• Jumamosi tarehe 18 Februari 2023 Miladia

    Jumamosi tarehe 18 Februari 2023 Miladia

    Feb 18, 2023 02:37

    Leo ni Jumamosi tarehe 27 Rajab 1444 Hijria sawa na Februari 18 mwaka 2023 Miladia.

  • Jumapili, 29 Januari, 2023

    Jumapili, 29 Januari, 2023

    Jan 29, 2023 02:34

    Leo ni Jumapili tarehe 7 Rajab, 1444 Hijria sawa na tarehe 29 Januari, 2023 Miladia

  • Maalumu Siku ya Kufa Shahidi Hadhrat Zahra al Batul (as)

    Maalumu Siku ya Kufa Shahidi Hadhrat Zahra al Batul (as)

    Dec 08, 2022 09:06

    Tarehe 13 Jumadil-Awwal, ni siku ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi binti wa Mtume wetu, Muhammad al Mustafa (saw), Bibi Fatimatu Zahra (as) na siku ya maombolezo ya Waislamu hususan wapenzi wa Ahlul Bait (as).

  • Akhlaqi Katika Uislamu (46)

    Akhlaqi Katika Uislamu (46)

    Nov 28, 2022 04:58

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu hii ya 46 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki ambacho kwa leo kitaendelea kuzungumzia na kuchambua "Akhlaqi za Kisiasa" katika Uislamu. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Imam Jaafar Sadiq AS alisisitiza umoja wa Waislamu

    Imam Jaafar Sadiq AS alisisitiza umoja wa Waislamu

    Oct 13, 2022 16:33

    Imam Ja'far Swadiq AS mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW alizaliwa mwaka 83 Hijria katika mji mtakatifu wa Madina na kulelewa na baba yake mtukufu Imam Muhammad Baqir AS pamoja na mama yake mtoharifu.

  • Mtume Muhammad SAW alileta uhai mpya

    Mtume Muhammad SAW alileta uhai mpya

    Oct 13, 2022 16:31

    Waislamu duniani wanasherehekea Maulidi na kukumbuka tukio la kuzaliwa Mbora wa Walimwengu, Muhammad Mwaminifu SAW. Ni fusa muafaka ya kutafakari kuhusu umoja wa Waislamu duniani.

  • Umoja katika Hadithi za Mtume wa Rehma

    Umoja katika Hadithi za Mtume wa Rehma

    Oct 13, 2022 08:04

    Bismillahil Rahmanil Rahim. Kwa jina la Mungu wa Muhammad (SAW) ambaye ametubariki na akatutambulisha Mtume wake, akateremsha Qur'ani kwake ili iwe hidaya na mwongozo kwa ajili ya wanaadamu wote.

  • Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume (saw)

    Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume (saw)

    Oct 10, 2022 07:44

    Siku hizi za mwezi wa Mfunguo Sita Rabiu Awwal ni fursa adhimu kwa Waislamu kote duniani kupitia tena Aya zinazohusiana na umoja na mshikamano wa Waislamu katika Qur'ani Tukufu na Hadithi za Mtume wetu Muhammad (saw) ambaye kwa mujibu wa riwaya na mapokezi mawili tofauti ya wanazuoni na wanahistoria, alizaliwa ama tarehe 12 au 17 ya mwezi huu.

  • Umuhimu wa Umoja (kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja)

    Umuhimu wa Umoja (kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja)

    Oct 09, 2022 12:22

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nami katika kipindi hiki cha kwanza cha mfululizo wa makala maalumu za Wiki ya Umoja wa Kiislamu zinazokujieni kwa mnasaba wa sherehe za Maulidi na tukio muhimu la kuzaliwa mbora wa viumbe Mtume Muhammad (saw) katika mwezi huu wa Mfunguo Sita.