-
Taarifa ya Kikao cha Mazungumzo Baina ya Waafghani mjini Tehran
Jul 08, 2021 11:01Mazungumzo ya amani ya Afghanistan ambayo yamekuwa yakifanyika baina ya Waafghani hapa Tehran kwa siku mbili yamemalizika kwa kutolewa taarifa ya pamoja.
-
Mazungumzo baina ya Waafghani; njia pekee ya kutatua matatizo na changamoto zilizopo
Jul 08, 2021 10:16Mazungumzo ya pande tatu kati ya jumbe za Afganistan na Iran yamefanyika mjini Tehran kwa madhumuni ya kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa nchi hiyo kwa kutegemea mazungumzo baina ya makundi tofauti ya nchi hiyo.
-
Sergei Lavrov: Kuondoka Marekani nchini Afghanistan ni kukiri kushindwa
Jul 08, 2021 08:16Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa, kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Afghanistan kimsingi ni kukiri wazi kugonga mwamba majukumu yake katika nchi hiyo.
-
Taliban yapongeza kuondoka askari wa Marekani Bagram
Jul 03, 2021 02:44Kundi la Taliban limesema Afghanistan imepiga hatua moja mbele kuelekea katika amani na uthabiti, wakati huu ambapo Marekani inawaondoa wanajeshi wake wote nchini humo.
-
Ujerumani yakamilisha mchakato wa kuondoa askari wake Afghanistan; US?
Jun 30, 2021 11:10Ujerumani imetangaza kuwa imemaliza mchakato wa kuwaondoa wanajeshi wake huko Afghanistan, huku Marekani ikiripotiwa kuwa inapanga kuwaacha mamia ya wanajeshi wake nchini humo.
-
Tsunami ya kujiua katika jeshi la Marekani, nembo ya mgogoro wa kinafsi na kimaadili
Jun 26, 2021 15:01Ripoti ya karibuni ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inaonesha ongezeko la visa vya kujiua kati ya wanajeshi wa nchi hiyo hususan maveterani wa jeshi.
-
Kundi la Taliban la Afghanistan lasema, halina uadui na Waislamu wa Kishia
Jun 26, 2021 07:17Msemaji wa kundi la Taliban la Afghanistan amesema kuwa, kundi hilo halina uadui na Waislamu wa Kishia nchini humo na halitofanya ubaguzi wowote dhidi yao.
-
Pendekezo la Waziri Mkuu wa Pakistan la kumalizwa mgogoro wa miaka mingi wa Afghanistan
Jun 23, 2021 12:02Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan ametoa pendekezo la kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Afghanistan kwa ajili ya kumaliza mgogoro wa miaka mingi wa nchi hiyo.
-
Watu 11 wamepoteza maisha katika mlipuko wa bomu kando ya barabara huko Afghanistan
Jun 06, 2021 07:54Ripoti kutoka Afghanistan zinasema kuwa, watu wasiopungua 11 wameuawa kaskazini mwa nchi hiyo baada ya gari lao kuripuliwa na bomu la kutegwa ardhini jana Jumamosi.
-
Jumatatu, Mei 31, 2021
May 31, 2021 02:26Leo ni Jumatatu tarehe 19 Mfunguo Mosi Shawwal 1442 Hijria sawa na Mei 31 mwaka 2021 Milaadia.