-
Israel yafuta maeneo matakatifu ya Kiislamu katika ramani mpya
Jun 13, 2016 21:59Wizara ya Utalii ya utawala wa Kizayuni wa Israel imechapisha ramani mpya ya mji wa Quds tukufu ambayo ndani yake maeneo yote matakatifu ya Kiislamu na Kikristo yamefutwa.
-
Walowezi wa Kizayuni wafanya maandamano Quds, wavamia al-Aqsa
Jun 06, 2016 02:59Maelfu ya walowezi wa Kizayuni wamefanya maandamano ya kutiliwa shaka mashariki mwa Quds inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel na kuzusha hali ya taharuki katika eneo hilo.
-
Wazayuni wamevamia zaidi ya mara 100 katika mwezi mmoja maeneo matakatifu ya Palestina
Jun 05, 2016 10:56Waziri wa masuala ya kidini na waqfu wa Palestina amesema, Wazayuni wameuvamia mara chungu nzima msikiti mtukufu wa al-Aqsa na Haram ya Nabii Ibrahim (as) huko Alkhalil katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.
-
Kiongozi wa kidini wa Kizayuni atishia Waislamu kupoteza kikamilifu fursa ya kutumia Masjidul-Aqsa
Jun 02, 2016 03:19Kiongozi wa kidini wa Wazayuni Rabi Yehuda Glick amesema kukataa kugawanywa msikiti wa Al- Aqsa baina ya Waislamu na Mayahudi kutakuwa sawa na kufutwa kikamilifu haki ya Waislamu ya kutumia msikiti huo.
-
Watoto zaidi ya elfu mbili Kipalestina wauliwa shahidi na Wazayuni
Jun 01, 2016 10:58Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewauwa shahidi kwa kuwapiga risasi watoto wa Kipalestina zaidi ya elfu mbili tangu kuanza Intifadha ya Masjidul Aqsa mwaka 2000.
-
Mkuu wa Kamati Kuu ya Kiislamu ya Palestina atahadharisha kuhusiana na uvamizi wa Israel dhidi ya msikiti wa al-Aqswa
May 11, 2016 23:39Mkuu wa Kamati Kuu ya Kiislamu ya Palestina ametahadharisha kuhusiana na kukithiri hujuma na uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya msikiti mtakatifu wa al-Aqswa.
-
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina yalaani ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni
May 08, 2016 23:06Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina imelaani vikali mpango mpya wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Makundi ya mapambano ya Palestina yataka kushadidishwa Intifadha ya Quds
Apr 20, 2016 23:19Makundi ya mapambano ya Palestina yametoa wito wa kushadidishwa Intifadha ya Quds dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ban asema Israel inavuruga mpango wa amani
Apr 19, 2016 10:57Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amekosoa vikali hatua ya Israel kuendeleza ujenzi wa vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Wazayuni kadhaa wajeruhiwa karika mripuko wa bomu Quds
Apr 18, 2016 12:24Habari kutoka Palestina inayokaliwa kwa mabavu zinasema kuwa, Wazayuni karibu 20 wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu katika basi moja huko Quds.