-
Wazayuni: Tumeshindwa kuisambaratisha Intifadha ya Quds
Mar 09, 2016 23:17Duru za Wazayuni zinaripoti kwamba, utawala ghasibu wa Israel umeshindwa kukabiliana na Intifadha ya Quds inayoendeshwa na wanamapambano wa Kipalestina.
-
Israel imeua watoto 41 Wapalestina kwa muda wa miezi mitano
Mar 06, 2016 03:38Utawala haramu wa Israel umeua watoto 41 Wapalestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu katika kipindi cha miezi mitano iliyopita.
-
Wazayuni waendelea kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa
Feb 17, 2016 05:08Walowezi wa Kizayuni na askari wa utawala ghasibu wa Israel wameendelea kuushambulia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Hamas: Mapinduzi ya Kiislamu yameipa nguvu Intifadha ya Palestina
Feb 11, 2016 03:51Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema Mapinduzi ya Kiislamu yaliyotokea mwaka 1979 nchini Iran yameishajiisha na kuipa nguvu Intifadha na mapambano ya Wapalestina dhidi ya utawala wa kizayuni wa Israel ambao unazikalia ardhi za Wapalestina kwa mabavu.
-
Israel yatiwa kiwewe na msimamo wa UN kuwatetea Wapalestina
Feb 09, 2016 11:24Utawala wa kizayuni wa Israel umetiwa kiwewe na matamshi yaliyotolewa hivi karibuni ya Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ya kuwatetea Wapalestina ambao ardhi zao zinakaliwa kwa mabavu na Wazayuni maghasibu.