-
Jumanne, tarehe 8 Aprili, 2025
Apr 08, 2025 02:20Leo ni Jumanne tarehe 9 Shawwal 1446 Hijria sawa na Aprili 8 mwaka 2025.
-
Iran: Iwapo usalama wetu utahatarishwa, mchokozi hatobaki salama
Feb 21, 2025 02:27Mkuu wa Majeshi ya Iran amesema: Iwapo usalama wa taifa letu utahatarishwa, basi usalama wa eneo hili zima la Kusini Magharibi mwa Asia, wahusika wa uchokozi huo na waungaji mkono wao utavurugwa na hawatobaki salama.
-
Jumatano, tarehe 05 Februari, 2025
Feb 05, 2025 05:44Leo ni Jumatano tarehe 06 Shaabani 1446 Hijria, sawa na Februari 5 mwaka 2025.
-
Alkhamisi, tarehe 7 Novemba, 2024
Nov 07, 2024 12:30Leo ni Alkhamisi tarehe 5 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 7 Novemba 2024.
-
Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume (saw)
Sep 26, 2024 12:01Kipindi cha baina ya tarehe 12 na 17 Mfunguo Sita kimetangazwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni Wiki ya Umoja na Mshikamano baina ya Waislamu wote duniani, lengo likiwa ni kuwakusanya pamoja Waislamu wote wa madhehebu na mitazamo tofauti katika Tauhidi na umoja wa Kiislamu.
-
Kiongozi Muadhamu: Kujenga umma; somo muhimu zaidi la Mtume (SAW)
Sep 21, 2024 12:42Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza juu ya nafasi ya watu maalumu katika uundaji wa Umma wa Kiislamu na umoja wa ulimwengu wa Kiislamu na kubainisha kwamba, kwa kuundwa Umma wa Kiislamu, Waislamu kwa nguvu zao za ndani wanaweza kuondoa donda la saratani na khabithi la utawala wa Kizayuni kutoka Palestina na kusambaratisha ushawishi na uingiliaji wa mabavu wa Marekani katika eneo.
-
Jumatatu tarehe 6 Mei, 2024
May 06, 2024 02:31Leo ni Jumatatu tarehe 27 Mfunguo Mosi Shawwal 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 6 Mei 2024.
-
Jumapili, 24 Machi, 2024
Mar 24, 2024 02:26Leo ni Jumapili 13 Ramadhani 1445 Hijria mwafaka na 24 Machi 2024.
-
Majina na Lakabu za Bibi Faat'imatu-Zahraa (SalamuLlahi Alayhaa)
Jan 01, 2024 04:08Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Radio Tehran mpopote pale mlipo wakati huu. Mnamo tarehe 20 Mfunguo Tisa, Jumada-Thani, mwaka wa tano kutokea Kubaathiwa Bwana Mtume, uliosadifiana na mwaka 615 Miladia, nyumba ya Nabii Muhammad (SAW) Mjumbe wa Mwenyezi Mungu na mkewe Bibi Khadija katika mji wa Makka, iliangazwa na nuru ya kuzaliwa mwana mtukufu. Mwenyezi Mungu aliwabariki watukufu hao wawili binti ambaye, alikuja kuendeleza kizazi kitoharifu cha Bwana Mtume SAW.
-
Jumapili, 19 Novemba, 2023
Nov 19, 2023 02:31Leo ni Jumapili tarehe 5 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1445 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 19 Novemba 2023 Miladia.