Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Harakati za Israel za kutaka kupenya katika Umoja wa Afrika

    Harakati za Israel za kutaka kupenya katika Umoja wa Afrika

    Oct 07, 2017 23:12

    Balozi wa Palestina nchini Ethiopia amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya harakati za kutaka kupenya katika Umoja wa Afrika.

  • Mashauriano ya wawakilishi wa Afrika na Ufaransa katika

    Mashauriano ya wawakilishi wa Afrika na Ufaransa katika "Kikao cha Afrika 2017"

    Oct 07, 2017 08:14

    Kikao cha siku mbili chini ya anuani "Afrika 2017" kimefanyika kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa pande mbili za Afrika na Ufaransa.

  • Ulimwengu wa Spoti, Okt 2

    Ulimwengu wa Spoti, Okt 2

    Oct 02, 2017 02:06

    Hujambo mpenzi msikilizaji na hususan ashiki wa spoti na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, ndani na nje ya nchi. Karibu....

  • Ulimwengu wa Spoti, Sep 25

    Ulimwengu wa Spoti, Sep 25

    Sep 25, 2017 03:40

    Hujambo mpenzi msikilizaji wa Radio Tehran na karibu tutupie jicho matukio kadhaa ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa.

  • Ripoti: Israel huwatia mbaroni mamia ya Waafrika kila mwaka

    Ripoti: Israel huwatia mbaroni mamia ya Waafrika kila mwaka

    Sep 25, 2017 00:41

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeripoti kuwa vyombo vya usalama vya Israel huwakamata na kuwazuilia mamia ya Waafrika kila mwaka, kinyume cha sheria.

  • Ulimwengu wa Spoti, Sep. 18

    Ulimwengu wa Spoti, Sep. 18

    Sep 18, 2017 01:09

    Ufuatao ni mkusanyiko wa habari kemkem za spoti ndani ya siku saba zilizopita....

  • Unyanyasaji watoto wakimbizi wa Kiafrika barani Ulaya

    Unyanyasaji watoto wakimbizi wa Kiafrika barani Ulaya

    Sep 12, 2017 22:04

    Katika hali ambayo, wimbi la wahajiri wa Kiafrika wanaoelekea barani Ulaya lingali linaendelea kushuhudiwa, ripoti za kimataifa zinaonyesha juu ya kuweko hali mbaya wanayokabiliwa nayo wahajiri hususan watoto wakimbizi wa Kiafrika.

  • Mkutano wa utawala wa Kizayuni wa Israel na nchi za Afrika waakhirishwa

    Mkutano wa utawala wa Kizayuni wa Israel na nchi za Afrika waakhirishwa

    Sep 12, 2017 00:17

    Wizara ya Mambo ya Nje ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa mkutano wa utawala huo na nchi za Afrika uliokuwa umepangwa kufanyika mwezi ujao nchini Togo umeakhirishwa hadi wakati mwengine.

  • Mwito wa kutumiwa Kiswahili kuimarisha utangamano Afrika Mashariki

    Mwito wa kutumiwa Kiswahili kuimarisha utangamano Afrika Mashariki

    Sep 09, 2017 03:19

    Naibu Waziri Mkuu wa Uganda ametoa wito wa kutumiwa lugha ya Kiswahili kuimarisha utangamano katika kanda ya Afrika Mashariki.

  • Viongozi wa nchi saba za Afrika na Ulaya wachunguza mwenendo wa uhajiri nchini Ufaransa

    Viongozi wa nchi saba za Afrika na Ulaya wachunguza mwenendo wa uhajiri nchini Ufaransa

    Aug 28, 2017 23:54

    Viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya wamekutana nchini Ufaransa kwa ajili ya kuchunguza namna ya kupunguza wimbi la uhajiri kutoka nchi za Afrika kuelekea barani Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS