Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Mbunge Mmarekani akiri kushindwa vibaya nchi yake huko Afghanistan

    Mbunge Mmarekani akiri kushindwa vibaya nchi yake huko Afghanistan

    Jul 12, 2021 22:04

    Mbunge mmoja wa chama cha Republican cha Marekani amekiri kuwa Washington imeshindwa vibaya nchni Afghanistan na ametaka wanajeshi wa Marekani warudishwe haraka nchini humo.

  • Asilimia 73 ya Wamarekani wanaunga mkono kuhitimishwa miaka 20 ya kukaliwa kwa mabavu Afghanistan

    Asilimia 73 ya Wamarekani wanaunga mkono kuhitimishwa miaka 20 ya kukaliwa kwa mabavu Afghanistan

    Jul 11, 2021 21:56

    Sambamba na kuendelea harakati za Washington za kuwaondoa wanajeshi wake huko Afghanistan, matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa nchini Marekani unaonyesha kuwa akthari ya wananchi wa Marekani wanaunga mkono kuhitimishwa miaka 20 ya kukaliwa kwa mabavu Afghanistan.

  • Taarifa ya Kikao cha Mazungumzo Baina ya Waafghani mjini Tehran

    Taarifa ya Kikao cha Mazungumzo Baina ya Waafghani mjini Tehran

    Jul 08, 2021 06:31

    Mazungumzo ya amani ya Afghanistan ambayo yamekuwa yakifanyika baina ya Waafghani hapa Tehran kwa siku mbili yamemalizika kwa kutolewa taarifa ya pamoja.

  • Mazungumzo baina ya Waafghani; njia pekee ya kutatua matatizo na changamoto zilizopo

    Mazungumzo baina ya Waafghani; njia pekee ya kutatua matatizo na changamoto zilizopo

    Jul 08, 2021 05:46

    Mazungumzo ya pande tatu kati ya jumbe za Afganistan na Iran yamefanyika mjini Tehran kwa madhumuni ya kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa nchi hiyo kwa kutegemea mazungumzo baina ya makundi tofauti ya nchi hiyo.

  • Sergei Lavrov: Kuondoka Marekani nchini Afghanistan ni kukiri kushindwa

    Sergei Lavrov: Kuondoka Marekani nchini Afghanistan ni kukiri kushindwa

    Jul 08, 2021 03:46

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa, kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Afghanistan kimsingi ni kukiri wazi kugonga mwamba majukumu yake katika nchi hiyo.

  • Taliban yapongeza kuondoka askari wa Marekani Bagram

    Taliban yapongeza kuondoka askari wa Marekani Bagram

    Jul 02, 2021 22:14

    Kundi la Taliban limesema Afghanistan imepiga hatua moja mbele kuelekea katika amani na uthabiti, wakati huu ambapo Marekani inawaondoa wanajeshi wake wote nchini humo.

  • Ujerumani yakamilisha mchakato wa kuondoa askari wake Afghanistan; US?

    Ujerumani yakamilisha mchakato wa kuondoa askari wake Afghanistan; US?

    Jun 30, 2021 06:40

    Ujerumani imetangaza kuwa imemaliza mchakato wa kuwaondoa wanajeshi wake huko Afghanistan, huku Marekani ikiripotiwa kuwa inapanga kuwaacha mamia ya wanajeshi wake nchini humo.

  • Tsunami ya kujiua katika jeshi la Marekani, nembo ya mgogoro wa kinafsi na kimaadili

    Tsunami ya kujiua katika jeshi la Marekani, nembo ya mgogoro wa kinafsi na kimaadili

    Jun 26, 2021 10:31

    Ripoti ya karibuni ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inaonesha ongezeko la visa vya kujiua kati ya wanajeshi wa nchi hiyo hususan maveterani wa jeshi.

  • Kundi la Taliban la Afghanistan lasema, halina uadui na Waislamu wa Kishia

    Kundi la Taliban la Afghanistan lasema, halina uadui na Waislamu wa Kishia

    Jun 26, 2021 02:47

    Msemaji wa kundi la Taliban la Afghanistan amesema kuwa, kundi hilo halina uadui na Waislamu wa Kishia nchini humo na halitofanya ubaguzi wowote dhidi yao.

  • Pendekezo la Waziri Mkuu wa Pakistan la kumalizwa mgogoro wa miaka mingi wa Afghanistan

    Pendekezo la Waziri Mkuu wa Pakistan la kumalizwa mgogoro wa miaka mingi wa Afghanistan

    Jun 23, 2021 07:32

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan ametoa pendekezo la kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Afghanistan kwa ajili ya kumaliza mgogoro wa miaka mingi wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS