-
Majina na Lakabu za Bibi Faat'imatu-Zahraa (SalamuLlahi Alayhaa)
Jan 01, 2024 04:08Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Radio Tehran mpopote pale mlipo wakati huu. Mnamo tarehe 20 Mfunguo Tisa, Jumada-Thani, mwaka wa tano kutokea Kubaathiwa Bwana Mtume, uliosadifiana na mwaka 615 Miladia, nyumba ya Nabii Muhammad (SAW) Mjumbe wa Mwenyezi Mungu na mkewe Bibi Khadija katika mji wa Makka, iliangazwa na nuru ya kuzaliwa mwana mtukufu. Mwenyezi Mungu aliwabariki watukufu hao wawili binti ambaye, alikuja kuendeleza kizazi kitoharifu cha Bwana Mtume SAW.
-
Jumapili, 19 Novemba, 2023
Nov 19, 2023 02:31Leo ni Jumapili tarehe 5 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1445 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 19 Novemba 2023 Miladia.
-
Palestina, Mhimili wa Umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu
Oct 11, 2023 11:54Karibuni kutegea sikio kipindi cha juma hili cha Makala ya Wiki ambacho kitazungumzia Palestina kama mhimili wa umoja baina ya Waislamu wote.
-
Jumanne tarehe 3 Oktoba 2023
Oct 03, 2023 02:42Leo ni Jumanne tarehe 17 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1445 Hijria sawa na Oktoba 3 mwaka 2023.
-
Alkhamisi tarehe 28 Septemba, 2023
Sep 28, 2023 03:03Leo ni Alkhamisi tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1445 Hijria sawa na Septemba 28, 2023.
-
Alkhamisi, Septemba 14, 2023
Sep 14, 2023 02:25Leo ni Alkhamisi tarehe 28 Mfunguo Tano Safar 1445 Hijria, mwafaka na tarehe 14 Septemba 2023 Milaadia.
-
Usikichome, Leta Mfano Wake Kama Unaweza!
Aug 17, 2023 07:13Siku moja miaka mingi sana iliyopita, yaani miaka elfu mbili kabla ya kuzaliwa Nabii Isa Masih (as), watu wa Namrud (Nimrodi) walikuwa wamerejea makwao kutoka kwenye shughuli ya kidini.
-
Alkhamisi, tarehe 13 Julai, 2023
Jul 13, 2023 02:15Leo ni Alkhamisi tarehe 24 Dhulhija 1444 Hijria sawa na Julai 13, mwaka 2023.
-
Jumatano, tarehe 14 Juni, 2023
Jun 14, 2023 02:37Leo ni Jumatano tarehe 25 Dhilqaada 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 14 Juni mwaka 2023.
-
Mkono wa pole kwa mnasaba wa kuaga dunia Bibi Khadija, mke mtukufu wa Mtume (saw)
Apr 01, 2023 04:53Tarehe 10 ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani Hijiria Qamaria, ambayo inasadifiana na tarehe Mosi Aprili 2023 ni siku ya kukumbuka kuaga dunia Bibi Khadija (sa) , mke mtukufu wa Mtume Muhammad (saw).