya katika maandamano ya Gen Z wapatikana wakiwa wameteswa

    Wanaharakati waliotoweka Kenya katika maandamano ya Gen Z wapatikana wakiwa wameteswa

    1 hour ago
  • Katika ujumbe wa Wiki ya Mahakama, Kiongozi aamuru kufuatiliwa kisheria uhalifu wa kivita wa Marekani na Israel dhidi ya Iran

  • Baqaei: Msaada wa kiufundi na uungaji mkono kwa mvamizi ni sawa na kushiriki katika uvamizi

  • Gharibabadi: Sardasht, mhanga wa mabomu ya kemikali na undumakuwili wa Magharibi

  • Maandamano ya kupinga ukiukaji wa usitishaji vita Gaza yafanyika nchini Sweden

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    1 day ago
  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    1 day ago
  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    3 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

  • Jeshi la Iran lalenga vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi

  • Majeshi ya Iran yaonya kuhusu jibu kwa tishio lolote la Israel

  • Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel

  • Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad

  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

  • Iran yalaani taarifa ya kichochezi ya nchi za Ghuba ya Uajemi na Marekani

  • Meja Jenerali Rezaei: Kama adui ataanzisha vita vingine, atapata maafa na hasara kubwa

  • Baqaei: Msaada wa kiufundi na uungaji mkono kwa mvamizi ni sawa na kushiriki katika uvamizi

  • Burkina Faso yavunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa, yaituhumu kwa kuingilia mambo yake ya ndani

  • Kiongozi wa Hizbullah: Israel italazimika kuondoka Lebanon “ikiwa imedhalilika”

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS