-
Kupingwa kura ya kutokuwa na imani na Rais wa Afrika Kusini
May 30, 2017 05:48Katika hali ambayo, mjadala wa kupigwa kura ya kutokuwa na imani na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini umegeuka na kuwa mkali kutoka upande wa wapinzani, Kamati ya Utendaji ya chama cha ANC imetaka kunyamaziwa na kufumbiwa macho suala hilo.
-
Chama tawala Afrika Kusini chatangaza kumuunga mkono Rais Jacob Zuma
May 30, 2017 03:35Chama cha Kongresi ya Taifa ANC kinachotawala nchini Afrika Kusini kimetangaza kuwa, tume tendaji ya chama hicho inamuunga mkono Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.
-
Makamu wa Rais wa Afrika Kusini atuhumiwa kupokea rushwa kutoka kwa Kiir
May 26, 2017 22:49Waasi nchini Sudan Kusini wamemtuhumu Makamu wa Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa kwamba amepokea rushwa kutoka kwa Rais Salva Kiir wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika ili kuendelea kumzuilia kiongozi wao Riek Machar ambaye yuko nchini humo.
-
Kiongozi wa upinzani wa Afrika Kusini azuiwa kuingia nchini Zambia
May 26, 2017 09:39Viongozi wa serikali nchini Zambia wamemzuia kuingia nchini humo kiongozi wa upinzani wa Afrika Kusini.
-
Chama tawala Afrika Kusini chakanusha ripoti za kujadili kumwondoa madarakani Rais Zuma
May 23, 2017 21:50Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimezitioa maanani na kueleza kuwa hazina ukweli ripoti za vyombo vya habari kwamba suala la kumwondoa madarakani Rais wa nchi hiyo Jacb Zuma litajadiliwa katika mkutano muhimu wa chama hicho utakaofanyika mwishoni mwa wiki.
-
Indhari juu ya kugeuka Afrika Kusini na kuwa nchi ya kimafia
May 22, 2017 22:50Sambamba na kuendelea mivutano na malalamiko nchini Afrika Kusini, Makamu wa Rais wa nchi hiyo ametahadharisha kuhusiana na hatari ya kubadilika nchi hiyo kuwa ya Kimafia.
-
Ramaphosa atahadharisha Afrika Kusini kugeuka nchi ya kimafia
May 22, 2017 02:49Makamu wa Rais wa Afrika Kusini ametahadharisha juu ya nchi hiyo kugeuka na kuwa ya Kimafia.
-
Maandamano dhidi ya serikali nchini Afrika Kusini
May 16, 2017 22:03Kwa mara nyingine tena mvutano wa kisiasa umeigubika nchi ya Afrika Kusini kiasi kwamba, maelfu ya wapinzani wa serikali wameendelea kufanya maandamano katika siku za hivi karibuni wakitaka Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo ajiuzulu.
-
Makamu wa Rais Afrika Kusini asusia kula kuwaunga mkono Wapalestina waliogoma kula
May 15, 2017 09:40Makamu wa rais wa Afrika Kusini na mawaziri wengine nchini humo wamesusia chakula kama njia ya kuonyesha kufungamana kwao na Wapalestina waliogoma kula katika jela za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Afrika Kusini kusaini mikataba ya ujenzi wa vituo vya umeme wa nyuklia
May 13, 2017 09:10Afrika Kusini inatazamiwa kusaini mikataba mipya na yenye uwazi na nchi tano kuhusu ujenzi wa vituo vya kuzalisha umeme wa nyuklia.