Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Umoja wa Ulaya waendelea kuingilia masuala ya ndani ya Afghanistan

    Umoja wa Ulaya waendelea kuingilia masuala ya ndani ya Afghanistan

    Aug 17, 2021 02:34

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ameingilia tena masuala ya ndani ya Afghanistan sambamba na kufumbia jicho jinai zilizofanywa na Marekani na waitifaki wake wa Ulaya nchini Afghanistan.

  • Taliban: Tutaunda utawala wa Kiislamu utakaoshirikisha Waafghani wengine pia

    Taliban: Tutaunda utawala wa Kiislamu utakaoshirikisha Waafghani wengine pia

    Aug 16, 2021 13:12

    Msemaji wa kundi la Taliban ametaka iundwe serikali ya Kiislamu nchini Afghanista inayoendana na mazingira itakayojumuisha na Waafghani wengine pia.

  • Rais Raisi: Iran inafanya jithada ili kurejesha utulivu Afghanistan

    Rais Raisi: Iran inafanya jithada ili kurejesha utulivu Afghanistan

    Aug 16, 2021 11:58

    Rais Ebrahim Raisi amesema, Iran itafanya jitihada kurejesha utulivu na uthabiti nchini Afghanistan ambalo ndilo hitajio la kwanza la nchi hiyo kwa sasa.

  • Iran yatangaza uungaji mkono wake kwa taifa la Afghanistan

    Iran yatangaza uungaji mkono wake kwa taifa la Afghanistan

    Aug 16, 2021 07:47

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu kama ilivyofanya katika kipindi cha miaka 40 iliyopita, vivyo hivyo itaendelea kuwaunga mkono wananchi wa Afghanistan na matakwa yao.

  • Zarif: Iran itaendeleza jitihada za kusaidia kupatikana amani Afghanistan

    Zarif: Iran itaendeleza jitihada za kusaidia kupatikana amani Afghanistan

    Aug 16, 2021 03:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendeleza jitihada za kuhakikisha kuwa amani na maridhiano yanapatikana nchini Afghanistan.

  • Johnson akosoa uamuzi wa Marekani kuhusu Afghanistan

    Johnson akosoa uamuzi wa Marekani kuhusu Afghanistan

    Aug 15, 2021 10:01

    Sambamba na kundi la Taliban kuendelea kuteka maeneo zaidi huko Afghanistan na kuongezeka wasiwasi kuhusu mustakbali wa nchi hiyo, Boris Johnson, Waziri Mkuu wa Uingereza alisema Ijumaa kwamba hali ya Afghanistan ni mbaya mno na kwamba inatokana na uamuzi wa Rais Joe Biden wa kuondoa askari wa Marekani nchini humo.

  • NATO: Ikiwa Taliban itaidhibiti Afghanistan kwa njia ya kijeshi haitatambuliwa kimataifa

    NATO: Ikiwa Taliban itaidhibiti Afghanistan kwa njia ya kijeshi haitatambuliwa kimataifa

    Aug 14, 2021 07:44

    Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la NATO ametangaza kuwa, ikiwa kundi la Taliban litaidhibiti Afghanistan yote kupitia mashambulio yake ya kijeshi halitatambuliwa kimataifa.

  • Kamanda Salami: Mipaka ya Iran ina usalama na ulinzi wa kutosha

    Kamanda Salami: Mipaka ya Iran ina usalama na ulinzi wa kutosha

    Aug 13, 2021 13:09

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amelithibitishia taifa la Iran kuwa mipaka ya mashariki ya nchi hii ipo salama.

  • Taliban wasema wako tayari kushiriki kwenye serikali ya mpito ya Afghanistan

    Taliban wasema wako tayari kushiriki kwenye serikali ya mpito ya Afghanistan

    Aug 13, 2021 02:24

    Kundi la Taliban limetangaza kuwa liko tayari kushiriki katika serikali ya mpito ya Afghanistan.

  • Vita vyashtadi Afghanistan huku Taliban ikiteka miji mikuu ya majimbo sita ndani ya siku nne

    Vita vyashtadi Afghanistan huku Taliban ikiteka miji mikuu ya majimbo sita ndani ya siku nne

    Aug 10, 2021 02:33

    Mapigano makali yanaendelea kuripotiwa nchini Afghanistan baina ya vikosi vya jeshi la serikali na wanamgambo wa kundi la Taliban huku kundi hilo likiripotiwa kuwa limefanikiwa kuteka miji mikuu ya majimbo sita ndani ya muda wa siku nne.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS