-
Harakati za Israel za kutaka kupenya katika Umoja wa Afrika
Oct 07, 2017 23:12Balozi wa Palestina nchini Ethiopia amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya harakati za kutaka kupenya katika Umoja wa Afrika.
-
Mashauriano ya wawakilishi wa Afrika na Ufaransa katika "Kikao cha Afrika 2017"
Oct 07, 2017 08:14Kikao cha siku mbili chini ya anuani "Afrika 2017" kimefanyika kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa pande mbili za Afrika na Ufaransa.
-
Ulimwengu wa Spoti, Okt 2
Oct 02, 2017 02:06Hujambo mpenzi msikilizaji na hususan ashiki wa spoti na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, ndani na nje ya nchi. Karibu....
-
Ulimwengu wa Spoti, Sep 25
Sep 25, 2017 03:40Hujambo mpenzi msikilizaji wa Radio Tehran na karibu tutupie jicho matukio kadhaa ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa.
-
Ripoti: Israel huwatia mbaroni mamia ya Waafrika kila mwaka
Sep 25, 2017 00:41Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeripoti kuwa vyombo vya usalama vya Israel huwakamata na kuwazuilia mamia ya Waafrika kila mwaka, kinyume cha sheria.
-
Ulimwengu wa Spoti, Sep. 18
Sep 18, 2017 01:09Ufuatao ni mkusanyiko wa habari kemkem za spoti ndani ya siku saba zilizopita....
-
Unyanyasaji watoto wakimbizi wa Kiafrika barani Ulaya
Sep 12, 2017 22:04Katika hali ambayo, wimbi la wahajiri wa Kiafrika wanaoelekea barani Ulaya lingali linaendelea kushuhudiwa, ripoti za kimataifa zinaonyesha juu ya kuweko hali mbaya wanayokabiliwa nayo wahajiri hususan watoto wakimbizi wa Kiafrika.
-
Mkutano wa utawala wa Kizayuni wa Israel na nchi za Afrika waakhirishwa
Sep 12, 2017 00:17Wizara ya Mambo ya Nje ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa mkutano wa utawala huo na nchi za Afrika uliokuwa umepangwa kufanyika mwezi ujao nchini Togo umeakhirishwa hadi wakati mwengine.
-
Mwito wa kutumiwa Kiswahili kuimarisha utangamano Afrika Mashariki
Sep 09, 2017 03:19Naibu Waziri Mkuu wa Uganda ametoa wito wa kutumiwa lugha ya Kiswahili kuimarisha utangamano katika kanda ya Afrika Mashariki.
-
Viongozi wa nchi saba za Afrika na Ulaya wachunguza mwenendo wa uhajiri nchini Ufaransa
Aug 28, 2017 23:54Viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya wamekutana nchini Ufaransa kwa ajili ya kuchunguza namna ya kupunguza wimbi la uhajiri kutoka nchi za Afrika kuelekea barani Ulaya.