Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mtaalamu wa UN: Israel haifai kufanya maamuzi ya upande mmoja kuhusu al-Aqsa

    Mtaalamu wa UN: Israel haifai kufanya maamuzi ya upande mmoja kuhusu al-Aqsa

    Jul 27, 2017 11:28

    Mtaalamu wa masuala ya haki wa Umoja wa Mataifa amesema utawala wa Israel hauna mamlaka na uwezo wa kufanya maamuzi ya upande mmoja kuhusu usimamizi wa Msikiti wa al-Aqsa ulioko Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu.

  • Wanazuoni wa Iraq washangaa kimya cha nchi za Kiarabu kuhusu al-Aqsa

    Wanazuoni wa Iraq washangaa kimya cha nchi za Kiarabu kuhusu al-Aqsa

    Jul 26, 2017 03:18

    Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Iraq imeeleza kusikitishwa kwake na kimya cha watawala wa nchi za Kiarabu kuhusu hali mbaya ya mgogoro inayoikabili Quds na msikiti mtukufu wa al-Aqsa.

  • Balozi wa Palestina UN: Baraza la Usalama limeshindwa kuchukua uamuzi kuhusu msikiti wa Al-Aqsa

    Balozi wa Palestina UN: Baraza la Usalama limeshindwa kuchukua uamuzi kuhusu msikiti wa Al-Aqsa

    Jul 25, 2017 12:01

    Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema Baraza la Uslaama la umoja huo halina ubavu wa kuchukua uamuzi kuhusu hali mbaya ya mgogoro inayoikabili Quds na msikiti mtukufu wa Al-Aqsa.

  • UN yatahadharisha kuhusu matokeo mabaya ya mvutano wa al-Aqsa

    UN yatahadharisha kuhusu matokeo mabaya ya mvutano wa al-Aqsa

    Jul 24, 2017 22:29

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu athari mbaya za mgogoro uliosababishwa na hatua ya Israel ya kuwazuia Waislamu wa Palestina kutekeleza ibada ya Swala katika Msikiti wa al Aqsa na kusisitiza kuwa, unaweza kuwa na maafa makubwa.

  • Erdogan: Waislamu hawawezi kufumbia macho mgogoro wa al-Aqsa

    Erdogan: Waislamu hawawezi kufumbia macho mgogoro wa al-Aqsa

    Jul 23, 2017 23:28

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amekosoa vikali hatua kandamizi za usalama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika mji wa Quds Tukufu na kusisitiza kuwa katu Waislamu hawawezi kunyamazia kimya jinai hizo.

  • Arab League: Israel inacheza na moto kuhusu kadhia ya Quds

    Arab League: Israel inacheza na moto kuhusu kadhia ya Quds

    Jul 23, 2017 09:41

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba 'unacheza na moto' kutokana na kushadidisha ukandamizaji dhidi ya Wapalestina wa Quds Tukufu inayokaliwa kwa mabavu.

  • António Guterres: Israel ijiepushe kufanya ukatili huko Quds

    António Guterres: Israel ijiepushe kufanya ukatili huko Quds

    Jul 23, 2017 02:14

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu ukatili na hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwazuia Wapalestina kutekeleza ibada ya Swala ndani ya Msikiti wa al Aqsa. 

  • Al Azhar yaonya kuhusu kuendelea Israel kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa

    Al Azhar yaonya kuhusu kuendelea Israel kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa

    Jul 21, 2017 23:19

    Chuo Kikuu cha al Azhar cha nchini Miri kimeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na jinai unazozifanya pambizoni mwa Msikiti wa al Aqsa kwani jinai hizo zinawaumiza Waislamu wote duniani.

  • Dahlan: Vitendo vya Israel Masjidul Aqswa ni ugaidi ulio wazi

    Dahlan: Vitendo vya Israel Masjidul Aqswa ni ugaidi ulio wazi

    Jul 20, 2017 03:24

    Mjumbe wa zamani wa Kamati Kuu ya harakati ya Fat'h ya Palestina amesema kuwa, vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji mtakatifu wa Quds na Msikiti wa al Aqsa ni ugaidi ulio wazi.

  • Kiongozi wa Kikristo Palestina awataka Wakristo na dunia kuzuia uvamizi wa Wazayuni wa Israel

    Kiongozi wa Kikristo Palestina awataka Wakristo na dunia kuzuia uvamizi wa Wazayuni wa Israel

    Jul 19, 2017 09:33

    Kiongozi wa Kikristo wa kanisa la Orthodox huko Palestina Atallah Hanna, ameomba msaada wa haraka kutoka kwa Wakristo na taasisi za kutetea haki za binaadamu duniani, kuzuia uvamizi wa Wazayuni wa Israel huko Quds.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Wanaharakati waliotoweka Kenya katika maandamano ya Gen Z wapatikana wakiwa wameteswa

    Wanaharakati waliotoweka Kenya katika maandamano ya Gen Z wapatikana wakiwa wameteswa

    3 hours ago
  • Katika ujumbe wa Wiki ya Mahakama, Kiongozi aamuru kufuatiliwa kisheria uhalifu wa kivita wa Marekani na Israel dhidi ya Iran

  • Baqaei: Msaada wa kiufundi na uungaji mkono kwa mvamizi ni sawa na kushiriki katika uvamizi

  • Gharibabadi: Sardasht, mhanga wa mabomu ya kemikali na undumakuwili wa Magharibi

  • Maandamano ya kupinga ukiukaji wa usitishaji vita Gaza yafanyika nchini Sweden

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    1 day ago
  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    1 day ago
  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    3 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

  • Jeshi la Iran lalenga vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi

  • Majeshi ya Iran yaonya kuhusu jibu kwa tishio lolote la Israel

  • Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel

  • Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad

  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

  • Iran yalaani taarifa ya kichochezi ya nchi za Ghuba ya Uajemi na Marekani

  • Meja Jenerali Rezaei: Kama adui ataanzisha vita vingine, atapata maafa na hasara kubwa

  • Baqaei: Msaada wa kiufundi na uungaji mkono kwa mvamizi ni sawa na kushiriki katika uvamizi

  • Burkina Faso yavunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa, yaituhumu kwa kuingilia mambo yake ya ndani

  • Kiongozi wa Hizbullah: Israel italazimika kuondoka Lebanon “ikiwa imedhalilika”

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS